Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwakweli, tule tu uduvi tuongeze protini mwilini kuliko hiki kifaduro[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Chaaaah
Nimecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti kifaduro[emoji1787][emoji174]
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
Unamaliza mbegu
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
Wewe ni mzinzi? Hebu tupe uzoefu wako.
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
mama D pitia hapa...
 
Mimi uzinzi siachi na maisha yanaendelea...hakuna raha kama kuloweka kwenye mbunye mpya
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi
 
Unajua Kama Watanzania hasa kijana unayetoka Familiya maskini unabidi kuwa makini na Uzinzi tofauti na. Hapo utalaumu watu kuwa wana roho MBAYA . Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom