Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!
Tatizo ni kukosekana picha
 
Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!
Ngoja kondoo wa JamiiForums waje kukupa mapovu
 
Warembo wanatafuta husband...hali mbaya mtaani
Hili nalo huenda ni sababu kubwa, vitu kama mavazi, nywele na vipodozi vinachangia kwa kiasi kikubwa binti kuvutia njemba, na wao hilo wanalijua. Ndo maana ni vigumu sana kuwashawishi mabinti waende kwenye events na mavazi au mwonekano ambao hautavutia viewers wengi, hilo liko kiasili kabisa.
 
Hili nalo huenda ni sababu kubwa, vitu kama mavazi, nywele na vipodozi vinachangia kwa kiasi kikubwa binti kuvutia njemba, na wao hilo wanalijua. Ndo maana ni vigumu sana kuwashawishi mabinti waende kwenye events na mavazi au mwonekano ambao hautavutia viewers wengi, hilo liko kiasili kabisa.
Ah wee hawa wanatuhitaji sana tuu kama vile sie tunawahitaji sema wao hitaji lao ni kuitwa mke wakati sie ni kula mbususu na kuzaliaha tuu.
Mie nasubiria miaka saba ijayo watakuwa wanawake wanatuomba tukafunge ndoa kuficha aibu
 
Hii chai ingependeza kama ingekuwa ni chai kutoka mkoani ila Kwa joto la dar chai haishuki mkuu
 
dini biashara
Dini siyo biashara.
Bali Dini ni utoaji wa huduma ya KIROHO unaoambatana na uchangiaji wa huduma hiyo kwa kuzingatia uwezo wa waumini.
Ndio maana utaona KIJIJINI ndani huko, DINI inatoa huduma lakini uchangiaji ni mdogo sana kuliko gharama ya huduma inayotolewa( Ingekuwa dini ni biashara, basi makanisa hayo yangefungwa( Kwasababu, lengo la biashara ni kutengeneza FAIDA na siyo vinginevyo)).
 
Ah wee hawa wanatuhitaji sana tuu kama vile sie tunawahitaji sema wao hitaji lao ni kuitwa mke wakati sie ni kula mbususu na kuzaliaha tuu.
Mie nasubiria miaka saba ijayo watakuwa wanawake wanatuomba tukafunge ndoa kuficha aibu
Na hili lilishatabiriwa, kuna sehemu kuna andiko kwenye bible........yaani binti anakufuata kuomba aitwe tu kwa jina lako kwamba ni mkeo, ila mambo yote mengine anajigharamikia mwenyewe.
 
Na hili lilishatabiriwa, kuna sehemu kuna andiko kwenye bible........yaani binti anakufuata kuomba aitwe tu kwa jina lako kwamba ni mkeo, ila mambo yote mengine anajigharamikia mwenyewe.
Ndio nasubiria huo utabiri utimie tujilie vyetu kwa raha
 
Kwahiyo waimbe wakiwa uchi vile....mbona pahala pa kuvaa vibaya papo....haiwezi kuwashinda sikumoja tu katika wiki kuvaa vyema kwa ajili ya Mungu
Huoni walengwa wanaohitaji kunaswa kwenye nyavu wapo hapo kanisani, wapi pengine atawapata.....hahaha..
 
Back
Top Bottom