Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Mkuu nimeona video kwakweli papa ameongea mambo makubwa Sana na kawatahadhalisha mwisho wao utakuwa mbaya

Na akawapa ukweli wanamwabudu bikira maria ambaye amekufa

Nawaomba jamani muangalie wenyewe hii video

Mkuu asante sana
Katika michezo yote hii michafu ya kuwadanganya Wanadamu,Mungu ameahidi adhabu kwa kuwatupa kwenye ziwa la kiberiti liwakalo Moto ambapo watateswa humo milele mchana na usiku. Biblia inauita mfumo huo wa upapa Mnyama atokaye Baharini na Babeli pamoja na Mama wa Makahaba,Makahaba yakiwa Madhehebu.Soma sura za 14,16,17,18 na 19 uone uovu huu dhidi ya Wanadamu na adhabu Mungu atakayo unleash kwa uovu wao.Kitabu cha Daniel sura za 7 na 12 pia zinaeleza hali hiyo.

Mkuu niseme hivi,kwa mtu anaye elewa haya mambo,ni wazi yanayoitwa madhehebu ni agents wa Shetani kabisa,ni upagani mtupu.Kwa mtu mwenye nia ya dhati ya kuurithi Ufalme wa Mungu,ni lazima kujitenga na mifumo hiyo.Inauma sana frankly.
 
Around saa mbili na ushee asubuhi ya Leo ,nimeshuka zangu Chanika kituo kinaitwa Kwa Ngwale.

Natembea zangu mdogo mdogo naelekea eneo husika,Kwa mbali nasikia sauti za ibada hasa ulichukulia Leo ni siku ya ibada Kwa ndugu zetu Wakristo.

Mara paap nakaribia katika kanisa moja na huko ndani ibada zinaendelea, kama unavyojua macho hayana pazia, upande wa kushoto nafika usawa WA geti la Kanisa na geti lipo wazi,nashawishika kuangalia ndani ya Kanisa kwakuwa geti lipo wazi,kuna kondoo wengine WA bwana wapo ndani ya Kanisa na wengine wapo nje,huenda walikuwa wanasubir misa ya pili.

Mara nawaona vijana wa kiume wamevaa Sare nzuri za bluu Kwa mwonekano wao ni rahisi kuwatambua kuwa hawa ni Wanakwaya ,wamependeza Sana kwakweli,sasa mara upande mwingine nawaona mabinti nao wamevaa Sare za bluu vile vile,lakini jinsi zilivyoshonwa ndio zikanifanya nitahayari Kwa mwonekano wao.

Karibia wote Sare zao zimewabana na kuchora maumbile Yao ya kike,yaani hata Yule ambaye ana kalio dogo nalo limebanwa linaonekana,na hapo ndipo nilipopata mshangao.

Ni dhahir kabisa zilishonwa Kwa maelekezo maalumu,kwasababu isingekuwa hivyo basi huenda ingetookea Kwa mmoja au wawili Tu.

Je Uongozi WA Kanisa Una bariki hivi?

Je kiongozi wa kwaya anabariki hivi?

Je waumini wanaridhika na hili?

Unapata jawabu moja Tu,kuwa Hilo Jambo linachukuliwa kawaida na ndio maana hata waumini wanaenda na vimini makanisani!

Ni hayo Tu!

Kanisa gani tuanzie hapo.. usije kuta ni tawi la masanja
 
Hata mimi nimesoma kitabu cha revelation hivi karibuni, kuna dots nilishaziunganisha mulemule anamoongea. Hivi vitabu vya Daniel na Ufunuo ni vigumu kuvielewa, lakini nimeshangaa namna nilivyokuwa nimeunganisha dots ni kama kapita humohumo. Ninachojiuliza, je, halazimiki kujiuzulu baada ya kuongea kinyume na imani au msimamo wa kanisa analoongoza ulivyo, maana ame question hata zile amri kumi zinazofundishwa na katekisimu ya kanisa na hata uhalali wa siku ya jumapili kuwa siku ya ibada. Na je, hiki alichoongea kinaweza ku circulate miongoni mwa wafuasi na kuleta mgawanyiko au kinaweza kuchukuliwa kama uzushi na kukanushwa na mamlaka za kanisa, ni nini mtazamo wako kwenye hili.....​
Mkuu Mungu amemtumia tu kama chombo kufanya His will.Imagine fimbo inapotumiwa kumchapa mtoto mpaka akafa,ina uwezo wa kukataa kweli,surely no.Ni kwamba yeye ametumiwa na Mungu kama tool,chombo tu,ili Mungu awa alert watu wake of the danger confronting them,ili wachukue hatua stahiki.Ona Bwana Yesu anavyosema in Mathew 15:13,"Akajibu, akasema, kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang’olewa." This is exactly what is going on.
 
Kinachoimba ni nguo au maumbile na sauti
Acha kujitoa ufahamu, makahaba wakivaa hivyo mnalalamika, leo watu wenu kanisani wanavaa kama makahaba unawatetea eti kinachoimba ni nguo au mambile na sauti?
Hata nyumbani kunahitajika kuvaa kwa kujistiri sasa iweje kanisani iwe sawa kuvaa nguo za kuchora maumbile?
 
au ni Fiction!
Mkuu hii haiwezi kuwa fiction,after all aliyosema ni kweli according to the Bible,ni upofu tu wa watu.Mimi niseme you are burrying your head in the sand,if you really want to go to heaven,chukua hatua.The Bible clearly says,"
2 Wakorintho 6:14-18
"14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike"

You can only say this is fiction if you do not know Catholicsism and the Bible,sisi tunaoijua wala hatushangai.Halafuu,mtu agushi kitu kama hicho ili apare faida gani,absolutely none.

Mkuu soma mwenyewe Ufunuo 14,16,17,18,19 na Daniel 7 na 12,hakuna haja ya kuandikia mate.

Tatizo ni kwamba people do not take time to read the Bible,they just believe the so called "clergymen"(Wachungaji,Mapadiri,Watumishi or whatever you may call them),hao ndio Biblia inao waita viongozi wa vipofu,na kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote wata-dumbukia shimboni.Soma Luka 6:39,inasema,
"Akawaambia(huyu ni Bwana Yesu) mfano huu: “Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu mwenzake? La! Wote wataanguka shimoni."Au Mathayo 15:14,inasema,"Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili."
 
Kwanza hao ndio kondoo maalum waliohalalishwa kuliwa mbali ya kulana wao kwa wao ni kipoozeo muhimu haswa kwa viongozi wao na ndio kundi linalo ongoza kuvunja amri karibia zote za Mungu wanao muabudu , UZINZI, UFUSKA NA UASHERATI, WASHUHUDIAJI WA UONGO, WAFITINI, WALEVI, NA AMRI NYINGINE ZA MUNGU, lakini haya yote wanayafanya nyuma ya kivuli cha kwaya na kanisa! Na muda mwingine bora hata hao wana kwaya kuliko wake za wachungaji
 
Uzi bila picha ni sawa na gari bila injini daah
 
Kwanza hao ndio kondoo maalum waliohalalishwa kuliwa mbali ya kulana wao kwa wao ni kipoozeo muhimu haswa kwa viongozi wao na ndio kundi linalo ongoza kuvunja amri karibia zote za Mungu wanao muabudu , UZINZI, UFUSKA NA UASHERATI, WASHUHUDIAJI WA UONGO, WAFITINI, WALEVI, NA AMRI NYINGINE ZA MUNGU, lakini haya yote wanayafanya nyuma ya kivuli cha kwaya na kanisa! Na muda mwingine bora hata hao wana kwaya kuliko wake za wachungaji
Hii nzito sana,lakini ni kweli.
 
yanayofanyika makanisani ninushenzi mtupu huko kwenye kwaya ndio ufuska umepitiliza wananyanduana Chini ya mwavuli wa kwaya Yana ni ushenzi mtupu.
Na hapo wanasifiana umependeza wakati ni ufuska mtupu tunawasema Sana wavaa kobasi Ila wanajistiri Sana wakiwa kwenye ibada zao
 
yanayofanyika makanisani ninushenzi mtupu huko kwenye kwaya ndio ufuska umepitiliza wananyanduana Chini ya mwavuli wa kwaya Yana ni ushenzi mtupu.
Na hapo wanasifiana umependeza wakati ni ufuska mtupu tunawasema Sana wavaa kobasi Ila wanajistiri Sana wakiwa kwenye ibada zao
 
Back
Top Bottom