Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
Picha hamna basi ni uchochezi
ni kosa kisheria kumpiga mtu picha / kutumia picha yake bila ruksa yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha hamna basi ni uchochezi
Mbona inaonekana mkuu,angalia MB zako.Naona maboss wenye mtandao wao wameiblock video haionekani mkuu
Uishi Maisha marefu ❤️Kwahiyo waimbe wakiwa uchi vile....mbona pahala pa kuvaa vibaya papo....haiwezi kuwashinda sikumoja tu katika wiki kuvaa vyema kwa ajili ya Mungu
Sawa mkuu maoni yako yatazingatiwaMbona inaonekana mkuu,angalia MB zako.
Weka picha tuwaone, isije ikawa wanasingiziwaAround saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.
Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.
Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.
Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.
Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.
Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.
Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?
Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?
Je waumini wanaridhika na hili?
Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!
Ni hayo Tu!
Asante Sana mkuu Kwa ufafanuzi huoni kosa kisheria kumpiga mtu picha / kutumia picha yake bila ruksa yake
Sheria hairuhusu mkuuWeka picha tuwaone, isije ikawa wanasingiziwa
Shukrani sana mkuu kwenye ukweli lazima tutee wasilete ushabiki wao kwenye sehem inayoitaji ukwelAsante Sana mkuu Kwa ufafanuzi huo
Natumaini wale wote wapenda picha wameshaelewa
Leta picha ndo uje na hizi hekayaMkuu kila kitu kikiwa na picha tutakuwa kama Twitter now,maana Twitter ushenzi umezidi,mtu yupo na demu wake getto anamvizia na kumpiga picha
Sasa na huku tukianza hivyo tutafeli
Mkuu wewe ni Mgalatia asilimia Mia mbiliMimi ni muislam lakini nawapenda wakristo kwa kuwa pamoja na kwamba ukristo umekuja Africa kutokea ambapo sio Africa (japo upo ushahidi kanisa la kwanza lilianzia Ethiopia Africa) lakini kuna mambo wakristo wanafanya bila kutegemea aliowaletea kitabu tofauti na upande wetu ambapo kuanzia kuvaa, kuongea, kukaa, kuangalia, kuhema, kunusa, kupiga chafya na kujamba na kusinzia lazima iwe kama muarabu la sivyo wewe ni kafiri
Leta picha ndo uje na hizi hekaya
Kweli mkuuShukrani sana mkuu kwenye ukweli lazima tutee wasilete ushabiki wao kwenye sehem inayoitaji ukwel
Wallah ustadh mie maamumahMkuu wewe ni Mgalatia asilimia Mia mbili
Swadakta maalim wangKweli mkuu
Tunaambiwa katika mafundisho yetu sema ukweli hata kama unauma
Pamoja mkuu
Sasa picha haipo basi usitusumbueAround saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.
Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.
Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.
Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.
Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.
Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.
Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?
Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?
Je waumini wanaridhika na hili?
Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!
Ni hayo Tu!
Mtasubili sanaNdio nasubiria huo utabiri utimie tujilie vyetu kwa raha