Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

iwe public au chumbani ni kosa kisheria endapo tu kama huyu ajakuruhusu au ajatoa ridhaa ya kumpiga picha full stop.
Na kumsema pia umeomba ruhusa?

Maana mnapoleta umbea mitandaoni bila ushahidi ni defamation
 
Ni kweli mwonekano wa nje ndio tafsiri ya kilichoko ndani, lakini hiii haimaanishi wanaoenda kanisani wote ni watakatifu bali kanisa ni karakana ya kuwaandaa wadhambi wamfahamu Yesu.
Umeeleweka mkuu
 
Hata mimi nimesoma kitabu cha revelation hivi karibuni, kuna dots nilishaziunganisha mulemule anamoongea. Hivi vitabu vya Daniel na Ufunuo ni vigumu kuvielewa, lakini nimeshangaa namna nilivyokuwa nimeunganisha dots ni kama kapita humohumo. Ninachojiuliza, je, halazimiki kujiuzulu baada ya kuongea kinyume na imani au msimamo wa kanisa analoongoza ulivyo, maana ame question hata zile amri kumi zinazofundishwa na katekisimu ya kanisa na hata uhalali wa siku ya jumapili kuwa siku ya ibada. Na je, hiki alichoongea kinaweza ku circulate miongoni mwa wafuasi na kuleta mgawanyiko au kinaweza kuchukuliwa kama uzushi na kukanushwa na mamlaka za kanisa, ni nini mtazamo wako kwenye hili.....​
Nimependa hoja yako mkuu INA mashiko Sana

Kifupi Papa kajiripua kama mbwai mbwai
 
Na kumsema pia umeomba ruhusa?

Maana mnapoleta umbea mitandaoni bila ushahidi ni defamation
ETUGRUL BEY yeye ajasema kwa kumzalisha mtu . kwahiyo hana kosa angekuwa na kosa kama angetaja jina la mtu au jina la kanisa hapo angwkuwa yupo makosani.

alichokifanya boss wang ETUGRUL BEY hapo ni kufikisha ujumbe kwa jamii ibadilike na wala sio umbea
 
Kwa Sasa kanisa ni kituo Cha FARAJA kama vile bar au pub. Ni sehemu ya kujifariji na kuondoa msongo wa mawazo. Sio sehemu takatifu na hakuna wasafi zaidi ni wachafu kama sisi wengine. Kuna ukarimu na unyenyekevu wa kuigiza.
Tena Bora hata hayo mavazi uliyo yaona, Kuna mengi Huyajui.! Ni mwendo wa kutia na kutiwa kule ndani.
Mkuu Hali ni tete Sana kwakweli

Nakubaliana na wale wanao sema tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana
 
Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!
Yaani kuna mada bila picha ni ujinga tu
 
Wife aliniambiaga anataka kuanza kuimba kwaya, nikamwambia siku nikikuona umeenda kwenye kwaya ndio itakuwa tiketi ya kurudi kwenu. Sikawahi msikia tena. Kwenye kwaya wake zetu wanagegedwa sana.
Mkuu Kwanza pata popcorn fasta Kwa mangi umenifurahisha Sana Kwa maamuzi ya kiume

Uishi Maisha marefu mkuu
 
Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!
Bila picha hii ni chai kama chai zingine
 
Kwani hukusoma ya kua Ibada ya kweli imo ndani ya Moyo wa Mtu? Na si jengo au mapokeo yeyote ya kiimani?
Bwana awajua walio wake, nao walio wa Mungu wamjua yeye. Reference Warumi sura ya pili.
Maneno ya kufarijiana haya
 
Back
Top Bottom