Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Mwanaume ukipata hii message anachukulia poa tu ila maumivu yanaanza baada ya siku 2 hivi, mwanamke akitumiwa hivi maumivu yanaanza hapo hapo ....sijui kuna nn hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tulikuwa hata hatujawahi kuonana. Akanitumia text "cant do this no more"
Nikamjibu tu "its okey".
Nikampotezea, akaja kunitafuta tena. Ila ndio basi tena.
I'm proud of youSaa 12 asubuhi nilipata ujumbe;
"Samahani kwa kukupotezea muda wako, najua inauma ila ndivyo mapenzi yalivyo, naomba usiwe unanipigia au kunitumia msg utanisababishia matatizo kwa mpenzi wangu"
Nilimjibu "Mbona sikuelewi"
akanijibu "Utaelewa tu"
Mwaka na sehemu ukapita akaachika kule akarudi kwangu, nilimpokea vizuri tukaendelea na hakujua ni wapi naenda kupata pointi tatu, nilimsubiri maumivu yake yalivyoisha na nikasubiri akolee.
Siku moja nilimuita Lodge mapemaaaa, kuanzia saa5 asubuhi mpaka saa2 usiku, siku hiyo nilikula mzigo mpaka alishangaa akaniuliza "vipi mbona leo hivi unanikomoa" nikamjibu "hapana nilikumisi sana".
Baada ya show kuisha saa2 usiku nikamwambia "Samahani kwa kukupotezea muda wako, najua inauma ila ndivyo mapenzi yalivyo, usiwe unanipigia simu au kunitumia msg, utanisababishia matatizo kwa mpenzi wangu"
Sikusubiri kusikia kilio chake au kuona chozi lake nikamuacha humo Lodge, sikupokea simu wala kujibu msg zake mpaka kesho.
Moyo wangu ulilipa kisasi cha Kibuti nikapoa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie bana! Ko ulikuwa unadate na kivuli!
Ndo uligoma kunitajia huyo mtu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie unazijua zile poteza time eeeh?
Mbona nilikutajia[emoji134]Ndo uligoma kunitajia huyo mtu?
Ujikute tuMbona nilikutajia[emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie unazijua zile poteza time eeeh?
Sasa hutaki au?Ujikute tu
Basi usiku mwema.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijawahi kuzijua auntie jamani!
HayaBasi usiku mwema.
Huyo binti ni Mzigua kama wewe, ana bonge la shape!!....hadi performance ikashuka chuo....
Huyo binti ni Mzigua kama wewe, ana bonge la shape!!....hadi performance ikashuka chuo....