Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Wewe Church utakua unafuata makalio na yakipigwa ban basi nahisi idadi ya watu km nyinyi itapungua maana mtakua hamuendi Church
1668407996132.png

Utakuta binti kavaa hivi na anaenda church kusali.
Sasa hapo kama si uchokozi ni nini?
Halafu sala itainga hapo?
Utakuwa unawaza tu nimpateje na anipe simu yake!
Heri waislamu wanaowatenga pembeni!!!
 
View attachment 2416102
Utakuta binti kavaa hivi na anaenda church kusali.
Sasa hapo kama si uchokozi ni nini?
Halafu sala itainga hapo?
Utakuwa unawaza tu nimpateje na anipe simu yake!
Heri waislamu wanaowatenga pembeni!!!
Huyo mdangaji nae si anaenda kutafuta madanga kanisani, unafikiri wanakosekana kanisani hao? Wanazama hadi Church kwenda kudanga, ukiingia line imekula kwako
 
Hii nzito sana,lakini ni kweli.
Kuna familia ya mchungaji mmoja alikua na mkewe ( mama mchungaji) wakiwa wamebahatika kua na mtoto mmoja, ila katika harakati tu za kimaisha mkewe akalazimika kwenda kutafuta kazi, huyu mama akakumbana na rushwa ya ngono huko alipoenda kuomba kazi akagawa keki ya kanisa, baada ya muda kitumbo ndiiiii[emoji2957] na hata kazi alio iomba kwa rushwa hiyo hakuifanya akarudisha jeshi kwa mumewe, mtoto kuzaliwa ALLAULLAH chombo ilikua dhahiri shahiri hata ukitafuta hata sababu ya mfanano labda hata kona ya mashavu kufanana na mchunga kondoo, havifanani, kwanza yeye ni mrefu mwembamba mweusi sana, mama ni mfupi mnene mweusi tiii na hicho chuma kigeni whiteeeeeeee! Alafu pande la toto mwenye muonekano wa mwili mkubwa, yaliyo endelea wanajua wenyewe ila hivi karibuni karudi tena kwa jamaa na kazaa nae tena kijana mwngine, huku jamaa akitembeza dudu kwa kila alie kaa vibaya kwa kuonyesha kumuhurumia kwa aliyo fanyiwa na mama mchungaji, kamaliza kanisa zima sio wana kwaya, sio wazee wa kanisa, sio wale wanao mkaribisha ili hali waumezao wapo makazini kwa kisingizo cha maombi ya mlango kwa mlango maombi aliokua anafanya mchana! Akikutwa beki tatu anakalisha akikuta mama wa nyumbani kamjaza, hatari
 
Hii nzito sana,lakini ni kweli.
Kuna mwingine kampekeka mkewe kujifungua kakuta mkewe marinda hana, akajifungua kwa taabu huku wakimtukana mchunguji kwa kumuharibu mkewe kwa kiasi kile, hosp alikuwepo mchungaji na mama ake mzazi akiwemo na mama mkwe wake na shemeji yake! Alikua anaomba mungu aibu hiyo imsitiri lakini ikawa kinyume, mziki ukaanzia hapo hapo hosp! Haja wahi kumtatua mtaro tangu hamfahamu miaka zaidi ya kumi na hapo wapo hosp inaonekana mtaro hua unasafishwa mara kwa mara kiasi kwamba hata ngumi mbili zinapita! Hawa wana hatari sana
 
Kuna familia ya mchungaji mmoja alikua na mkewe ( mama mchungaji) wakiwa wamebahatika kua na mtoto mmoja, ila katika harakati tu za kimaisha mkewe akalazimika kwenda kutafuta kazi, huyu mama akakumbana na rushwa ya ngono huko alipoenda kuomba kazi akagawa keki ya kanisa, baada ya muda kitumbo ndiiiii[emoji2957] na hata kazi alio iomba kwa rushwa hiyo hakuifanya akarudisha jeshi kwa mumewe, mtoto kuzaliwa ALLAULLAH chombo ilikua dhahiri shahiri hata ukitafuta hata sababu ya mfanano labda hata kona ya mashavu kufanana na mchunga kondoo, havifanani, kwanza yeye ni mrefu mwembamba mweusi sana, mama ni mfupi mnene mweusi tiii na hicho chuma kigeni whiteeeeeeee! Alafu pande la toto mwenye muonekano wa mwili mkubwa, yaliyo endelea wanajua wenyewe ila hivi karibuni karudi tena kwa jamaa na kazaa nae tena kijana mwngine, huku jamaa akitembeza dudu kwa kila alie kaa vibaya kwa kuonyesha kumuhurumia kwa aliyo fanyiwa na mama mchungaji, kamaliza kanisa zima sio wana kwaya, sio wazee wa kanisa, sio wale wanao mkaribisha ili hali waumezao wapo makazini kwa kisingizo cha maombi ya mlango kwa mlango maombi aliokua anafanya mchana! Akikutwa beki tatu anakalisha akikuta mama wa nyumbani kamjaza, hatari
Dhambi moja inaanzisha nyingine mkuu,I know how the Devil works.Walishatengeneza daraja,very sad.
 
Kuna mwingine kampekeka mkewe kujifungua kakuta mkewe marinda hana, akajifungua kwa taabu huku wakimtukana mchunguji kwa kumuharibu mkewe kwa kiasi kile, hosp alikuwepo mchungaji na mama ake mzazi akiwemo na mama mkwe wake na shemeji yake! Alikua anaomba mungu aibu hiyo imsitiri lakini ikawa kinyume, mziki ukaanzia hapo hapo hosp! Haja wahi kumtatua mtaro tangu hamfahamu miaka zaidi ya kumi na hapo wapo hosp inaonekana mtaro hua unasafishwa mara kwa mara kiasi kwamba hata ngumi mbili zinapita! Hawa wana hatari sana
Haya madhehebu kama nilivyosema ni vichaka vya Shetani,kwa hiyo huwezi kumuabudu Mungu wa kweli hapo,people need to get out as the Bible says in 2Kor.6:14-18,it's a waste of time.

2 Wakorintho 6:14-18
14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike.

Hebu cheki hii shame ya the Catholic Church,na wapo watu wanaokwenda huko na wanaamini wanamuamini Mungu,how naive.Wanaojiita Wakristo wanahitaji kuamka,wamelala usingizi wa pono.Kinacho endelea kwenye yanayoitwa Makanisa ni upagani mtupu.

 
Dhambi moja inaanzisha nyingine mkuu,I know how the Devil works.Walishatengeneza daraja,very sad.
Wana balaa sana! Mm hua naenda ku socialize tu maana hua siwezi kuwasikiliza wala kuwaelewa nabaki na ninayo ya amini rohoni kwangu tu
 
Back
Top Bottom