Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

Kama unafanya uzinzi tayari umejiweka vizuri kiuchumi, na uzinzi wako haugusi biashara au kazi yako haina shida.

otherwise ni kweli, uzinzi unaleta umasikini ndio. Maana kama hufanyii kwako, mtoko mmoja unakula si chini ya 50. Uzinzi na ulevi unaleta umasikini.
 
Kama unafanya uzinzi tayari umejiweka vizuri kiuchumi, na uzinzi wako haugusi biashara au kazi yako haina shida.

otherwise ni kweli, uzinzi unaleta umasikini ndio. Maana kama hufanyii kwako, mtoko mmoja unakula si chini ya 50. Uzinzi na ulevi unaleta umasikini.
 
Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina.

Hio stereotype imetoka wapi


Wewe kuwa mzinzi, kama kuna ongeza hela, kila mtu na mbinu zake.
 
Kama unafanya uzinzi tayari umejiweka vizuri kiuchumi, na uzinzi wako haugusi biashara au kazi yako haina shida.

otherwise ni kweli, uzinzi unaleta umasikini ndio. Maana kama hufanyii kwako, mtoko mmoja unakula si chini ya 50. Uzinzi na ulevi unaleta umasikini.
 
Back
Top Bottom