Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Starehe inakula hela, na uzinzi ni sehemu ya starehe; kama unajua kuzitafuta hakuna shida, Mungu hakumuumba mwanadamu aishi kwa shida, bali binadamu anatakiwa aishi kwa starehe.
 
Kuna watu wanambishia mleta mada. Lakini ukweli ndio huo. Mtu hawi masikini ghafla. Leo unamuona mzinzi na Ana maisha mazuri mpaka unayatamani lkn je maisha yake ya baadaye utayajua?! Watu wanafilisikaga wanapata mikosi na mabalaa ikiwemo vifo vya mapema.
 
Acheni uzinzi bhan kuna wake kwa ujumla wake Wana mikosi

Natoa kisa changu
Nikiwa nikiwwa najiandaa na safari yangu ya kikazi kwenda sumbawanga usku wake nilikwenda bar kupiga bia mbili tatu na Broo wangu moja HV uyule hapo bas tukakutna na pisi kali kwenye hiyo bar tukawapiga bia nao ,mmoja nikawa nimemuelewa ndipo jamaa angu akanimbia ruka na huyo mtoto ,mtot amenielewa nikaona fresh POA Basi nikaona fresh nikachukuwa mtot fresh had asbh nikamkamua vzr nikaagana nae huyo nikachukuwa ndiga niakzogee she'll ya manyannya hapo uyole nikajaza wese Kisha nikatembee kulekeaa swumbawanga Kisha mpanda

Nilipo fika mlowo nikaona wacha nipitie Kaz fln huko ndani ndani nikaona wacha nilale mlowo asbh nianze safari aloo kat ya saa mbili na robo nilikula mzinga wa hatari gari lote la kampuni ikawa chapati haitamaniki ajabu nilitoka mzima Kama nilivyo


Huwa nikikumbuka Hilo tukio nafananisha na nainahisi kbsa Ni Yule mwnaamke alinialetea mikosi huo ..

Jmn kwangu ngono naisi pia inamikoso ktk maisha yangu
Universal....
 
Kuna mwamba Didier Kinuani kule Congo DRC, anakula papuchi si mchezo...na siyo ilimradi papuchi, ni papuchi za viwango tu...yet bado yuko vizuri sana kiuchumi. Raha ya pesa ni kupiga mashine.
 
Kitu chochote kikisemwa sana jua kinaukweli, jambo lolote lina kanuni ya muda kuleta matokeo hivyo hao unaowajua wanafanya uzinzi na Bado wapo vizuri kiuchumi wape muda utapata majibu baada ya kuanza kushuka kiuchumi.
Mbona marehemu Regnald mengi kata na pesa zake?
 
Kuna bro mmoja kkoo yupo toka miaka ya 90 mwishoni hata kiwanja hana na sio kwamba hapati hela anapata sana tu kuzidi watu wengi ila yeye hela zake anatombea tu *****. Madogo wamekuja mjini wana miaka 6 tu wan wameanza kujenga yeye anatombea tu pes zake.

Ni kweli uzinzi sio kabisa
 
Back
Top Bottom