Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Huu ndio uonez wenyewe.Kizazi changu kimekosa nini wakat uzinzi nafanya kwa habar zangu binafsi? Halaf watu wakianzaga kupinga scripture kwa mambo kama haya mnaanza kuwaona sio.

Kizaz changu kinahusika vipi.
Au kosa alifanyaga babu wa kizazi cha miaka hiyo afu kosa napatiliziwa mimi.. je mimi nahusika na nini akati sikuwepo.
 
Mfani hai wewe tizama porn stars wanamkwanja hatari na wanaishi kwelikweli.
Wazee wa mafanikio ya kiroho sijui ulimwengu wa nafsi mkae mbali, maana utawasikia hayo ni mafanikio ya ulimwengu wa nyama tu.
Acha uwoga chakata mbususu mkuu.
Yesu akuokoe ndugu yang uzinzi n chukizo la mungu bora kuwa maskin ila mungu yuko na ww kuliko uwe tajir halaf una chukizo la mungu mbususu n laana kama hujaoa huwa ukiingia ndani inakukodelea sn sema unakuwa hujui
 
Ila bwana kuna watu ni wazinzi, katika maisha yangu nimebahatika kukutana na huyu mwamba, sijui na sifikiri kama kuna mtu anamfikia. Jamaa ni mzinzi sijawahi kuona. Ndio ile mnasema amejaza semi.

Uzinzi unaleta umasikini, pesa unayospend kwa mwanamke ili umfurahishe ni nyingi na hairudi.
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
Umasikini siyo mali tu, unaweza kuwa na mali usiwe na afya njema. Huku una mali huku unaishi kwa matumaini. Kama si umasikini ni nini huo?
 
Ila bwana kuna watu ni wazinzi, katika maisha yangu nimebahatika kukutana na huyu mwamba, sijui na sifikiri kama kuna mtu anamfikia. Jamaa ni mzinzi sijawahi kuona. Ndio ile mnasema amejaza semi.

Uzinzi unaleta umasikini, pesa unayospend kwa mwanamke ili umfurahishe ni nyingi na hairudi.
IGA ufe chief
 
Ila bwana kuna watu ni wazinzi, katika maisha yangu nimebahatika kukutana na huyu mwamba, sijui na sifikiri kama kuna mtu anamfikia. Jamaa ni mzinzi sijawahi kuona. Ndio ile mnasema amejaza semi.

Uzinzi unaleta umasikini, pesa unayospend kwa mwanamke ili umfurahishe ni nyingi na hairudi.
Hiki kitu ni kwel zinaa ina cost sana financially kwa mtu ambaye huna means reliable za kifedha.Yan una bangaiza bangaiza tu halaf ujitie kwenye uzinzi lazima ufe masikin
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
Kuna msemo usemao maisha fainali uzeeni narudia tena fainali uzeeni na ujana ni maji ya moto.

Binadamu yeyote akianza kutimiza 60 upepo wa maisha huanza kubadilika kwani zile nyakati za kustaafu zimeshafika ni nyakati ambazo kila binadamu huanza kuvuna alichokipanda takribani kwa miaka 40 .

Sasa katika miaka hii 40 kama ulitumia asilimia kubwa ya kipato chako katika uzinzi , kuhonga wanawake ndicho utakachokivuna uzeeni na

Kama asilimia kubwa ya kipato chako ulitumia kwenye kuwekeza miradi , nyumba , biashara pia utavuna ulichokipanda .



Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Yesu akuokoe ndugu yang uzinzi n chukizo la mungu bora kuwa maskin ila mungu yuko na ww kuliko uwe tajir halaf una chukizo la mungu mbususu n laana kama hujaoa huwa ukiingia ndani inakukodelea sn sema unakuwa hujui
Mtumishi unaijua mbususu😂🤣
Umasikini ni laana mkuu na hiyo laana ameitoa huyohuyo Sir God usijisifie laana
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya uzinzi na umasikini. Wewe kama haufanyi kazi, hauna chanel ya hela, huna mishe zinazokuingizia kipato, UTAKUFA MASIKINI whether uwe mzinzi au la.

Pili, kitu kimoja ambacho wengi hamkijui, watu wanaohonga sana ni WASIO NA HELA! Watu wenye hela zao hua hawahongi ovyo ovyo manake wanawake wanajipeleka wenyewe na wanatoa mbususu bure kabisa bila kupewa ata senti tano.
 
nakubaliana na wewe mkuu


Sex is overrated,zinaa sio nzur mbali na kupoteza fedha na muda…inavutia majanga pia kwenye maisha na kizazi chako…moja kat ya kaz kubwa tunapaswa kuifanya binadamu n kujizuia,kujitawala,kujithibiti na kujiweza….
Hivi uzinzi tu unaowapa raha wahusika wote wawili ndiyo dhambi kubwa zaidi kuliko dhambi zote ikiwemo ile ya kukatisha uhai wa binadamu mwingine?
 
Back
Top Bottom