Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Kwa Sasa kanisa ni kituo Cha FARAJA kama vile bar au pub. Ni sehemu ya kujifariji na kuondoa msongo wa mawazo. Sio sehemu takatifu na hakuna wasafi zaidi ni wachafu kama sisi wengine. Kuna ukarimu na unyenyekevu wa kuigiza.
Tena Bora hata hayo mavazi uliyo yaona, Kuna mengi Huyajui.! Ni mwendo wa kutia na kutiwa kule ndani.
 
Uvaaji kanisani kiukweli umekuwa wa ovyo Sana... Full kuondoana upako
For sure hasa sisi wakatoliki imekua balaa. Kuna siku nilirudishwa na mmama mmoja nimevaa gauni lipo katikati ya magoti akasema ukiinamana jee?.Basi nikarudi zangu home sitarudia kuvaa japo sio fupi sana. Siku hzi ni mwendo wa vitenge na magauni ya kujisusia. Kuna makanisa wako very strict now days huingii hovyo hovyo
 
For sure hasa sisi wakatoliki imekua balaa. Kuna siku nilirudishwa na mmama mmoja nimevaa gauni lipo katikati ya magoti akasema ukiinamana jee?.Basi nikarudi zangu home sitarudia kuvaa japo sio fupi sana. Siku hzi ni mwendo wa vitenge na magauni ya kujisusia. Kuna makanisa wako very strict now days huingii hovyo hovyo
Bora wataokoa wengi mno kwa njia hiyo.....tumekuwa too much aisee
 
Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!
Hao watakuwa ni wasanii, wakijifanya wanakwaya.
 
Mkuu usishangae,miaka mingi tumepigwa upofu!Kumbe haya makanisa ni vichaka vya Shetani,wala hajawahi kuyaachia baada ya kujitenga na Catholicsism.Papa mwenyewe amesema madhehebu hayo ni makahaba,Kanisa la Roma lenyewe likiwa ndilo Mama wa Makahaba hayo!The so called Churches,kumbe kujitenga na Catholicsism haikuwa lolote,but was a tactical move by Satan kuwadanganya watu ili kuendeleza the Pagan Worship practised by the Catholic Church.So usishangae mkuu,it is part of the game.

Pope Francis himself has revealed it all,watch this👇.Ila usifurahi kama wewe ni Muislam,you are not safe either.Infact hali ya Islam is even worse.


Naona maboss wenye mtandao wao wameiblock video haionekani mkuu
 
mtu anaeenda kanisani na anaeenda baa hawana utofauti wowote niwale waletu.wanachuma zambi tu
 
Tatizo ni kukosekana picha
Mkuu kila kitu kikiwa na picha tutakuwa kama Twitter now,maana Twitter ushenzi umezidi,mtu yupo na demu wake getto anamvizia na kumpiga picha

Sasa na huku tukianza hivyo tutafeli
 
Hili nalo huenda ni sababu kubwa, vitu kama mavazi, nywele na vipodozi vinachangia kwa kiasi kikubwa binti kuvutia njemba, na wao hilo wanalijua. Ndo maana ni vigumu sana kuwashawishi mabinti waende kwenye events na mavazi au mwonekano ambao hautavutia viewers wengi, hilo liko kiasili kabisa.
Mkweli mkuu

Uishi Maisha marefu mkuu
 
Ah wee hawa wanatuhitaji sana tuu kama vile sie tunawahitaji sema wao hitaji lao ni kuitwa mke wakati sie ni kula mbususu na kuzaliaha tuu.
Mie nasubiria miaka saba ijayo watakuwa wanawake wanatuomba tukafunge ndoa kuficha aibu
Mzabzab kama mzabzab
 
Mh uvaaji wa siku hizi makanisani unaweza kukuharibia siku kabisaaaaaaaa, wanawake tuna tabu mno.
 
Back
Top Bottom