Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Huu ndio uonez wenyewe.Kizazi changu kimekosa nini wakat uzinzi nafanya kwa habar zangu binafsi? Halaf watu wakianzaga kupinga scripture kwa mambo kama haya mnaanza kuwaona sio.

Kizaz changu kinahusika vipi.
Usicheze na Mungu
Alishasema 'Nawapatiliza wana maovu ya Baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne na ninawarehemu maelfu wanipendao na kuzishika amri zangu ....'nyieee acheni tu Mungu anatisha
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
Fanya uzinzi na wewe ndugu ili uwe tajiri kama hao unaowatolea mfano.
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
Kwahiyo unataka kuwa mzinzi,iga ufe,do it at your own risk....
 
Huwezi kuwa mzinzi alafu ukawa na Maisha mazuri.

Lakini unaweza ukawa na Maisha mazuri alafu ukawa mzinzi alafu baadaye ukafilisika.

Uzinzi unahitaji Pesa. Kwa kijana mtafutaji uzinzi haumfai Kwa sababu kidogo akipatacho kinatolewa macho na pisikali. Hivyo atakosa Pesa ya kuwekeza na kufanya Maendeleo.
Ukiwa na demu utahitaji kumtunza, kumlipia bills zake ikiwa ni pamoja na kulipia Kodi nyumba anayoishi.

Lakini unaweza ukawa sio mzinzi, ukapata Maisha mazuri ndipo uwe mzinzi.
Hivyo ukiona MTU amefanikiwa na hapohapo ni mzinzi basi jua ameanza uzinzi Baada ya mafanikio.

Huwezi ukatoka familia Maskini alafu ukawa mzinzi kisha uje kuwa na Maisha mazuri
Uzi ufungwe, umemaliza mkuu.
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
Uzinifu ni dhambi, kama unafilisi, basi inategemea mhusika ananunua kwa hela gani mpaka imfilisi. Kimaadili, kuzini ni upotofu!
 
Hamna lolote,Ina maana masikini wote ni wazinzi?
Unatakiwa ujiulize sababu za mtu kuwa masikini ni nini? Ndo hiyo uzinzi inaweza kuwa sababu mojawapo kwa watu kadhaa na wengine wakawa na sababu zao zinazowafanya kuwa masikini, nasababu Moja wapo inayofanya watu wengi wawe masikini nikupanga matumizi kwenye mifuko ya watu wengine badala ya kufanya kazi kwa bidii na kutafuta pesa zao.

Mtoto anapanga matumizi kwenye pesa ya mzazi wake, mzazi naye anasahau kesho ya mtoto ni yeye Bali anapanga matumizi kwenye mfuko wa mtoto kwamba atamtafutia pesa, Jirani naye anapanga matumizi kwenye mfuko wa Jirani yake anakula vizuri kwamba atamlisha yeye, hivyo umasikini unaletwa na sababu tofauti kwa watu tofauti.
 
Wanawake wazuri wanahitaji pesa kuwapata, tena nyingi sana , hyo lugha ya balaa na mikosi ni lugha ya kificho tu , balaa na mikosi ni kukombwa vijipesa vyako vya mawazo , anza kufanya uzinzi , ukifikia ile level laki 5 kwako ni vijichenji unavyotupiaga kwenye dashboard ya v8 yako unaporudishiwa chenji supermarket 🤏
 
Mfano hai wewe tizama porn stars wanamkwanja hatari na wanaishi kwelikweli.
Wazee wa mafanikio ya kiroho sijui ulimwengu wa nafsi mkae mbali, maana utawasikia hayo ni mafanikio ya ulimwengu wa nyama tu.
Acha uwoga chakata mbususu mkuu.
Wanakuwa na watoto? Au kuwa na watoto baadaye na hao watoto hawapo affected?
 
Back
Top Bottom