Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

Kifupi umetuelezea vyema sana wanawake hujaruka hata point 1! Umepita mle mle...mchawi simu ya Katibu ila masanja ajiandae kisaikolojia...
Kiukweli mke wa masanja hii picha alopiga na mumewe wanassali hiyo nguo haijakaa ki umama mchungaji kabisa(white dress)..hizo nguo awaachie wengine sio yeye kama anamaanisha yeye ni mama mchungaji kweli!
Nb.Mawazo ya kizee haya
 
Mke wa Masanja akipata mpelelezi mzuri na masanja akapata mpelelezi mzuri wakahojiwa kwa pamoja imeisha mapema sana
Wataharibu Kila kitu mana huenda Kuna michepuko mingi zaidi alikuwa nayo ,Yote itajulikana mana wataomba taarifa kutoka cyber na mitandao ya simu.

Kila uovu Wa huyo mwanamke itabainika.

Ni Bora Masanja amebaini mapema mana atachukua tahadhari .
Wanawake Wa namna hiyo ni Hatari Kwa wanaume wenye Mali.
Anaweza akampata kujina akamshawishi wamuue mumewe Ili wachukue Mali.
 
Ana vimeo viwili kwa mumewe na kwa mke wa katibu.. Yaani kasaliti double impact... Bado kuna hii mimacho na midomo ya jamii ya wandewa
 
Yani ivyo vidole vyote vimepima sana oil ya mama mchuu.. yani tafsiri ni nyingi kwakweli[emoji16]
 
Polisi hasa kwa matukio kama haya ya mauaji, watajua kila kitu, yaani ukweli utakaa hadharani, hizi simu zina siri zooote, na wataona kila kitu.
Polisi hawa hawa wa mchongo
 
Polisi wap wachunguze??? Kama tatizo la panyaroad wameona warahisishe kwa kushuti tu…Hawana muda wakujua mlolongo hawa
 
In my observation kuna mambo kadhaa behind the scene; kisasi, chuki, usaliti, wivu na maadui na kila moja ukilichambua linamaana kubwa.
 
Hii inaonekana ni clear assasination. Na waliofanya sio proffesional. Walipataje password? Hapo ni kutia ndani huyo mchungaji wa mchongo pamoja na mke wake. Siku mbili ni nyingi ukweli wote utajulikana.
How is that!??
 
Wala hakuhitajiki nguvu kubwa kwenye hili.. Macho ya marehemu kupitia retina yamehifadhi matukio yote ya mwisho! Hivi unajua ni kwanini baadhi ya wauaji huwatoboa macho wahanga wao?
 
Upelelezi makini kama huo wanauweza maaskari wa nchi zingine tu ila sio Tozonia
Hawa wa hapa kwetu wapo kwa ajili ya kukamata wapinzani tu subiri kipindi cha uchaguzi uone vile intelligence yao ilivyo makini kugundua uwepo wa machafuko na uvunjifu wa amani kwenye mikutano ya Chadema
 
Huyo Dogo amejinyonga kweli? Au amekufa kweli? Ebu tuanzie hapo!! Sijaona hata picha mtandaoni za msiba wa huyo dogo kwa jinis habari zake zilivyotrend ,usikute ni mission ya Game changers and Spin Doctors wanatuondoa kwenye reli la MATOZO na PDF la MAZERI.
 
Maswali ni mengi sana na wakuyajibu kwa usahihi ni upelelezi wa kina.
 
Hii inaweza kuwa hoja.
 
Huu uchunguzi msahau angekuwa chadema asubuhi tu mandatah wangetoa majibu. Ila kwakuwa ni fisi sahau kuona upelelezi.
 
Ujiue kwa mwanamke ambaye umeshamla,n ameshaolewa,wanaume hatupogi hivo ktk mapenzi,kaam dem ushamla na value inapungua unless awe mkeo
 
Monica amemwambia pastor (bunio) , "marehemu amekuwa akinitaka kimapenzi na nilimwambia suala hili ningeliifikisha kwako muda wowote baby,wala hajanikula ndio maana kaniandikia msg". mwisho wa bunio. Kwa hiyo hawezi kujikufa kama unavyodhani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…