Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Mimi kuna manzi nilidumu naye miaka 5 hadi mama yake alikuwa ananikubari kinoma yani. Sasa kuna muda tukatengana ila tukaja rudiana kama baada ya miezi mitatu na alinitafuta mwenyewe lakini tulivyorudiana yani alikuwa kama nimekutana na mtu mpya.

Alikuwa ka undego total transformation kuanzia taste ya vitu alikuwa anapenda vitu vya gharma kinoma, akawa hana adabu hata kidogo, mgomvi balaa.

Akawa amekuja tukaishi kama mwezi sitosahau ndipo nilielewaa kwanini kuna wanaume wakitoka kazini wanaishia bar nyumbani wanaenda kulala. Demu alinifanyia vituko sijapata ona.

Alipoondoka akarudi kwao, ndipo tukaendelea kuwasiliana kumbe akiwa huko ana mtu ila mimi nikawa nishasoma mchezo maana mapenzi hayajificha na hizo whatsapp status nikawa nasoma kinachoendelea.

Kuna siku nillimpost binamu yako kama whatsapp profile pic nikamuwish bday. Ghafla napokea video toka kwa huyo bidada kumbe yuko na jamaa sijui wanavishana pete ehe na akanipiga block whatsapp.
Sikuwahi kumtafuta wala kumuuliza chochote nikapiga kimya.

Sikuwahi mfuatilia namba zake nikafuta ikaniuma kinoma lakini sikuwahi thubutu mtafta ila nikawa tu kuna jamaa yangu kila nikikutana naye ananipa habari zake mimi nikamwambia babu sitaki kujua habari zake we kama unamfuatilia mfuatilie wewe mimi sitaki sikia habari zake.

Ikapita miezi nane, nashangaa siku moja napokea msg mambo, namba siijuui kuicheck mpesa nikakuta jina lake nikaipotezea, ikapita kama week tatu ikatuma tena msg nikajibu akauliza we ni flani nikajibu ndiyo, akasema nimekumiss sana yani. Nikamjiu mimi nipo tu. Nikachat naye kawaidatu sikuwahi kumuuliza yuko wapi wala nini tulipomaliza na chip nikaivunja.

siku hizi kila siku anatuma email maana anafahamu email zangu sizjibu.
 
dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana ulimpenda Sana ndio maana ukamtumia na hela any way sio mbaya na pole pia
 
Mi niliacha kimasihara na beby wangu mpk leo bado nampenda ,

Ujinga ulikuwa wangu kuna maneno ya chumban niliyatoa nikasimulia mashoga zangu mtaaani

Basi alivyoyasikia wala hakuniuliza alichofanya ....akasubirj nimemaliza kula , tukaenda kuoga , akanigonga na kimoja tukarudi citing room

Akaniambia beby kuanzia leo mm na ww bac its over tabia yako nimekuonya lakini hutaki kuziacha kweli kwa kipindi kile nilikuwa na tabia za uwongo uwongo

Yaani sikuamini alinifukuza nikagoma kutoka akaniwasha vibao ndio nikajua kuwa yupo serious , nilichezea vitasa nikajikuta nimetoka ndani akanionea huruma

Akwasha gari yake mpk gheton kwangu sikuamini yaani akanisindikiza mpk ndani na maji ya kunywa akaniomba nikampa akanywa akasema maisha mema nilioma kama ndoto

Nililiiia nakumbuka ndio naujauzito wake mchanga , jamaa alikuwa haaamini kbs km nina ujauzito kutoka na tabia za kumdanganya mambo mengi

Mpk niliugua haipertension , ujauzito ukatoka !! Nikabaki kuwa naonana naye kazini

Mpk sasa nampenda japo yupo relation nyingine ila natamani sana abadili msimamo na mawazo yake , sikuwah kupata mwaume kama D wangu

Sio hekima ,busara,kutunza anajali kwenye game ndio usiseme mpk kiu ya maji inakukamata

Najilaumu sana ila ndiyo imetokea japo huwa na mmmisi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki mbili zilizopita tu nimekutana nayo Tena akisema tusijuane hata tukikutana tusisalimiane. Majuzi Kati akakatiza mahali nikamuita akavunga nikajua kumbe kweli alidhamiria. Narudi gheto Mara SMS inaingia "Wewe usipende kuniitaita hata ukiwa na marafiki zako usiniite, Umesikia?" hata sikuijibu Bali nilicheka tu huku moyoni nikijisemea KUVUJA KWA PAKACHA NAFUU YA MCHUKUZI.
 
dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Haahahaahaaa...
 
hio haiapply kwa mademu wote wanaokuacha
kuna madem hawakuulizi chochote hata wakikukuta unakula nyoka

Sent using Jamii Forums mobile app
hawezi kukuuliza but ki-psychology lazima itamtesa....

cause watu wengi wanaowaacha wenzao huwa wanatamani kuona wale waliowaacha wakipitia kwenye hali ngumu..iwe kiuchumi au ki-psychology
 
Back
Top Bottom