Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Mm nimewasemea watumiaji, mm siwez kununua hao watu maana mm nina michezo yangu ambayo ni lazma kabla sex niifanye(ata nikisema leo sitoifanya nitajikuta tu nimeisha ifanya) mbali na hapo najiona kama sijamfurahisha bby wangu. Na hio michezo uwez fanya kwa mkodishaji huduma
Hahah ni nyeto mkuu bila shaka. Unapiga kimoja b4 show au sio?
 
Hahah ni nyeto mkuu bila shaka. Unapiga kimoja b4 show au sio?
Hamna ata . Malaya hamuwez andaana kama mnavyo andaana na bby wako, kwa malaya hakuna minyonyano wala yale maneno ya kichokozi ya mnayoambiana kabla hamjakutana kukulana
 
Unazungumzia vipi Wale wenye wake na bado wananunua hao Dadapoa?

Mnamjua Yuda mtoto wa Yakobo, ambaye Naye licha ya kuwa na Familia lakini alienda kununua kahaba akiwa safarini. Bahati mbaya hiyo kahaba alikuwa ni Mkwe wake, hivyo ulikuwa mtego.

Unamzungumziaje Mtu huyo Mkubwa mwenye jina katika Biblia na ndiye Muanzilishi wa kabila la Yuda?
Yuda si mtu mkubwa, kapewa tu ukubwa na washikaji wake. Achana na story za kutungwa toka hivi vitabu (Biblia na Quran) ishi maisha yako kwa kutumia akili zako mwenyewe, utapotoka. Kama nilivyosema kuwa huu ni udhaifu kwani wanaume wengine ni waoga wa kutongoza hivyo badala ya kutongoza anaona atumie tu hela ili asipoteze muda kutongoza.
 
Yuda si mtu mkubwa, kapewa tu ukubwa na washikaji wake. Achana na story za kutungwa toka hivi vitabu (Biblia na Quran) ishi maisha yako kwa kutumia akili zako mwenyewe, utapotoka. Kama nilivyosema kuwa huu ni udhaifu kwani wanaume wengine ni waoga wa kutongoza hivyo badala ya kutongoza anaona atumie tu hela ili asipoteze muda kutongoza.


😀😀😀

Labda ukiamua kujidanganya. Ila Duniani kuna majina makubwa likiwemo jina la Yuda, Alexander the Great, Napoleon Bonaparte, Ibrahim, n.k.
 
KAMA UTAENDA KUNUNUA DADA POA, ZINGATIA HAYA.

Anaandika Robert HERIEL
Yule Mtibeli, Kuhani katika Hekalu Jeusi.

Mambo haya pengine niya aibu, pengine hayasemeki kwa urahisi, tena hayafurahishi kuonekana hadharani.
Lakini Mimi Taikon nitayasema Kwa uchache Kwa Nia ya kujenga. Na wala sikusudii kuhamasisha Uzinzi. Tena sikusudii kuwaambia mumwasi Mwenye Enzi, huyo aishiye sirini.

Basi ikiwa tamaa yako itafurika mpaka ukashindwa kuizuia kumwagika mwilini mwako. Nawe ukashindwa kudhibiti hisia zako. Ukaamua kumuasi Mungu wako, Kwa kufuata matamanio yako. Basi ikiwa matamanio Mema na mabaya yaliumbwa na Mungu, Ila ukaambiwa uchague matamanio yaliyo Mema. Lakini wewe ukachagua tamaa mbaya basi Taikon atakushauri ufanye Kwa akili huo ubaya wako ili usije ukaangamia Kwa baraka kabla haujatubu, tena usije iingiza familia na kizazi chako katika hasara kubwa.

Basi utakapopata tamaa ya Mwili. Ukavutiwa na kahaba, Kwa mvuto wake, au mikogo yake, au pengine umbile lake likakupagawisha.

Basi haya ndio utakayoyazingatia utakapoenda kununua Kahaba Kwa Aina zake.

1. Usiende na nguo ambazo unazitumia katika shughuli zako za uzalishaji, iwe ni kazi ya kuajiriwa au kujiajiri. Na Kama utaenda nazo basi ukimaliza usizitumie katika shughuli zako tena.

2. Usiende na pesa nyingi ikiwa utaenda katika makazi Yao. Kama BEI ya kumnunua ni Tsh 10,000 basi enenda na Walau Tsh 30,000/=

3. Utakapofika eneo la tukio, usiruhusu wakushike mikono kwenye kiganja chako wanapokung'ang'ania waowao Kwa wao.

4. Usifike na kuchagua papohapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa Mbali.
Zingatia kanuni hii.

5. Chagua kahaba ambaye ngozi yake bado inanuru, pia zingatia umri wake usiwe mdogo Sana wala usiwe Mkubwa Sana.

6. Usimuulize ulize maswali personal, wala usiombe Namba zake za simu ikiwa ndio mara yako ya Kwanza au yapili kununua Huduma yake.

7. Bila Shaka hatakuruhusu kumnyonya Romance, labda utoe dau kubwa. Hata uvutiwe naye Kwa kiwango kipi, kamwe usikutanishe mdomo wako na wake, wala ulimi wako na wake.

8. Usiwe na vitu vingi. Wala usivue suruali yote wakati wa tendo. (Kwa part-time)
Na Kama umechukua Hoteli (Kwa full-time) ili umtumie usiku mzima. Basi Asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa Asubuhi hajawika, au aondoke kabla ya jogoo wa Alfajiri hajawika

9. Usimpeleke kahaba katika Nyumba yako. Unayoitumia wewe na Mkeo, na wanao wakuwazaa, na wajukuu zako.

10. Usimdhulumu kahaba malipo yake. MPE kadiri ya mapatano Yenu.

12. Usitumie ulimi wako kumlamba mahala popote kahaba.

13. Usionyeshe Ubora wa nguvu zako Kwa kahaba pindi ufanyapo mapenzi naye.
Kwa maana huwezi shindana na kahaba, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake.

14. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Kahaba.
Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo.
Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo WA ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu.

15. Usiogope magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Kahaba isipokuwa ogopa Dhambi ya uzinzi unayoifanya.

16. Usikae chini. Alafu kahaba aje juu yako. Bali wewe ndio uwe juu Kwa mitindo yote mtakayoitumia.
Kwa sababu mwanaume ndiye anapaswa kuwa juu. Na Kama kuna mwanamke anayestahili kuwa juu basi ni Mkeo uliyemuoa ukamuacha NYUMBANI.

17. Utakapofika mshindo, usiache shahawa zako kiholela. Ikiwezekana ondoka nazo ukazitupie mbele Kwa mbele.

18. Usiwekeane ahadi na nadhiri na kahaba. Usimuahidi ahadi yoyote kwa maana wengi wao wamejawa na hila za falme za Giza.

19. Usiguse Jambo lolote NYUMBANI kwako utakaporudi kabla haujajitakasa.
Usimkumbatie Mkeo, wala watoto wako, wala wajukuu wako utokapo kufanya uzinzi na kahaba.

20. Linda simu yako uwapo na kahaba, hata Kama hataiiba lakini iwe imedhibitiwa na namba za Siri

21. Usije ukajisahau ukazaa na Kahaba ilhali unajua unamke.

22. Usifanye mapenzi na kahaba taa zikiwa zimezimwa.

23. Usifanye mapenzi na kahaba ukiwa haupo timamu kiakili, aidha ukiwa umelewa pombe au kutumia vilevi vingine vinavyoathiri ubongo.

24. Kama vile usivyomjua vizuri huyo kahaba nawe asikujue vizuri.
Jitahidi kudanganya karibu kila kitu hasa mambo yanayohusu familia yako, na kazi yako.

25. Kama amekufurahisha Sana unaweza mpa Bonus Kwa kuifanya roho yako ijisikie Raha.

26. Usiende kununua kahaba Kama hujiwezi Kwa self-defence na kupigana. Hii itakusaidia Kama itatokea dharura za yeye kukufanyia uhuni Kwa kukuuza Kwa ving'asti Kwa kukusingizia haujamlipa au umemlipa Pungufu ilhali ulimlipa mlivyokubaliana. Hivyo kujua mapigano na kujihami kutakuzuia usidhurike Sana.

27. Usinunue Kahaba eneo ambalo ni mbali na barabara. Eneo ambalo limejitenga Sana usiende kuchukua kahaba.

28. Ikiwa utaundiwa zengwe na kukamatwa na huyo kahaba basi suluhisha uwezavyo ishu isifike Kwa familia yako.

29. Ikiwa umenunua kahaba Kwa Tsh 30,000/= basi hakikisha NYUMBANI siku hiyo umeacha mara mbili ya hiyo.

Baada ya kusema hayo Taikon anaomba apumzike.

Andiko hili sio Kwa watakatifu, Bali Wale wote waovu walioshindwa kuzizuia hisia zako.

Hata hivyo, mambo hayo Kama mlivyoyaona ni mambo mengi Sana. Hivyo ni Bora mtu aache kujihangaisha na kununua Dadapoa.

Ulikuwa nami;

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
hapa boss umeeleweka vizuri. Ila ongeza na hii "ukimnunua kahaba kwa pesa isiyo kamilika mfano 8,000/= basi hakikisha umetoa hyo pesa kamili, yani 8,000/= Otherwise ukimpa 10,000/= basi hakikisha hauchukui chenji. kumbuka kuwa wengi wao wamejawa na falme za giza"
 
hapa boss umeeleweka vizuri. Ila ongeza na hii "ukimnunua kahaba kwa pesa isiyo kamilika mfano 8,000/= basi hakikisha umetoa hyo pesa kamili, yani 8,000/= Otherwise ukimpa 10,000/= basi hakikisha hauchukui chenji. kumbuka kuwa wengi wao wamejawa na falme za giza"
Kwaiyo akikupa chenji inakuwa ina nguvu za kukurudisha tena kwake ama?
 
😀😀😀

Labda ukiamua kujidanganya. Ila Duniani kuna majina makubwa likiwemo jina la Yuda, Alexander the Great, Napoleon Bonaparte, Ibrahim, n.k.
Sawa, umewahi jiuliza japo hata kidogo....zaidi ya kumsaliti Yesu alifanya nini cha maana maishani? Anza hapa kwanza.
 
Sawa, umewahi jiuliza japo hata kidogo....zaidi ya kumsaliti Yesu alifanya nini cha maana maishani? Anza hapa kwanza.

Yuda aliyemsaliti Yesu sio Yule Yuda mtoto wa Yakobo Mkuu.
Hapo unazungumzia watu waliopishana miaka 2000 kwa kuishi Duniani.

Nafikiri bado unahitajika kujifunza
 
Hapa naona mmezungumzia wale kujipanga barabaran tu Sasa vip kwa wale malaya wa high quality ambao ukitaka huduma unaenda kwake au hotelin siku nzima unahudumiwa kama mme kuanzia kuogeshwa, massage, pedicure and manicure, msosi had sex wenyewe kutiwa nao tuepuke mambo Yapi?
DeepPond ROBERT HERIEL schoolboy

😀😀😀

DeepPond atakujibu, yeye ndiye mtaalamu
 
Sawa, umewahi jiuliza japo hata kidogo....zaidi ya kumsaliti Yesu alifanya nini cha maana maishani? Anza hapa kwanza.
Nimefatilia majibu yenu Umejibu kitu irrelevant
Ishu ni we kushangaa mwanaume kununua kahaba ukapewa mfano wa majina makubwa mambo ya aifanya nini kwenye maisha haina concerned na kile ulicho uliza


And yes kununua kahaba sio wote domo zege watu wana wake na kuna wenye wapenzi zaidi ya mmoja kama mimi na bado wananunua

So usikariri au kutolea conclusion kitu usichojua kwanza makahaba wenyewe hununui kama ulivyosema na si ajabu hujawah waona au kuishi karibu nao au kuwa na rafiki wenye tabia hizo

Umezaliwa na wazazi wawili stable home umesoma ,umepata kazi una mke muuzuriaji mdhuri wa kanisani hata maskani hujawai kaa so usitoe conclusion katika kitu usichokijua
 
Malaya ni malaya tu mkuu
Awe professional, international au local wote ni changudoa tu kwani wanafanana karibu kila kitu tofauti yao ni levels zao na namna wanavyofanya kazi tu. Muda mwingine tofauti hiyo ipo ili kukidhi na kumudu mahitaji/matakwa ya wateja tu, Namaanisha wamejiclassify ili wewe uchague unayemudu kumnunua ndiyo maana wapo hao uliowataja ambao dau lao lazima liwe juu lakini pia wapo mpaka wa buku mbili wale ambao ukikosea kuunganisha bao ndani kwa ndani basi utalipa mara mbili ya mlichokubaliana au sivyo jiandae kwa lolote.

Kimsingi malaya wote wanafanana na Sikuhizi wana mtandao wao na wapo connected kwa kiasi kikubwa sana tena hupeana mbinu ambazo wote huzitumia pindi wanapokuwa na wateja wao,mbinu hizo ni zile za kufurahisha na kumchanganya mteja na zile ovu za kuweza kudhuru kumbuka malaya hawana hata punje ya utu au huruma, hawa wanaweza kukufanya lolote kwa sababu yoyote ile.

Hivyo mkuu jihadhari sana dhidi ya hivi viburudisho na kamwe usijaribu kuwaamini kwa kuangalia sura zao kwani ni mashetani yaliyovaa sura za binadamu.
Usiwaamini hata wale wanaotolea huduma nyumbani kwao tena hao ndio wabaya sana na wanaweza kukuitia hata mwizi na ukapigwa hata ufe.
Nashauri tutumie ushauri wa mtoa mada na wachangiaji wengine kwa malaya wa level zote bila kuangalia bei na huo wanaojifanya sijui ukarimu mara massage, scrub, manicure, na mitego mingine mingi.

NB usikubali malaya akunyoe mavu.. [emoji3][emoji3][emoji38]
Hilo la kunyolewa mavuz ndio geni kwangu ukimruhusu ndio kuna nini mkuu[emoji1787]
 
Hapa naona mmezungumzia wale kujipanga barabaran tu Sasa vip kwa wale malaya wa high quality ambao ukitaka huduma unaenda kwake au hotelin siku nzima unahudumiwa kama mme kuanzia kuogeshwa, massage, pedicure and manicure, msosi had sex wenyewe kutiwa nao tuepuke mambo Yapi?
DeepPond ROBERT HERIEL schoolboy
Wapo wapi hao mpaka wanakuogesha na kukupikia nami nikapate experience
 
Hivi msichana uliyempenda mchana ukamtongoza mpaka mishipa ikasimama na kumfutilia mpaka raba ikaisha.

Ukaamua kwenda kumvutia taswira kwa kahaba halafu ukaenda gengeni ukamkuta ukamnunua. Mwisho wa siku haya msharti unayazingatia?????
 
Back
Top Bottom