Kama Washauri wake Wakuu ni hawa Members wetu hapa Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mchovu ChoiceVariable mlitegemea Jipya Kwake jana?

Kama Washauri wake Wakuu ni hawa Members wetu hapa Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mchovu ChoiceVariable mlitegemea Jipya Kwake jana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na bahati nzuri 97% ya Wanafunzi wangu wote niliowafundisha kuanzia Mwezi August, 2010 hadi November 2013 hivi sasa Wanafanya vyema kabisa huko waliko na wengi wao huwa Wananishukuru mno kwa Madini Tukuka niliyokuwa nawapa lakini sijui kwanini huyu Lucas Mwashambwa hakuchukua Ujiniasi wangu ili nae awe Jiniasi 'Taalumani' kama Wenzake wote.

Cc: Washauri Wakuu wa Aliyeharibu na Kulikoroga vibaya Jana Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable
 
Na bahati nzuri 97% ya Wanafunzi wangu wote niliowafundisha kuanzia Mwezi August, 2010 hadi November 2013 hivi sasa Wanafanya vyema kabisa huko waliko na wengi wao huwa Wananishukuru mno kwa Madini Tukuka niliyokuwa nawapa lakini sijui kwanini huyu Lucas Mwashambwa hakuchukua Ujiniasi wangu ili nae awe Jiniasi 'Taalumani' kama Wenzake wote.

Cc: Washauri Wakuu wa Aliyeharibu na Kulikoroga vibaya Jana Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable
Bado hujasema Hadi useme
 
Na bahati nzuri 97% ya Wanafunzi wangu wote niliowafundisha kuanzia Mwezi August, 2010 hadi November 2013 hivi sasa Wanafanya vyema kabisa huko waliko na wengi wao huwa Wananishukuru mno kwa Madini Tukuka niliyokuwa nawapa lakini sijui kwanini huyu Lucas Mwashambwa hakuchukua Ujiniasi wangu ili nae awe Jiniasi 'Taalumani' kama Wenzake wote.

Cc: Washauri Wakuu wa Aliyeharibu na Kulikoroga vibaya Jana Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable
Nadhani wanafunzi Hawa hawakukuelewa!Walikariri majibu.Anza upya kuwafundisha .
 
ChoiceVariable ana jina kubwa humu jf wakati hata SSH hamjui Wala hicho Cheo Cha ushauri wa Rais Sina.

Mpaka hapa nimeamini jf Kuna vilaza aisee 😁😁😁😁
Kwanini ID ya Lucas Mwashambwa ikipigwa sana Makombora ya Kiyahudi haraka sana inatulia na hii ya ChoiceVariable inaibuka? Mwenyewe unajiona una Akili wakati Watu wenye Akili Kubwa na tunaokuzidi hapa JamiiForums tunakuchora na kukusanifu tu tukiamini kuwa Siku zote Side ndiyo yule yule Said.
 
Mama alisema huwa anapitia humu!Anawafahamu na Mwashambwa basi tuu,teuzi Bado mtapata hata kukimbiza mwenge.
🤪🤪🤪🤪😁😁😁😁 Mfano Mimi sio mwana ccm ataniteuaje?

Jikiteni kwenye hoja acheni upumbavu,ukiona namkibaki mtu ujue namkubali Kwa hoja na matokeo.

Mimi sio kama nyie mnaedai mnawapenda kina Fulani kama wake au waume zenu.

Aisee nimeamini jf Kuna punguani wengi, yaani Kuna watu wanaamini napewa hela Kuandika humu jukwaani 🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤪🤪🤪🤪😁😁😁😁 Mfano Mimi sio mwana ccm ataniteuaje?

Jikiteni kwenye hoja acheni upumbavu,ukiona namkibaki mtu ujue namkubali Kwa hoja na matokeo.

Mimi sio kama nyie mnaedai mnawapenda kina Fulani kama wake au waume zenu.

Aisee nimeamini jf Kuna punguani wengi, yaani Kuna watu wanaamini napewa hela Kuandika humu jukwaani 🤣🤣🤣🤣🤣
Teuzi zingine hazihitaji chama mkuu,wewe mwenge unakufaa,ndio uzuri wa JF na watabiri tumo humu!
 
Kwanini ID ya Lucas Mwashambwa ikipigwa sana Makombora ya Kiyahudi haraka sana inatulia na hii ya ChoiceVariable inaibuka? Mwenyewe unajiona una Akili wakati Watu wenye Akili Kubwa na tunaokuzidi hapa JamiiForums tunakuchora na kukusanifu tu tukiamini kuwa Siku zote Side ndiyo yule yule Said.
Wewe popoma jitabidi kupunguza ujinga.

Unachoongea hakuna ushahidi Wala mantiki.

Mimi nitakuwa jf baada ya shughuli zangu,jf ni sehemu yangu ya burudani na napenda sana mijadala.

Sio humu tuu hata vijiweni Huwa nawabana Kwa hoja wale hayers wote.

Wabongo wengi kikawaida ni akili ndogo Huwa wanaishi Kwa masimulizi umbea na upuuzi mwingine hawana facts wala hawajui chochote kinachoendelea.
Unakutana na mtu anakwambia huyu xy hamna kitu ,unaniuliza una uhakika? Kitu gani hamna? Anaanza kumbwela.

Sasa vilaza wa humu jf Huwa wanaanza matusi,mara wakuite chawa na upumbavu mwingine.

Sasa kwa.kuwa Mimi nawafahamu ndio maana nanyoka na nyie Hadi maji muite mmmaaa.
 
Wewe popoma jitabidi kupunguza ujinga.

Unachoongea hakuna ushahidi Wala mantiki.

Mimi nitakuwa jf baada ya shughuli zangu,jf ni sehemu yangu ya burudani na napenda sana mijadala.

Sio humu tuu hata vijiweni Huwa nawabana Kwa hoja wale hayers wote.

Wabongo wengi kikawaida ni akili ndogo Huwa wanaishi Kwa masimulizi umbea na upuuzi mwingine hawana facts wala hawajui chochote kinachoendelea.
Unakutana na mtu anakwambia huyu xy hamna kitu ,unaniuliza una uhakika? Kitu gani hamna? Anaanza kumbwela.

Sasa vilaza wa humu jf Huwa wanaanza matusi,mara wakuite chawa na upumbavu mwingine.

Sasa kwa.kuwa Mimi nawafahamu ndio maana nanyoka na nyie Hadi maji muite mmmaaa.
ID ya Lucas Mwashambwa na yenyewe itanijbu Saa ngapi?
 
Teuzi zingine hazihitaji chama mkuu,wewe mwenge unakufaa,ndio uzuri wa JF na watabiri tumo humu!
Mimi nikiwa Kiongozi wa Mwenge ,Watendaji watalia maana hawawezi kunidanganya ninajua pakuwakamatia labda niwapotezee tuu kisela 😂😂

Unamdanganya mhandisi tena mtu mwenyewe kama Mimi nimfuatiliaji sihitaji kusimuliwa 🤣🤣🤣🤣

Mimi napenda kitengo Cha mambo ya uchumi na mipango full stop , vinginevyo niendelee na mijadala yangu jf ya kukosa na kudefend pale inapobidi.
 
Mimi nikiwa Kiongozi wa Mwenge ,Watendaji watalia maana hawawezi kunidanganya ninajua pakuwajamatia labda niwapotezee tuu kisela 😂😂

Unamdanganya mhandisi tena mtu mwenyewe kama Mimi nimfuatiliaji sihitaji kusimuliwa 🤣🤣🤣🤣

Mimi napenda kitengo Cha mambo ya uchumi na mipango full stop , vinginevyo niendelee na mijadala yangu jf ya kukosa na kudefend pale inapobidi.
Pakuwajamatia ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki? Kumbe ndiyo maana hata Jana Mama yenu mkamponza akaharibu.
 
Kwa nini unaamini kwamba alichokisema ni matokeo ya ushauri wa watu wengine?
 
Back
Top Bottom