Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
🙏🙏Karibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏Karibu sana
HahahaHakawii huyo mkuu kukutimbia na kukuzingua tena hahah
Tupo p1 usijali! Karibu! Ila ile offer ya UK nasikitika nimeikosa nili fit vigezo ila ndio hivyo sipo uk[emoji1][emoji1][emoji1]Wacha kunisema vibaya nimeshaomba msamaha tayari nikasema nimekosea mimi hapa ni mgeni. Kwa hiyo nimejibu mada sio zangu.
Hii hanihusu Lakini kama nalengwa mimi nisha omba radhi kwa kujibu mada zenu. Sikujua nimechanganya kuwa hapa ni mgeni. 🙏🙏Hahaha
Usijali utapata tuu, inshaaalah 🙏🙏Tupo p1 usijali! Karibu! Ila ile offer ya UK nasikitika nimeikosa nili fit vigezo ila ndio hivyo sipo uk[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji7]Hii hanihusu Lakini kama nalengwa mimi nisha omba radhi kwa kujibu baada zenu. Sikujua nimechanganya kuwa hapa ni mgeni. [emoji120][emoji120]
[emoji1360][emoji120]Usijali utapata tuu, inshaaalah [emoji120][emoji120]
Mkuu naona unataka kujiweka Kwa mtoto wa kizanzibar[emoji1360][emoji120]
Bwanawee! Nawasikiaga tu! Nasikia wana adabu na heshima, pia lafudhi ya maongezi yao huniacha hoi kabisa[emoji2958]Mkuu naona unataka kujiweka Kwa mtoto wa kizanzibar
Kweli mkuu Wana lafudhi tamu Sana na lugha ya mwambao hata kama mfukoni salio limepelea wala haujali hahahaBwanawee! Nawasikiaga tu! Nasikia wana adabu na heshima, pia lafudhi ya maongezi yao huniacha hoi kabisa[emoji2958]
[emoji1][emoji1] kuna comoros mzee, tena wale wana balaa sanaKweli mkuu Wana lafudhi tamu Sana na lugha ya mwambao hata kama mfukoni salio limepelea wala haujali hahaha
Ahsante saaana[emoji7]
[emoji120]Ahsante saaana
Mm ni mpiga vyombo kanisani, kuna mwana kwaya mmoja yani ananiponza sana na nguo zakeAround saa mbili na ushee asubuhi ya Leo, Nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.
Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika. Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.
Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi, nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi, kuna kondoo wengine wa bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje, huenda walikuwa wanasubiri misa ya pili.
Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya, wamependeza Sana kwakweli, sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile, lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.
Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike, yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana, na hapo ndipo nilipopata mshangao.
Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu, kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.
Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?
Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?
Je waumini wanaridhika na hili?
Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!
Ni hayo Tu!
Mkuu utasalimika kweli?Mm ni mpiga vyombo kanisani, kuna mwana kwaya mmoja yani ananiponza sana na nguo zake
Nimeshawashtukia Sana hao!watu walivo soma kwamba kuna matako wanataka picha😂😂😂
yan anavaanguo kama diva kanisani na hata akifunga kama ufungaji wake ni balaa ase na ana kabody flan ivi ananifanya nachanyanya codeMkuu utasalimika kweli?