Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo, Nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.
Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika. Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.
Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi, nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi, kuna kondoo wengine wa bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje, huenda walikuwa wanasubiri misa ya pili.
Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya, wamependeza Sana kwakweli, sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile, lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.
Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike, yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana, na hapo ndipo nilipopata mshangao.
Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu, kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.
Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?
Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?
Je waumini wanaridhika na hili?
Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!
Ni hayo Tu!
Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika. Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.
Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi, nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi, kuna kondoo wengine wa bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje, huenda walikuwa wanasubiri misa ya pili.
Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya, wamependeza Sana kwakweli, sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile, lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.
Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike, yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana, na hapo ndipo nilipopata mshangao.
Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu, kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.
Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?
Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?
Je waumini wanaridhika na hili?
Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!
Ni hayo Tu!