Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

Wacha kunisema vibaya nimeshaomba msamaha tayari nikasema nimekosea mimi hapa ni mgeni. Kwa hiyo nimejibu mada sio zangu.
Tupo p1 usijali! Karibu! Ila ile offer ya UK nasikitika nimeikosa nili fit vigezo ila ndio hivyo sipo uk[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Bwanawee! Nawasikiaga tu! Nasikia wana adabu na heshima, pia lafudhi ya maongezi yao huniacha hoi kabisa[emoji2958]
Kweli mkuu Wana lafudhi tamu Sana na lugha ya mwambao hata kama mfukoni salio limepelea wala haujali hahaha
 
Mm ni mpiga vyombo kanisani, kuna mwana kwaya mmoja yani ananiponza sana na nguo zake
 
watu walivo soma kwamba kuna matako wanataka pichaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna manzi mmoja niliwahi kumuuliza kua hivi kwanini wale mnaowaita masister na maaskofu hua wanajisitiri sana mda wote lakini ninyi waumini hasa wakike hua mnavaa vimini hadi kwenye ibada, hakuwahi nipatia jibu hadi leo hii. Ila all in all wao wana dini yao na sisi tuna dini yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…