Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ongeza chuma ya pili mkuu.....wasikupangie ratiba ya shoo.nilishaona tayari,ninampa hifadhi tu
Kila mtu ana kwake. Kwenye nyumba yetu hakuna shida ila kwa baba mkubwa ndo kuna shida japo waliooa wanakaa kwao ila dada(mawifi) bado wapo nyumbani na wanaamini kua wana haki na kaka zao .
Ndo maana huwa mnakata mauno kwa furaha sana siku ya sendoff! Kukenua dadaako anaenda kupigwa ukuni kwangu BIG NO!
Kwa hiyo we hufurahii
Unaona wivu au?Big NO, hata nikihudhuria sendoff nahakikisha nimelewa tayari... nitaongeza vichwa tu ukumbini.
Unaona wivu au?
Kumbe una mchepuko?Kuna mchepuko wangu mpaka nauonea huruma. natamani ndoa ingekuwa kazi niutafutie. 30 hiyo hakuna ndoa, chali mbaya waoaji hawaonekani.
Acha wivu kijanaBig NO, hata nikihudhuria sendoff nahakikisha nimelewa tayari... nitaongeza vichwa tu ukumbini.
Akikaa wewe ndo utampiga ukuni sio?Ndo maana huwa mnakata mauno kwa furaha sana siku ya sendoff! Kukenua dadaako anaenda kupigwa ukuni kwangu BIG NO!
Nilipata wivu alipoolewa dada yangu mdogo maana yule alikuwa innocent kabisa yaani kitu new.Unaona wivu au?
Hahahhaa angebaki angekua kivuruge huyo...boraNilipata wivu alipoolewa dada yangu mdogo maana yule alikuwa innocent kabisa yaani kitu new.
Ila alipoolewa mkubwa nilifurahia maana alikuwa chama la wana mixer waume za watu kesi kila siku bora alivyooenda
Sasa unaogopa dini? au unogopa wanadamu??Tatizo dini inakataza