Kama Washauri wake Wakuu ni hawa Members wetu hapa Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mchovu ChoiceVariable mlitegemea Jipya Kwake jana?

Kama Washauri wake Wakuu ni hawa Members wetu hapa Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mchovu ChoiceVariable mlitegemea Jipya Kwake jana?

Na bahati nzuri 97% ya Wanafunzi wangu wote niliowafundisha kuanzia Mwezi August, 2010 hadi November 2013 hivi sasa Wanafanya vyema kabisa huko waliko na wengi wao huwa Wananishukuru mno kwa Madini Tukuka niliyokuwa nawapa lakini sijui kwanini huyu Lucas Mwashambwa hakuchukua Ujiniasi wangu ili nae awe Jiniasi 'Taalumani' kama Wenzake wote.

Cc: Washauri Wakuu wa Aliyeharibu na Kulikoroga vibaya Jana Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable
Lucas mbishi huyo atakuja hapa aanze kutuambia HOTUBA YA JANA YA MAMA SAMIA WATANZANIA WAMEBUBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA ATAKUJA KUSEMA MAMA ANAUPIGA MWINGI MAMA ANATOSHA NGOJA AJE LUCAS.
 
Wewe popoma jitabidi kupunguza ujinga.

Unachoongea hakuna ushahidi Wala mantiki.

Mimi nitakuwa jf baada ya shughuli zangu,jf ni sehemu yangu ya burudani na napenda sana mijadala.

Sio humu tuu hata vijiweni Huwa nawabana Kwa hoja wale hayers wote.

Wabongo wengi kikawaida ni akili ndogo Huwa wanaishi Kwa masimulizi umbea na upuuzi mwingine hawana facts wala hawajui chochote kinachoendelea.
Unakutana na mtu anakwambia huyu xy hamna kitu ,unaniuliza una uhakika? Kitu gani hamna? Anaanza kumbwela.

Sasa vilaza wa humu jf Huwa wanaanza matusi,mara wakuite chawa na upumbavu mwingine.

Sasa kwa.kuwa Mimi nawafahamu ndio maana nanyoka na nyie Hadi maji muite mmmaaa.
Kusema ccm ni wabovu au kiongozi wake ni mbovu unahitaji PhD kubaini hilo mkuu.

Mbona hata kindergarten anakueleza vizuri tu.

Nchi imejaa rushwa na matumizi mabaya ya mali na rasilimali za umma.
 
Kusema ccm ni wabovu au kiongozi wake ni mbovu unahitaji PhD kubaini hilo mkuu.

Mbona hata kindergarten anakueleza vizuri tu.

Nchi imejaa rushwa na matumizi mabaya ya mali na rasilimali za umma.
Umepata muda wako adhimu wapi Mkuu wa Kupoteza kabisa Kumuelimisha huyu Masikini wa Fikra aliyewekeza katika Uchawa?
 
Na kinachoniuma hasa ni kwamba alikuwa Mwanafunzi wangu mwaka 2012 kuelekea mwaka 2013 pale Chuoni Ilala.
Hivi na wewe una akili kichwani mwako hadi umfundishe mtu? Hivi na wewe unaweza kukanyaga viunga vya chuo chochote hapa Nchini kama Mwanafunzi wake? Hivi na wewe kuna mtihani wowote unaoweza kufaulu ukipewa?
 
Hivi na wewe una akili kichwani mwako hadi umfundishe mtu? Hivi na wewe unaweza kukanyaga viunga vya chuo chochote hapa Nchini kama Mwanafunzi wake? Hivi na wewe kuna mtihani wowote unaoweza kufaulu ukipewa?
Hatimaye sasa Side Kapumzika kwa muda na Said kaja Kuendeleza Jaramba.

Cc: Said a.k.a ChoiceVariable
 
Wewe popoma jitabidi kupunguza ujinga.

Unachoongea hakuna ushahidi Wala mantiki.

Mimi nitakuwa jf baada ya shughuli zangu,jf ni sehemu yangu ya burudani na napenda sana mijadala.

Sio humu tuu hata vijiweni Huwa nawabana Kwa hoja wale hayers wote.

Wabongo wengi kikawaida ni akili ndogo Huwa wanaishi Kwa masimulizi umbea na upuuzi mwingine hawana facts wala hawajui chochote kinachoendelea.
Unakutana na mtu anakwambia huyu xy hamna kitu ,unaniuliza una uhakika? Kitu gani hamna? Anaanza kumbwela.

Sasa vilaza wa humu jf Huwa wanaanza matusi,mara wakuite chawa na upumbavu mwingine.

Sasa kwa.kuwa Mimi nawafahamu ndio maana nanyoka na nyie Hadi maji muite mmmaaa.
Huna hoja Nzito mkuu,basi tuu.
 
Back
Top Bottom