Hata akiondoka wewe utafaidika na nini,Punguza wivu wa kuwa na roho mbayaNingemshauri tu asimwambie mkewe na nduguze kwamba kapata kazi...alichopata ni kibarua tu,si ajabu tarehe 12 akarudi nyumbani baada ya kumaliza kibarua chake.
Kama ulituma CV Simba unaweza mshauri Ila huna qualifications za kumshaurisawa mkuu..............ngoja tusubir kama mtafika
Kiushabiki wapi wakati ndio uhalisia wenu huohapana mkuu aliandika kiushabik sana
mkuu kumbuka amekuja kuchukua ubingwa wa AfricaLeague yetu ni ngumu Sana ,timu nyingine hazina mfumo ,wanajua kukamia ,kutumia nguvu na ujaaji mwingi ...
Kiufupi hakuna ufundi ..,Kama atakuja na style za Spain soon anaenda kufeli ...
Tik Tak style Kama ya pep ,huku bongo haiwezi Kwan,wachezaji wengi hata kutuliza mpira na kutulia hawewezi ....
Gang-gangpress Kama ya klop huku hawaiwezi ,ukiachilia viawanja ,wachezaji wetu hawawezi kabisa ,.......
Akija na Mambo ya mifumo atafumuliwa mapema kabisa .....
Mimi kwa kweli sijui la kumsaidia zaidi ya kusema huyu kocha Hana maisha marefu hapa bongo ......
Hahitaji ushauri toka kwa misukule ya GSMKama title inavyojieleza hapo juu, kama mtanzania pure na ni mdau wa soka kutokana na kuyumba kwa timu ya Taifa ni vyema kuendelea kuwekeza nguvu kubwa kwa vilabu vyetu pendwa ili atleast twende kwenye ubora kwa ngazi ya vilabu ili kuwatoa kimaso maso watanzania.
Kwa mfano SIMBA walifanya vizuri kimataifa msimu uliopita na kutuwakilisha vyema hadi hatua ya robo fainali na hatimaye kushika nafasi ya kwanza kwa timu za East afrika.
Nirudi kwenye mada husika kwa mfano wewe mdau wa soka umepata nafasi ya kumshauri kochawa simba PABLO FRANCO from madrid πDππ) ungempa ushauri gani
Nikianza mimi ningemshauri kusaini mkataba baada ya December 11 (baada ya mechi ya SIMBA NA YANGA)
wewe je?
Yaani hawa mazezeta wa Yanga wanatujazia server bure kwa thread za kitaahiraSaffih dauda hakukosea kuwaita yanga ni MAZUZU
ππππYaani hawa mazezeta wa Yanga wanatujazia server bure kwa thread za kitaahira
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ghalib ni mumeo huyoACHA makasiriko mkuu.......GSM ni kama maji
Mke wa Ghalib katika ubora wakoππππ