Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Sijui alijuaje kama ndo naandaa chai ninywe

Mm siku ya tukio niliamka tukaongea vizur maana tulikuwa na appointment nile mzgo sas nimetenga chai ninywe naskia sms kusoma
;sic mim sijui kama unanipenda au laah ila naomba tuachane maana kma ungekuwa unanipenda usingenanbia tusex ;

Nilichofanya ni kugonga chai japo haikuwa inapanda mpk leo sijui hta yuko wap yule mbuz pori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnawezaje kuachana kirahisi hivyo?? Mna mioyo wenzetu
dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kwel huwa nasoma alama za nyakati kuna drama zilikua zikianza tu naanza kujitoa mashindanon maana mm sio muumin wa drama at all.
Akija kushtuka yule aliapangwa kuachwa anakua kashajiacha muda na wala hupati maumivu.

Unabakia ule urafiki wa kama inakuja af inakataa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]
Sijui alijuaje kama ndo naandaa chai ninywe

Mm siku ya tukio niliamka tukaongea vizur maana tulikuwa na appointment nile mzgo sas nimetenga chai ninywe naskia sms kusoma
;sic mim sijui kama unanipenda au laah ila naomba tuachane maana kma ungekuwa unanipenda usingenanbia tusex ;

Nilichofanya ni kugonga chai japo haikuwa inapanda mpk leo sijui hta yuko wap yule mbuz pori

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi ndo tunavyofanya. Unajiengua taaaratibu mkishtuka kila mtu ameshasonga mbele kama injili ya Yesu.
Japo nayo inaumaga ila ikishaisha ndo basi
Kwa kwel huwa nasoma alama za nyakati kuna drama zilikua zikianza tu naanza kujitoa mashindanon maana mm sio muumin wa drama at all.
Akija kushtuka yule aliapangwa kuachwa anakua kashajiacha muda na wala hupati maumivu.

Unabakia ule urafiki wa kama inakuja af inakataa...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi ndo tunavyofanya. Unajiengua taaaratibu mkishtuka kila mtu ameshasonga mbele kama injili ya Yesu.
Japo nayo inaumaga ila ikishaisha ndo basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha et injili ya Yesu, Ila ndio hvyo inauma maumivu yake sio kama yale ya kuambiwa ghafla hapa lazma uimbe mapambio

Ila hii nyengne mdogo mdogo mbio unaziacha mkikutana mnaulizana tu hivi upo za masiku "IMEISHA HYOOOO"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza chai bro
dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa 12 asubuhi nilipata ujumbe;
"Samahani kwa kukupotezea muda wako, najua inauma ila ndivyo mapenzi yalivyo, naomba usiwe unanipigia au kunitumia msg utanisababishia matatizo kwa mpenzi wangu"
Nilimjibu "Mbona sikuelewi"
akanijibu "Utaelewa tu"
Mwaka na sehemu ukapita akaachika kule akarudi kwangu, nilimpokea vizuri tukaendelea na hakujua ni wapi naenda kupata pointi tatu, nilimsubiri maumivu yake yalivyoisha na nikasubiri akolee.
Siku moja nilimuita Lodge mapemaaaa, kuanzia saa5 asubuhi mpaka saa2 usiku, siku hiyo nilikula mzigo mpaka alishangaa akaniuliza "vipi mbona leo hivi unanikomoa" nikamjibu "hapana nilikumisi sana".
Baada ya show kuisha saa2 usiku nikamwambia "Samahani kwa kukupotezea muda wako, najua inauma ila ndivyo mapenzi yalivyo, usiwe unanipigia simu au kunitumia msg, utanisababishia matatizo kwa mpenzi wangu"
Sikusubiri kusikia kilio chake au kuona chozi lake nikamuacha humo Lodge, sikupokea simu wala kujibu msg zake mpaka kesho.
Moyo wangu ulilipa kisasi cha Kibuti nikapoa
 
Back
Top Bottom