Kama wewe ni Mbunge fahamu tu umebakisha miezi mitano tu kuanzia sasa .

Kama wewe ni Mbunge fahamu tu umebakisha miezi mitano tu kuanzia sasa .

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Mpaka sasa nimepokea offer tano za wabunge ili nikawasaidie kufanya robbing Majimboni .

Nasikitika kusema kuwa hawa jamaa Kazi wanayo na ngumu Sana .


Mtu umekula bata Sana Ila unajisahau unasubiri dakika za majeruhi ili kushinda Uchaguzi. (SAD).🇹🇿
 
Gharama Ya kumtengeneza Dishi/Chizi/ yafika €333,000,000,000,000 wanadamu wanataka vitu duniani duuu

Ngoja nikasome masters niijue hii maada inamlengo gani 👑👑👑..

Hii mada ina harufu gani ya Maiti Iliyopelekwa mortuary au Maiti iliyokutwaa imeoza ndani na defender ya polisi

Nyuma ya pazia unatakiwa ukawe daktari wa Ugonjwa Gani!?
Mimba za bahati mbaya ndo Kama hizi ndo Kama wewe SAD
 
Mpaka sasa nimepokea offer tano za wabunge ili nikawasaidie kufanya robbing Majimboni .

Nasikitika kusema kuwa hawa jamaa Kazi wanayo na ngumu Sana .


Mtu umekula bata Sana Ila unajisahau unasubiri dakika za majeruhi ili kushinda Uchaguzi. (SAD).🇹🇿
Mbumge? Rekebisha heading kama ulimaanisha Mbunge
 
Mpaka sasa nimepokea offer tano za wabunge ili nikawasaidie kufanya robbing Majimboni .

Nasikitika kusema kuwa hawa jamaa Kazi wanayo na ngumu Sana .


Mtu umekula bata Sana Ila unajisahau unasubiri dakika za majeruhi ili kushinda Uchaguzi. (SAD).🇹🇿
Gentleman,
mzaha ni kitu cha hovyo sana 🐒
 
Miezi mitano, Almost 700ml take home.
Anaamua azitumie kufikia wananchi wake kwenye kampeni, au akatulie nyumbani asubiri raisi aingie jimboni kwake amafte nyuma amnasibu, au vyte wakati mmoja, na inatosha. Hyo akisubiri raisi mantiki yake ataongezewa palipopungua.
Sikia, labda mbunge wa wapi sijui, ila wa ccm.
Kwa miaka ya karibuni kashapita. Sema lazma hela na nyama zao tule. Kama hawa wa chadema. Waache tu, wakajua watapita kwa huruma ya Mungu kama chaguzi za TLS na chaguzi za ndani, lazma tuwale hela. Mapema kwenye kamati ya utekelezaji wa chama acha nijiunge.
 
Miezi mitano, Almost 700ml take home.
Anaamua azitumie kufikia wananchi wake kwenye kampeni, au akatulie nyumbani asubiri raisi aingie jimboni kwake amafte nyuma amnasibu, au vyte wakati mmoja, na inatosha. Hyo akisubiri raisi mantiki yake ataongezewa palipopungua.
Sikia, labda mbunge wa wapi sijui, ila wa ccm.
Kwa miaka ya karibuni kashapita. Sema lazma hela na nyama zao tule. Kama hawa wa chadema. Waache tu, wakajua watapita kwa huruma ya Mungu kama chaguzi za TLS na chaguzi za ndani, lazma tuwale hela. Mapema kwenye kamati ya utekelezaji wa chama acha nijiunge.
Endelea kukariri
 
Mpaka sasa nimepokea offer tano za wabunge ili nikawasaidie kufanya robbing Majimboni .

Nasikitika kusema kuwa hawa jamaa Kazi wanayo na ngumu Sana .


Mtu umekula bata Sana Ila unajisahau unasubiri dakika za majeruhi ili kushinda Uchaguzi. (SAD).🇹🇿
Kiinua mgongo kinawatosha kufanya lobbing ya kurud Bungeni
 
Mpaka sasa nimepokea offer tano za wabunge ili nikawasaidie kufanya robbing Majimboni .

Nasikitika kusema kuwa hawa jamaa Kazi wanayo na ngumu Sana .


Mtu umekula bata Sana Ila unajisahau unasubiri dakika za majeruhi ili kushinda Uchaguzi. (SAD).🇹🇿
Sio "robbing", ni " lobbying" .
Wewe ni muhudumu wa mgahawa wa bunge!!??
 
Umefanya jambo la maana kuwakumbusha, na mimi naenda direct Babutale siku zako zinahesabika pale Bungeni
 
Mpaka sasa nimepokea offer tano za wabunge ili nikawasaidie kufanya robbing Majimboni .

Nasikitika kusema kuwa hawa jamaa Kazi wanayo na ngumu Sana .


Mtu umekula bata Sana Ila unajisahau unasubiri dakika za majeruhi ili kushinda Uchaguzi. (SAD).🇹🇿
Kufanya robbing??
 
Mpaka sasa nimepokea offer tano za wabunge ili nikawasaidie kufanya robbing Majimboni .

Nasikitika kusema kuwa hawa jamaa Kazi wanayo na ngumu Sana .


Mtu umekula bata Sana Ila unajisahau unasubiri dakika za majeruhi ili kushinda Uchaguzi. (SAD).🇹🇿
Robbing or lobbying?
 
Back
Top Bottom