Kama upimaji wa TEZI DUME ndiyo uko hivi naomba niandaliwe mapema tu Gereza langu kwani nitaua Mtu!

Status
Not open for further replies.
Wakupge kwanza nusu kaputi
Hapana mkuu. Daktari atahitaji kuongea na ww na kupata historia yako kwa ufupi na habari za afya yako kwa ujumla hususan kupata haja ndogo. Sasa ukiwa nusu kaputi mtaongeaje?
Halafu ujue hapo unapimwa tu kubaini kama kuna tatizo. Kama hakuna tatizo basi hapo ndo mwisho na utabaki na furaha kwamba u mzima wa Afya.
 
Nguvu sina lkn mbwa ninaowafuga watatumika kuwakingunge hao madaktari wa Makonda, sio kirahisi kihivyo
 
Huu upimaji wa Tezi dume utawafanya watu washawishike kuendelea na huo mchezo sasa kwa kutumia mikuyenge sahii na sio vidole. Yelewiiii Tuepushe na hii kwa waume zetu mm mwenyewe ntakua mstari wa mbele kumficha huzband aisee
 
hahahahahah..ni mtihani ila nafikiri badala kuingiza kidole wanaweza tafuta njia mbadala...
nashangaa mkuu mkoa anaona sawa tu! lazima tujiulize maswali kwa mtu anayeona sawa kwa kweli...
 
Hivi tezi dume ndio tunaitaje Kwa lugha ya malikia?
 
Mm nishasem sku hio ntavaa kanga nijifanye mwanamke..siwez kuzalilishw
 
[emoji23] [emoji23] ukiweka mgomo baridi itafaa zaidi naona.
 
Hicho kitendo cha kuambiwa uiname tu kinatosha kumvunja mtu mbavu achilia mbali kupigwa dole la kati
 
Hivi hamna njia nyingine ya kupima?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama ndiyo hivi kweli hii ni kutaka kufanyana tuwe makhanithi! Haikubaliki
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…