Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!
Weka picha tuwaone, isije ikawa wanasingiziwa
 
Mimi ni muislam lakini nawapenda wakristo kwa kuwa pamoja na kwamba ukristo umekuja Africa kutokea ambapo sio Africa (japo upo ushahidi kanisa la kwanza lilianzia Ethiopia Africa) lakini kuna mambo wakristo wanafanya bila kutegemea aliowaletea kitabu tofauti na upande wetu ambapo kuanzia kuvaa, kuongea, kukaa, kuangalia, kuhema, kunusa, kupiga chafya na kujamba na kusinzia lazima iwe kama muarabu la sivyo wewe ni kafiri
 
Mkuu kila kitu kikiwa na picha tutakuwa kama Twitter now,maana Twitter ushenzi umezidi,mtu yupo na demu wake getto anamvizia na kumpiga picha

Sasa na huku tukianza hivyo tutafeli
Leta picha ndo uje na hizi hekaya
 
Mimi ni muislam lakini nawapenda wakristo kwa kuwa pamoja na kwamba ukristo umekuja Africa kutokea ambapo sio Africa (japo upo ushahidi kanisa la kwanza lilianzia Ethiopia Africa) lakini kuna mambo wakristo wanafanya bila kutegemea aliowaletea kitabu tofauti na upande wetu ambapo kuanzia kuvaa, kuongea, kukaa, kuangalia, kuhema, kunusa, kupiga chafya na kujamba na kusinzia lazima iwe kama muarabu la sivyo wewe ni kafiri
Mkuu wewe ni Mgalatia asilimia Mia mbili
 
Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!
Sasa picha haipo basi usitusumbue
 
Back
Top Bottom