Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Za kuwajua wanaoteka!Hoja nzito kwako ni kama zipi? Basi tuu ndio manake nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kuwajua wanaoteka!Hoja nzito kwako ni kama zipi? Basi tuu ndio manake nini?
Kama mmeshindwa ni logic ndogo tu kwamba mtupishe hamtufaiNchi gani hapa Afrika imemaliza rushwa? Matumizi mabovu ya Rasilimali ni kama yapi?
Kawaulizeni Polisi watakuwa wanawajua.Za kuwajua wanaoteka!
Wawapishe au siyo? Kwa kuwa Chadomo rushwa hakuna au Mimi ndio sijaelewa 😆😆😆😆😆😆Kama mmeshindwa ni logic ndogo tu kwamba mtupishe hamtufai
Kama hapo ulipo hujui matumizi mabaya rasilimali za umma hatutaweza kuelewana mkuu.
Anakujua Sugu na Mdude Nyagali tu 😂😂😂ChoiceVariable ana jina kubwa humu jf wakati hata SSH hamjui Wala hicho Cheo Cha ushauri wa Rais hana.
Mpaka hapa nimeamini jf Kuna vilaza aisee 😁😁😁😁
Wote hao hawanijui ila Mimi namfahamu Mdude amewahi nitengenezea simu yangu 😂😂Anakujua Sugu na Mdude Nyagali tu 😂😂😂
Kwa hiyo wewe unaona alichokizungumza ni utashi wake binafsi ama ni matokeo ya washauri wake?Ni mjinga tuu huyo popoma achana nae
Utashi,yaani uwachekee ngedere? Jnamchukuliaje Rais kwanza?Kwa hiyo wewe unaona alichokizungumza ni utashi wake binafsi ama ni matokeo ya washauri wake?
Namchukulia kama kiongozi mkubwa aliyepewa madaraka makubwa, hivyo kila neno alitoalo kinywani mwake lazima liwe limepimwa ili lisilete mitafaruku.Utashi,yaani uwachekee ngedere? Jnamchukuliaje Rais kwanza?