Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sheria ipi hiyo? Je tukisema wewe una chuki za kidini tutakuwa tunadanganya?Sheria hairuhusu mkuu
Fine nje nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ipi hiyo? Je tukisema wewe una chuki za kidini tutakuwa tunadanganya?Sheria hairuhusu mkuu
Fine nje nje
Madam ni kosa kisheria kumpiga mtu picha au kutumia picha ya mtu bila ruksa yakeSasa picha haipo basi usitusumbue
Wee patience is a virtueMtasubili sana
kwenye sheria ya madhara "Law of Torts" kuna kitu tunakiita trespass kwa wenzetu mfano uk inaenda mbali sana mpka "intrusion of privacy" kama moja ya trespass. Kwa tz sina material case per se ila nina mfano mzur recently wa prince William na mke wake walipigwa picha bila ridhaa yao na gazet moja la ufaransa na wakachapisha hzo picha. Gazeti lilishtakiwa na kuamriwa kulipa fine ikiwa na ku issue apology kwa familia ya kifalme. Hizi material case unaweza zitumia hapa kuenforce claim yako. Intrusion of privacy ni kosa kisheria na lina treatment ya mahakama.Sheria ipi hiyo? Je tukisema wewe una chuki za kidini tutakuwa tunadanganya?
Mwache mwenzio amwimbie MunguWife aliniambiaga anataka kuanza kuimba kwaya, nikamwambia siku nikikuona umeenda kwenye kwaya ndio itakuwa tiketi ya kurudi kwenu. Sikawahi msikia tena. Kwenye kwaya wake zetu wanagegedwa sana.
Mpaka mtazeekaWee patience is a virtue
Tusipkfaidi sie watafaidi wengine cha maingi ni kwamba itakuwa mwendo wakula mbususu saba sabaMpaka mtazeeka
Vinaumbwa vipya na nchi inageuka[emoji3][emoji3]Tusipkfaidi sie watafaidi wengine cha maingi ni kwamba itakuwa mwendo wakula mbususu saba saba
Siyo kwenye public perfomance.ni kosa kisheria kumpiga mtu picha / kutumia picha yake bila ruksa yake
Picha ya kwaya?kwenye sheria ya madhara "Law of Torts" kuna kitu tunakiita trespass kwa wenzetu mfano uk inaenda mbali sana mpka "intrusion of privacy" kama moja ya trespass. Kwa tz sina material case per se ila nina mfano mzur recently wa prince William na mke wake walipigwa picha bila ridhaa yao na gazet moja la ufaransa na wakachapisha hzo picha. Gazeti lilishtakiwa na kuamriwa kulipa fine ikiwa na ku issue apology kwa familia ya kifalme. Hizi material case unaweza zitumia hapa kuenforce claim yako. Intrusion of privacy ni kosa kisheria na lina treatment ya mahakama.
iwe public au chumbani ni kosa kisheria endapo tu kama huyu ajakuruhusu au ajatoa ridhaa ya kumpiga picha full stop.Siyo kwenye public perfomance.
Mtu yupo kanisani anaimba kwaya halafu unasema hayo. Hainankosa hapo
Ni kwasababu wanaume wenyewe hamna wengi wamekuwa dolo sanaWarembo wanatafuta husband...hali mbaya mtaani
Sasa sii ndio maana tumepanda bei nyie leteni mzaa tuu mtashangaa wenyewe na roho zenu.Ni kwasababu wanaume wenyewe hamna wengi wamekuwa dolo sana
Asante Kwa kuzidi kuwaelimisha Wana kondoo wq bwanaMadam ni kosa kisheria kumpiga mtu picha au kutumia picha ya mtu bila ruksa yake
hivi akimpiga mtu picha alafu akisema kazalilishwa huyo aliyepigwa picha wewe utaenda kumtolia zaman na kumlipia faini ETUGRUL BEY
Haya umeshinda pambaneni sana msiwe dolo, ili msisaidiwe na vijana wadogoSasa sii ndio maana tumepanda bei nyie leteni mzaa tuu mtashangaa wenyewe na roho zenu.
Na hivi wenye dunia yao wanasema tuwakubali hao wanaume dolo ndio bei zetu vidume zitazidi kupanda
Mkuu nchi ina shida sana hii inabidi uishi na raia wanavyotaka wao na wewe uwapeleke hivyo hivyoAsante Kwa kuzidi kuwaelimisha Wana kondoo wq bwana
Kwa hekima yangu sikutaka hata kutaja Jina la Kanisa,Ila ni haya makubwa ambayo yapo duniani kote
Sharing is caring...hamna mbususu yako weye pekee vijana wakitusaidia sawa cha msingi mie wakati wangu ukifika na mie napata asali. Haina makomboHaya umeshinda pambaneni sana msiwe dolo, ili msisaidiwe na vijana wadogo
Haaaa haaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sharing is caring...hamna mbususu yako weye pekee vijana wakitusaidia sawa cha msingi mie wakati wangu ukifika na mie napata asali. Haina makombo
Mkuu usishangae,miaka mingi tumepigwa upofu!Kumbe haya makanisa ni vichaka vya Shetani,wala hajawahi kuyaachia baada ya kujitenga na Catholicsism.Papa mwenyewe amesema madhehebu hayo ni makahaba,Kanisa la Roma lenyewe likiwa ndilo Mama wa Makahaba hayo!The so called Churches,kumbe kujitenga na Catholicsism haikuwa lolote,but was a tactical move by Satan kuwadanganya watu ili kuendeleza the Pagan Worship practised by the Catholic Church.So usishangae mkuu,it is part of the game.
Pope Francis himself has revealed it all,watch this👇.Ila usifurahi kama wewe ni Muislam,you are not safe either.Infact hali ya Islam is even worse.
Point mkuuSiku hizi dini zimekuwa kama biashara, zimegeuka kitega uchumi na ndio maana WACHUNGAJI wanashindwa kukemea vitu kama hivyo wakijua kwamba watawafukuza wateja wao wakikemea[emoji25]