Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Hakuna linaloitwa dhehebu leo lililo salama mkuu,usijidanganye,you need to stand on your own,Shetani kamaliza kazi.Kanisa gani tuanzie hapo.. usije kuta ni tawi la masanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna linaloitwa dhehebu leo lililo salama mkuu,usijidanganye,you need to stand on your own,Shetani kamaliza kazi.Kanisa gani tuanzie hapo.. usije kuta ni tawi la masanja
Mkuu hata kama hakuna picha,mimi nimeyashuhudia,so I know it is true.Apuuzwe Tu, Ameshindwa Kushawishi Hadhira Ya JF
Ni Kati ya Yale makubwa kabisa mawili duniani, nakuachia ubet hapoKanisa gani tuanzie hapo.. usije kuta ni tawi la masanja
hakuna picha ni chaiAround saa mbili na ushee asubuhi ya Leo, Nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.
Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika. Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.
Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi, nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi, kuna kondoo wengine wa bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje, huenda walikuwa wanasubiri misa ya pili.
Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya, wamependeza Sana kwakweli, sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile, lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.
Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike, yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana, na hapo ndipo nilipopata mshangao.
Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu, kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.
Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?
Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?
Je waumini wanaridhika na hili?
Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!
Ni hayo Tu!
Wapi hamna kituMadam ni kosa kisheria kumpiga mtu picha au kutumia picha ya mtu bila ruksa yake
hivi akimpiga mtu picha alafu akisema kazalilishwa huyo aliyepigwa picha wewe utaenda kumtolia zaman na kumlipia faini ETUGRUL BEY
Yeah! Kamaliza kazi, kila mtu yarabi roho yanguHakuna linaloitwa dhehebu leo lililo salama mkuu,usijidanganye,you need to stand on your own,Shetani kamaliza kazi.
Tunaendelea kujifunza mkuuKwanza hao ndio kondoo maalum waliohalalishwa kuliwa mbali ya kulana wao kwa wao ni kipoozeo muhimu haswa kwa viongozi wao na ndio kundi linalo ongoza kuvunja amri karibia zote za Mungu wanao muabudu , UZINZI, UFUSKA NA UASHERATI, WASHUHUDIAJI WA UONGO, WAFITINI, WALEVI, NA AMRI NYINGINE ZA MUNGU, lakini haya yote wanayafanya nyuma ya kivuli cha kwaya na kanisa! Na muda mwingine bora hata hao wana kwaya kuliko wake za wachungaji
Mkuu utafika mbinguni umechoka Sana hahahaSiyo wanakwaya tu, hata waumini.
Kuna wakati ibada yangu ilitekwa nyara na binti aiyebana makalio na alikaa mbele yangu.
Yaani mwili wote ulikuwa unasisimka kila tukisimama na kuimba mapambio!
Uishi Maisha marefu Kwa kuongea lililo Hakiyanayofanyika makanisani ninushenzi mtupu huko kwenye kwaya ndio ufuska umepitiliza wananyanduana Chini ya mwavuli wa kwaya Yana ni ushenzi mtupu.
Na hapo wanasifiana umependeza wakati ni ufuska mtupu tunawasema Sana wavaa kobasi Ila wanajistiri Sana wakiwa kwenye ibada zao
Kama wameamua mpaka kuwafuta kondoo WA bwana huko kanisani basi hakika Hali ni tete Sana mkuuHuyo mdangaji nae si anaenda kutafuta madanga kanisani, unafikiri wanakosekana kanisani hao? Wanazama hadi Church kwenda kudanga, ukiingia line imekula kwako
Mkuu nitake radhi tafadhaliZanzibar2014 na ETUGRUL BEY ni mtu mmoja.
Mkuu ni hatar SanaKuna familia ya mchungaji mmoja alikua na mkewe ( mama mchungaji) wakiwa wamebahatika kua na mtoto mmoja, ila katika harakati tu za kimaisha mkewe akalazimika kwenda kutafuta kazi, huyu mama akakumbana na rushwa ya ngono huko alipoenda kuomba kazi akagawa keki ya kanisa, baada ya muda kitumbo ndiiiii[emoji2957] na hata kazi alio iomba kwa rushwa hiyo hakuifanya akarudisha jeshi kwa mumewe, mtoto kuzaliwa ALLAULLAH chombo ilikua dhahiri shahiri hata ukitafuta hata sababu ya mfanano labda hata kona ya mashavu kufanana na mchunga kondoo, havifanani, kwanza yeye ni mrefu mwembamba mweusi sana, mama ni mfupi mnene mweusi tiii na hicho chuma kigeni whiteeeeeeee! Alafu pande la toto mwenye muonekano wa mwili mkubwa, yaliyo endelea wanajua wenyewe ila hivi karibuni karudi tena kwa jamaa na kazaa nae tena kijana mwngine, huku jamaa akitembeza dudu kwa kila alie kaa vibaya kwa kuonyesha kumuhurumia kwa aliyo fanyiwa na mama mchungaji, kamaliza kanisa zima sio wana kwaya, sio wazee wa kanisa, sio wale wanao mkaribisha ili hali waumezao wapo makazini kwa kisingizo cha maombi ya mlango kwa mlango maombi aliokua anafanya mchana! Akikutwa beki tatu anakalisha akikuta mama wa nyumbani kamjaza, hatari
Wengine ni wa kiume wanataka your attention.Mkuu nitake radhi tafadhali
Huyu dada naona anachanganya madesa, Kwanza anajibu komenti ambazo hata hazihusiani na Uzi huu
Huyo katika jukwaa la MMU anatafuta mume sasa amekuwa akiulizwa kuhusu picha yake,na ndio maana ktk Uzi huu unamkuta anachanganya mambo
Kwa mfano Mimi nimejibu madam Mamndenyi ktk comment yake moja kuwa napenda kuishi uraiani Ila huyo Zanzibar2014 akajibu kuwa yeye anaiishi huku huku kitu Kama Hicho,kwahiyo huyo mdada naona hayupo Sawa huenda kutokana na stress
Hivi hawa ambao hawashtukii haya mambo wanakuwaga wapi?Kuna mwingine kampekeka mkewe kujifungua kakuta mkewe marinda hana, akajifungua kwa taabu huku wakimtukana mchunguji kwa kumuharibu mkewe kwa kiasi kile, hosp alikuwepo mchungaji na mama ake mzazi akiwemo na mama mkwe wake na shemeji yake! Alikua anaomba mungu aibu hiyo imsitiri lakini ikawa kinyume, mziki ukaanzia hapo hapo hosp! Haja wahi kumtatua mtaro tangu hamfahamu miaka zaidi ya kumi na hapo wapo hosp inaonekana mtaro hua unasafishwa mara kwa mara kiasi kwamba hata ngumi mbili zinapita! Hawa wana hatari sana
Nashukuru madam nawe umeliona hiloWengine ni wa kiume wanata your attention.
Nilishangaa that reply, but sikujali anyway.
Wanagawa keki ya kanisaTunaendelea kujifunza mkuu
Naona wake za wachungaji bilashaka watakuwa wanalipa kisasi
[emoji1787][emoji1787] hayo makondoo yamepigwa radi [emoji1787][emoji1787] sijui wanawalishaga majani gani aiseeMkuu ni hatar Sana
Kuna ishu kama hiyo nilishawahi kuisikia kipindi Fulani inahusiana na wachungaji WA kondoo kutafuna kondoo wao na kuwala supu.
Ni hivi kuna mchungaji alikuwa na kondoo wake kama Mia tatu hivi (300) na akawa na mchungaji mwenzake msaidizi,sasa mchungaji mkuu aliposafiri akamuachia msaidizi alichunge wale kondoo, basi bwana kumbe msaidizi alikuwa na degree ya tiafa unaambiwa alifanya wiring Kwa waumini karibia wote WA lile Kanisa na kuwapa umeme.
Swala linakuja je hawa kondoo hawajiulizi inakuwaje mchungaji anataka kuwala na wao hawaoni kuwa huyu hastahili kufanya kazi ya bwana?
Nahisi hawa jamaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Wanakuaga na style moja tu " GWAJI BOY " ya maaskofu wana ona kama ukiwakunja wanaumia[emoji16][emoji16] ina bidi kule kwenye bible study wafundishwe na KAMASUTRA kama wenzao wa zamani kuna style ambazo hata ss ambao sio walokole hatuziweziHivi hawa ambao hawashtukii haya mambo wanakuwaga wapi?
Au wao huwa na staili moja Tu?
Ninavyojuq Mimi, mkiwa mnapinga sarakasi mbali mbali lazima hiyo Hali utaiona
Inamaana bibie akichuma mboga haoni kuwa kuna mabadiliko?
Mkuu hawa wapo ibadani?View attachment 2416147
View attachment 2416148
View attachment 2416149
Yaan unakuwa church Ila unawaza jinsi ya kuwatembezea mkuyenge
Hii mkuu inaitwa missionary iliyoongezwa uboraNahisi hawa jamaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Wanakuaga na style moja tu " GWAJI BOY " ya maaskofu wana ona kama ukiwakunja wanaumia[emoji16][emoji16] ina bidi kule kwenye bible study wafundishwe na KAMASUTRA kama wenzao wa zamani kuna style ambazo hata ss ambao sio walokole hatuziweziView attachment 2417196