Kama Washauri wake Wakuu ni hawa Members wetu hapa Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mchovu ChoiceVariable mlitegemea Jipya Kwake jana?

Lucas mbishi huyo atakuja hapa aanze kutuambia HOTUBA YA JANA YA MAMA SAMIA WATANZANIA WAMEBUBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA ATAKUJA KUSEMA MAMA ANAUPIGA MWINGI MAMA ANATOSHA NGOJA AJE LUCAS.
 
Kusema ccm ni wabovu au kiongozi wake ni mbovu unahitaji PhD kubaini hilo mkuu.

Mbona hata kindergarten anakueleza vizuri tu.

Nchi imejaa rushwa na matumizi mabaya ya mali na rasilimali za umma.
 
Kusema ccm ni wabovu au kiongozi wake ni mbovu unahitaji PhD kubaini hilo mkuu.

Mbona hata kindergarten anakueleza vizuri tu.

Nchi imejaa rushwa na matumizi mabaya ya mali na rasilimali za umma.
Umepata muda wako adhimu wapi Mkuu wa Kupoteza kabisa Kumuelimisha huyu Masikini wa Fikra aliyewekeza katika Uchawa?
 
Na kinachoniuma hasa ni kwamba alikuwa Mwanafunzi wangu mwaka 2012 kuelekea mwaka 2013 pale Chuoni Ilala.
Hivi na wewe una akili kichwani mwako hadi umfundishe mtu? Hivi na wewe unaweza kukanyaga viunga vya chuo chochote hapa Nchini kama Mwanafunzi wake? Hivi na wewe kuna mtihani wowote unaoweza kufaulu ukipewa?
 
Hivi na wewe una akili kichwani mwako hadi umfundishe mtu? Hivi na wewe unaweza kukanyaga viunga vya chuo chochote hapa Nchini kama Mwanafunzi wake? Hivi na wewe kuna mtihani wowote unaoweza kufaulu ukipewa?
Hatimaye sasa Side Kapumzika kwa muda na Said kaja Kuendeleza Jaramba.

Cc: Said a.k.a ChoiceVariable
 
Huna hoja Nzito mkuu,basi tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…