Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Nilipo kuwa chuo niliachwa kwa sms, nakumbuka ilikua mida ya saa12 jioni, Mara sms ikaingia, kusoma naona risala ndefu yakuachwa bila sababu yoyote, mwishoni anaandika eti usichukue maamuzi mabaya. Nilicheka moyonj nikasema huyu hanijui Mimi. Basi sikuwaambia hata room mates wangu, nilichofanya nilibeba madesa yangu nakuelekea seminar rooms kusoma, nikasema nikienda library naweza kuonana nae. Room mates walienda library, akawafata nakuwauliza , mbona mmemwa cha mwenzenu peke yake je ! akifanya jambo baya la kujidhuru?, wakamuuliza kwani kafanya nini? akajibu nimemwacha. Wakabaki wanashangaa , wakamwabia mbona hayupo room ameenda kusoma, alivyo sikia vile hakuamini ilibidi anitafute , ahakikishe, alinikuta napiga kitabu na niko norm. Akabaki anashangaa, tukapiga story mbili tatu, wala sikumgusia kuhusu kiniacha. Yaani nilikua na hasira moyoni, na hasira yangu iliishia kwenye kitabu, nahivi tulikua tunajiandaa na UE. Matokeo yalipo toka nilipiga balaa kuliko mitihani yote, yeye akapata sup 3, wale wenzangu nao wakawa na sup za kutosha. Alipoona matokeo yangu hakuamini, akanipigia na kusema hakufikiria kama nitafaulu vile alijua nitadisco .Tukabakia marafiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipo kuwa chuo niliachwa kwa sms, nakumbuka ilikua mida ya saa12 jioni, Mara sms ikaingia, kusoma naona risala ndefu yakuachwa bila sababu yoyote, mwishoni anaandika eti usichukue maamuzi mabaya. Nilicheka moyonj nikasema huyu hanijui Mimi. Basi sikuwaambia hata room mates wangu, nilichofanya nilibeba madesa yangu nakuelekea seminar rooms kusoma, nikasema nikienda library naweza kuonana nae. Room mates walienda library, akawafata nakuwauliza , mbona mmemwa cha mwenzenu peke yake je ! akifanya jambo baya la kujidhuru?, wakamuuliza kwani kafanya nini? akajibu nimemwacha. Wakabaki wanashangaa , wakamwabia mbona hayupo room ameenda kusoma, alivyo sikia vile hakuamini ilibidi anitafute , ahakikishe, alinikuta napiga kitabu na niko norm. Akabaki anashangaa, tukapiga story mbili tatu, wala sikumgusia kuhusu kiniacha. Yaani nilikua na hasira moyoni, na hasira yangu iliishia kwenye kitabu, nahivi tulikua tunajiandaa na UE. Matokeo yalipo toka nilipiga balaa kuliko mitihani yote, yeye akapata sup 3, wale wenzangu nao wakawa na sup za kutosha. Alipoona matokeo yangu hakuamini, akanipigia na kusema hakufikiria kama nitafaulu vile alijua nitadisco .Tukabakia marafiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alilenga kukufelisha mpuuzi huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwanamke aliwahi kuniandikia message ya hivyo aisee! Ile nimemaliza kuisoma tu, nikavuta pumzi ndefu nikatulia.

Nikampigia simu, nikamuuliza hii message ni ya kwangu au imekosewa kutumwa? Akajibu ni ya kwako. Nikakata na simu bila kuongeza neno. Sikupenda kubembeleza maamuzi yake wala kudadisi.

Baada ya siku nne, nilishangaa kuona sms nyingi za kuomba msamaha, sikujibu hata moja. Alipiga simu kibao na sikupokea kabisa. Nilimfowadia ile sms ya kuachana nikaongeza na sms moja tu " Nimeshapata mwingine ".

Alipokuja kuonana nami, nilimwambia 'usivunje mapenzi na mtu wako kwa ahadi za bwana mpya'. Wengine hatuumii kwa kuachwa bali tunasikitika tena kidogo tu.
Japokuwa tulikuwa tunakulana ila penzi halikunoga tena. Maana sikumuamini tena hata 20%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwanamke aliwahi kuniandikia message ya hivyo aisee! Ile nimemaliza kuisoma tu, nikavuta pumzi ndefu nikatulia.

Nikampigia simu, nikamuuliza hii message ni ya kwangu au imekosewa kutumwa? Akajibu ni ya kwako. Nikakata na simu bila kuongeza neno. Sikupenda kubembeleza maamuzi yake wala kudadisi.

Baada ya siku nne, nilishangaa kuona sms nyingi za kuomba msamaha, sikujibu hata moja. Alipiga simu kibao na sikupokea kabisa. Nilimfowadia ile sms ya kuachana nikaongeza na sms moja tu " Nimeshapata mwingine ".

Alipokuja kuonana nami, nilimwambia 'usivunje mapenzi na mtu wako kwa ahadi za bwana mpya'. Wengine hatuumii kwa kuachwa bali tunasikitika tena kidogo tu.
Japokuwa tulikuwa tunakulana ila penzi halikunoga tena. Maana sikumuamini tena hata 20%

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kugegeda uliendelea....safi sana
 
Nilipo kuwa chuo niliachwa kwa sms, nakumbuka ilikua mida ya saa12 jioni, Mara sms ikaingia, kusoma naona risala ndefu yakuachwa bila sababu yoyote, mwishoni anaandika eti usichukue maamuzi mabaya. Nilicheka moyonj nikasema huyu hanijui Mimi. Basi sikuwaambia hata room mates wangu, nilichofanya nilibeba madesa yangu nakuelekea seminar rooms kusoma, nikasema nikienda library naweza kuonana nae. Room mates walienda library, akawafata nakuwauliza , mbona mmemwa cha mwenzenu peke yake je ! akifanya jambo baya la kujidhuru?, wakamuuliza kwani kafanya nini? akajibu nimemwacha. Wakabaki wanashangaa , wakamwabia mbona hayupo room ameenda kusoma, alivyo sikia vile hakuamini ilibidi anitafute , ahakikishe, alinikuta napiga kitabu na niko norm. Akabaki anashangaa, tukapiga story mbili tatu, wala sikumgusia kuhusu kiniacha. Yaani nilikua na hasira moyoni, na hasira yangu iliishia kwenye kitabu, nahivi tulikua tunajiandaa na UE. Matokeo yalipo toka nilipiga balaa kuliko mitihani yote, yeye akapata sup 3, wale wenzangu nao wakawa na sup za kutosha. Alipoona matokeo yangu hakuamini, akanipigia na kusema hakufikiria kama nitafaulu vile alijua nitadisco .Tukabakia marafiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hafai hata kuws rafiki yako
 
Nilipo kuwa chuo niliachwa kwa sms, nakumbuka ilikua mida ya saa12 jioni, Mara sms ikaingia, kusoma naona risala ndefu yakuachwa bila sababu yoyote, mwishoni anaandika eti usichukue maamuzi mabaya. Nilicheka moyonj nikasema huyu hanijui Mimi. Basi sikuwaambia hata room mates wangu, nilichofanya nilibeba madesa yangu nakuelekea seminar rooms kusoma, nikasema nikienda library naweza kuonana nae. Room mates walienda library, akawafata nakuwauliza , mbona mmemwa cha mwenzenu peke yake je ! akifanya jambo baya la kujidhuru?, wakamuuliza kwani kafanya nini? akajibu nimemwacha. Wakabaki wanashangaa , wakamwabia mbona hayupo room ameenda kusoma, alivyo sikia vile hakuamini ilibidi anitafute , ahakikishe, alinikuta napiga kitabu na niko norm. Akabaki anashangaa, tukapiga story mbili tatu, wala sikumgusia kuhusu kiniacha. Yaani nilikua na hasira moyoni, na hasira yangu iliishia kwenye kitabu, nahivi tulikua tunajiandaa na UE. Matokeo yalipo toka nilipiga balaa kuliko mitihani yote, yeye akapata sup 3, wale wenzangu nao wakawa na sup za kutosha. Alipoona matokeo yangu hakuamini, akanipigia na kusema hakufikiria kama nitafaulu vile alijua nitadisco .Tukabakia marafiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aise huyo mwanamke ni fala sana, alikuwa na nia mbaya uharibikiwe!
Huyo asipokuja kuwa mchawi lazima atakuwa mganga wa kienyeji anawapigia watu ramli chonganishi.
Safi sana Mzee kwa kukamua vizuri!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipo kuwa chuo niliachwa kwa sms, nakumbuka ilikua mida ya saa12 jioni, Mara sms ikaingia, kusoma naona risala ndefu yakuachwa bila sababu yoyote, mwishoni anaandika eti usichukue maamuzi mabaya. Nilicheka moyonj nikasema huyu hanijui Mimi. Basi sikuwaambia hata room mates wangu, nilichofanya nilibeba madesa yangu nakuelekea seminar rooms kusoma, nikasema nikienda library naweza kuonana nae. Room mates walienda library, akawafata nakuwauliza , mbona mmemwa cha mwenzenu peke yake je ! akifanya jambo baya la kujidhuru?, wakamuuliza kwani kafanya nini? akajibu nimemwacha. Wakabaki wanashangaa , wakamwabia mbona hayupo room ameenda kusoma, alivyo sikia vile hakuamini ilibidi anitafute , ahakikishe, alinikuta napiga kitabu na niko norm. Akabaki anashangaa, tukapiga story mbili tatu, wala sikumgusia kuhusu kiniacha. Yaani nilikua na hasira moyoni, na hasira yangu iliishia kwenye kitabu, nahivi tulikua tunajiandaa na UE. Matokeo yalipo toka nilipiga balaa kuliko mitihani yote, yeye akapata sup 3, wale wenzangu nao wakawa na sup za kutosha. Alipoona matokeo yangu hakuamini, akanipigia na kusema hakufikiria kama nitafaulu vile alijua nitadisco .Tukabakia marafiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kaka
 
Danadana zilianza kwa kunikwepa kuonana,ukafika muda akachoka kunikwepa siku moja nikamuuliza (kwa sms)kwani D kama mapenzi yangu na wewe yameisha si uniambie tu maana hujawahi kunizungusha kwenye appointment namna hii.
Akajibu "Merua tatizo umechelewa kujua mbona mimi nilishakuacha zamaaani"

Nilirudia kusoma kama mara tano hivi,haikuwa rahisi kuamini maana mahusiano yalikuwa na miaka mitatu yakiwa kwenye level ya juu sana,yalishuka kama mwezi mmoja tu kumbe ndani ya huo mwezi ndiyo alikuwa ameshaniacha tayari bila mimi kujua.

Nikakaa wiki nzima bila kumtafuta wiki ya pili nikasikia anatoka na don mmoja pale mtaani,basi nikaamua kufuta namba na kila aina ya mawasiliano,na maisha yakaendelea nilienda mkoa wa mbali kiutafutaji,nakuja kurudi baada ya miaka miwili alishaolewa na huyo don third wife maana jamaa alikuwa na wake wawili yeye akawa wa tatu,
Kwa sasa ana watoto watatu na mimi nina miaka mitano kwenye ndoa,sijawahi kumchukia kwa uamzi wake kwa kuwa aliangalia maslahi ya maisha yake pengine na future yake,maana mimi kwa kipindi hicho nilikuwa bado najipanga pengine aliona namchelewesha.
Kuachana siyo uadui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangawizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ntakufikiria kilichonitoaa kwako ni uongo kama umejirekebisha ntakufikiria
Mi niliacha kimasihara na beby wangu mpk leo bado nampenda ,

Ujinga ulikuwa wangu kuna maneno ya chumban niliyatoa nikasimulia mashoga zangu mtaaani

Basi alivyoyasikia wala hakuniuliza alichofanya ....akasubirj nimemaliza kula , tukaenda kuoga , akanigonga na kimoja tukarudi citing room

Akaniambia beby kuanzia leo mm na ww bac its over tabia yako nimekuonya lakini hutaki kuziacha kweli kwa kipindi kile nilikuwa na tabia za uwongo uwongo

Yaani sikuamini alinifukuza nikagoma kutoka akaniwasha vibao ndio nikajua kuwa yupo serious , nilichezea vitasa nikajikuta nimetoka ndani akanionea huruma

Akwasha gari yake mpk gheton kwangu sikuamini yaani akanisindikiza mpk ndani na maji ya kunywa akaniomba nikampa akanywa akasema maisha mema nilioma kama ndoto

Nililiiia nakumbuka ndio naujauzito wake mchanga , jamaa alikuwa haaamini kbs km nina ujauzito kutoka na tabia za kumdanganya mambo mengi

Mpk niliugua haipertension , ujauzito ukatoka !! Nikabaki kuwa naonana naye kazini

Mpk sasa nampenda japo yupo relation nyingine ila natamani sana abadili msimamo na mawazo yake , sikuwah kupata mwaume kama D wangu

Sio hekima ,busara,kutunza anajali kwenye game ndio usiseme mpk kiu ya maji inakukamata

Najilaumu sana ila ndiyo imetokea japo huwa na mmmisi sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka Ilikuwa Mwaka Jana Mwezi Wa 6 Hivi...Nilikuwa Nimelala Zangu Mida Ya Mchana Mara Text Ikaingia...

"Samahani Sana Kwa Message Hii,Ila Itabidi Kulizika Hili Penzi,Najua Napoteza MTU Muhimu Sana But Ndo Hivyo Inabidi Tuachane Tu Kwani Siitaji Kuwa Na Mpenzi Tena Mpaka Hapo Baadae....!!

Kidume Nilivyomaliza Kuisoma Usingizi Ukaja Tena Nikalala....sikukumbuka Tena kama Nimeachwa!!!

JE, Ushawahi Kuachwa Kwa Message Wewe....???[emoji23]
subamiiti mjifunzage na kuacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi niliacha kimasihara na beby wangu mpk leo bado nampenda ,

Ujinga ulikuwa wangu kuna maneno ya chumban niliyatoa nikasimulia mashoga zangu mtaaani

Basi alivyoyasikia wala hakuniuliza alichofanya ....akasubirj nimemaliza kula , tukaenda kuoga , akanigonga na kimoja tukarudi citing room

Akaniambia beby kuanzia leo mm na ww bac its over tabia yako nimekuonya lakini hutaki kuziacha kweli kwa kipindi kile nilikuwa na tabia za uwongo uwongo

Yaani sikuamini alinifukuza nikagoma kutoka akaniwasha vibao ndio nikajua kuwa yupo serious , nilichezea vitasa nikajikuta nimetoka ndani akanionea huruma

Akwasha gari yake mpk gheton kwangu sikuamini yaani akanisindikiza mpk ndani na maji ya kunywa akaniomba nikampa akanywa akasema maisha mema nilioma kama ndoto

Nililiiia nakumbuka ndio naujauzito wake mchanga , jamaa alikuwa haaamini kbs km nina ujauzito kutoka na tabia za kumdanganya mambo mengi

Mpk niliugua haipertension , ujauzito ukatoka !! Nikabaki kuwa naonana naye kazini

Mpk sasa nampenda japo yupo relation nyingine ila natamani sana abadili msimamo na mawazo yake , sikuwah kupata mwaume kama D wangu

Sio hekima ,busara,kutunza anajali kwenye game ndio usiseme mpk kiu ya maji inakukamata

Najilaumu sana ila ndiyo imetokea japo huwa na mmmisi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
uache uongo na umbea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipo kuwa chuo niliachwa kwa sms, nakumbuka ilikua mida ya saa12 jioni, Mara sms ikaingia, kusoma naona risala ndefu yakuachwa bila sababu yoyote, mwishoni anaandika eti usichukue maamuzi mabaya. Nilicheka moyonj nikasema huyu hanijui Mimi. Basi sikuwaambia hata room mates wangu, nilichofanya nilibeba madesa yangu nakuelekea seminar rooms kusoma, nikasema nikienda library naweza kuonana nae. Room mates walienda library, akawafata nakuwauliza , mbona mmemwa cha mwenzenu peke yake je ! akifanya jambo baya la kujidhuru?, wakamuuliza kwani kafanya nini? akajibu nimemwacha. Wakabaki wanashangaa , wakamwabia mbona hayupo room ameenda kusoma, alivyo sikia vile hakuamini ilibidi anitafute , ahakikishe, alinikuta napiga kitabu na niko norm. Akabaki anashangaa, tukapiga story mbili tatu, wala sikumgusia kuhusu kiniacha. Yaani nilikua na hasira moyoni, na hasira yangu iliishia kwenye kitabu, nahivi tulikua tunajiandaa na UE. Matokeo yalipo toka nilipiga balaa kuliko mitihani yote, yeye akapata sup 3, wale wenzangu nao wakawa na sup za kutosha. Alipoona matokeo yangu hakuamini, akanipigia na kusema hakufikiria kama nitafaulu vile alijua nitadisco .Tukabakia marafiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo alikuwa shetani aise kwa hiyo alitaka u disco manina walahi ulikuwa una date na jini mahaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Nasikia we jamaa kwa fix kiboko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom