Kama wewe ni smart na una akili, kwanini hujafanikiwa kuwa Tajiri? Inageukia kwamba wewe ni mjinga

Kama wewe ni smart na una akili, kwanini hujafanikiwa kuwa Tajiri? Inageukia kwamba wewe ni mjinga

dgombusi

Senior Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
141
Reaction score
200
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwanini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
 
Kwanza bahati haina nafasi katika maisha, pili wote hatuwezi kuwa matajiri kwani lazima kuwe na madaraja ya kutegemeana ili gurudumu la maisha lisonge.

Kutokuwa tajiri haimaanishi ni ujinga, na kuwa tajiri haimaanishi una akili kubwa kuzidi wengine.
 
Kwanza bahati haina nafasi katika maisha, pili wote hatuwezi kuwa matajiri kwani lazima kuwe na madaraja ya kutegemeana ili gurudumu la maisha lisonge.

Kutokuwa tajiri haimaanishi ni ujinga, na kuwa tajiri haimaanishi una akili kubwa kuzidi wengine.

utafiti unaonyesha kuwa bahati ina nafasi fulani, hasa linapokuja suala la mazingira tuliyozaliwa au fursa tunazokutana nazo.

Mfano wa mafanikio ya watu kama Bill Gates unaonyesha umuhimu wa mchanganyiko wa bahati, mazingira mazuri, na juhudi binafsi. Lakini nakubaliana nawe kwamba kuwa tajiri haina maana una akili kubwa zaidi, na kutokuwa tajiri haina maana ni ujinga.
 
utafiti unaonyesha kuwa bahati ina nafasi fulani, hasa linapokuja suala la mazingira tuliyozaliwa au fursa tunazokutana nazo.

Mfano wa mafanikio ya watu kama Bill Gates unaonyesha umuhimu wa mchanganyiko wa bahati, mazingira mazuri, na juhudi binafsi. Lakini nakubaliana nawe kwamba kuwa tajiri haina maana una akili kubwa zaidi, na kutokuwa tajiri haina maana ni ujinga.
Bahati haina nafasi, kila kitu hutokea kwa sababu maalum, mfano ukiokota hela sio bahati ila unastahili kwasababu ulipita njiani na ukaangaza macho ukaiona

hao wakina BIll gate ndyo usiwatolee mifano kabisa, utajiri au pesa zao hazijaja kwa bahati mbaya bali juhudi na mipango yao binafsi.
 
Mafanikio yako rohoni, mwili unathibitisha tu

Uko sahihi kabisa kwamba mafanikio ya kweli huanzia rohoni.

Mafanikio hayapaswi kupimwa tu kwa utajiri au mali, bali kwa furaha na amani ya akili.
Kama ulivyosema, mafanikio ya nje ni uthibitisho tu; kile kinachohesabika zaidi ni utulivu wa ndani.

Unapopoteza mali, unapoteza kidogo. ila Unapopoteza afya, unapoteza kitu cha maana zaidi. Lakini unapopoteza amani ya rohoni, unapoteza hazina kubwa kabisa.

Kwa hivyo, kipimo sahihi cha mafanikio kinapaswa kuwa furaha yako na uwezo wa kudumisha amani na uwiano mzuri na sheria za ulimwengu.
 
Bahati haina nafasi, kila kitu hutokea kwa sababu maalum, mfano ukiokota hela sio bahati ila unastahili kwasababu ulipita njiani na ukaangaza macho ukaiona

hao wakina BIll gate ndyo usiwatolee mifano kabisa, utajiri au pesa zao hazijaja kwa bahati mbaya bali juhudi na mipango yao binafsi.

Ninakubaliana kwa kiasi kwamba juhudi na mipango ni msingi wa mafanikio yoyote, lakini haimaanishi bahati haina nafasi kabisa.

Bahati inaweza kuwa ni mchanganyiko wa fursa ambazo hazikuundwa moja kwa moja na mtu binafsi lakini zilitokea kwa sababu ya mazingira, wakati, au hali zilizokuwepo.

Mfano wa Bill Gates, pamoja na juhudi zake binafsi, alinufaika na mazingira fulani, kama upatikanaji wa kompyuta katika umri mdogo (ambalo lilikuwa jambo nadra wakati huo), malezi katika familia yenye uwezo wa kumsaidia kufanikisha ndoto zake, na nafasi ya kuwa katika mji wenye sekta ya teknolojia inayokua haraka.

Hii inaonyesha kwamba juhudi peke yake si sababu pekee ya mafanikio—mchanganyiko wa juhudi na mazingira (tunachokiita bahati) mara nyingi huwa na nafasi.

Kwa hiyo, ingawa ni kweli kwamba mali haziji kwa bahati mbaya, nafasi fulani ambazo mtu hakuunda mwenyewe zinaweza kuchangia safari ya mafanikio.

unaona kwamba mazingira yanaweza kuwa na mchango wa kimkakati kwa mtu yeyote.
 
Uko sahihi kabisa kwamba mafanikio ya kweli huanzia rohoni.

Mafanikio hayapaswi kupimwa tu kwa utajiri au mali, bali kwa furaha na amani ya akili.
Kama ulivyosema, mafanikio ya nje ni uthibitisho tu; kile kinachohesabika zaidi ni utulivu wa ndani.

Unapopoteza mali, unapoteza kidogo. ila Unapopoteza afya, unapoteza kitu cha maana zaidi. Lakini unapopoteza amani ya rohoni, unapoteza hazina kubwa kabisa.

Kwa hivyo, kipimo sahihi cha mafanikio kinapaswa kuwa furaha yako na uwezo wa kudumisha amani na uwiano mzuri na sheria za ulimwengu.
Yes.
Mtu aliyefanikiwa rohoni huyo ndiye kafanikiwa.
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Concept ya mafanikio ni kubwa sana, akina isaac newton , albert einstein, nicola tesla, wright brothers hawa wote despite walikuwa ma genius na walifanya vumbuzi zilizobadilisha dunia ya leo, waliondoka duniani wakiwa si matajiri, ila matajiri ndio wanatumia vumbuzi zao

is how unatumia talanta yako kuupata. wengine hawakuwa na interest ya utajiri, walitaka enough money ya kustain familia zao.
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
kwa taarifa yako matajiri wengi hawana akili,akili yao ipo kwa namna ya kufanya mulitiplication ya uzalishaji mali,mathalan,kwenye nanasi moja alilonunua elf mbili,atapata vipi faida?..so,,,atakata vipande vingi vyembamba atazotengeneza elf sita kutoka kwenye nanasi moja,,,so atanunua mananasi mengi,ataajiri vibarua watakao zungusha mabarabrani baadae wanampelekea pesa home{baresa na ukwaju],,baada ya hapo akishapta faida ananunua mshine ya kukamua na kuanza kutengeneza juice!...ila masikini ni kiwanda cha kutengenezea watoto!! nahao watoo wanakuja kuimba singeli!!
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Hata mimi naungana na wewe. Kama umesoma, unasema una akili ila umeshindwa kutatua changamoto zinazokukabili hata kula ni tabu, halafu unamchukulia poa kijana ambaye hakusoma lakini ameweza kutatua changamoto zake za kifedha na anaishi vizuri, basi hiyo akili mimi siiioni hapo.
 
Bahati haina nafasi, kila kitu hutokea kwa sababu maalum, mfano ukiokota hela sio bahati ila unastahili kwasababu ulipita njiani na ukaangaza macho ukaiona

hao wakina BIll gate ndyo usiwatolee mifano kabisa, utajiri au pesa zao hazijaja kwa bahati mbaya bali juhudi na mipango yao binafsi.
Unawezaje kuwa effective plan bila akili? Kwa kuwa tu na plan? Wewe hapo una plan hata ya miaka miwli tu hapo ulipo?
 
kwa taarifa yako matajiri wengi hawana akili??? ,akili yao ipo kwa namna ya kufanya mulitiplication ya uzalishaji mali???,mathalan,kwenye nanasi moja alilonunua elf mbili,atapata vipi faida?..so,,,atakata vipande vingi vyembamba atazotengeneza elf sita kutoka kwenye nanasi moja,,,so atanunua mananasi mengi,ataajiri vibarua watakao zungusha mabarabrani baadae wanampelekea pesa home{baresa na ukwaju],,baada ya hapo akishapta faida ananunua mshine ya kukamua na kuanza kutengeneza juice!...ila masikini ni kiwanda cha kutengenezea watoto!! nahao watoo wanakuja kuimba singeli!!
Mbona umechanganya sasa negative na positive? So ni neutral?
 
Concept ya mafanikio ni kubwa sana, akina isaac newton , albert einstein, nicola tesla, wright brothers hawa wote despite walikuwa ma genius na walifanya vumbuzi zilizobadilisha dunia ya leo, waliondoka duniani wakiwa si matajiri, ila matajiri ndio wanatumia vumbuzi zao

is how unatumia talanta yako kuupata. wengine hawakuwa na interest ya utajiri, walitaka enough money ya kustain familia zao.

Umesema jambo la msingi sana! Mafanikio hayapo katika sura moja tu, kama kuwa tajiri, bali yanatofautiana kulingana na malengo na vipaumbele vya mtu binafsi.

Swali la msingi ni: tunawezaje kuhakikisha tunatumia vipaji vyetu kwa njia inayolingana na maono yetu ya maisha, bila kulazimisha kuwa kila mtu awe tajiri ili aitwe mwenye mafanikio?
 
utafiti unaonyesha kuwa bahati ina nafasi fulani, hasa linapokuja suala la mazingira tuliyozaliwa au fursa tunazokutana nazo.

Mfano wa mafanikio ya watu kama Bill Gates unaonyesha umuhimu wa mchanganyiko wa bahati, mazingira mazuri, na juhudi binafsi. Lakini nakubaliana nawe kwamba kuwa tajiri haina maana una akili kubwa zaidi, na kutokuwa tajiri haina maana ni ujinga.
Weka hapa huo utafiti wa hiyo Bahati tuone.
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Akili siyo pesa tu kenge wewe
 
Ninakubaliana kwa kiasi kwamba juhudi na mipango ni msingi wa mafanikio yoyote, lakini haimaanishi bahati haina nafasi kabisa.

Bahati inaweza kuwa ni mchanganyiko wa fursa ambazo hazikuundwa moja kwa moja na mtu binafsi lakini zilitokea kwa sababu ya mazingira, wakati, au hali zilizokuwepo.

Mfano wa Bill Gates, pamoja na juhudi zake binafsi, alinufaika na mazingira fulani, kama upatikanaji wa kompyuta katika umri mdogo (ambalo lilikuwa jambo nadra wakati huo), malezi katika familia yenye uwezo wa kumsaidia kufanikisha ndoto zake, na nafasi ya kuwa katika mji wenye sekta ya teknolojia inayokua haraka.

Hii inaonyesha kwamba juhudi peke yake si sababu pekee ya mafanikio—mchanganyiko wa juhudi na mazingira (tunachokiita bahati) mara nyingi huwa na nafasi.

Kwa hiyo, ingawa ni kweli kwamba mali haziji kwa bahati mbaya, nafasi fulani ambazo mtu hakuunda mwenyewe zinaweza kuchangia safari ya mafanikio.

unaona kwamba mazingira yanaweza kuwa na mchango wa kimkakati kwa mtu yeyote.
Ni vyema umekubali kwamba mambo hayatokei kwa bahati bali mipango madhubuti, mfano Law of cause and effect, Ili jambo litokee lazima kuwe na sababu.
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Kuwa na akili ni kipimo cha utajiri?
 
Back
Top Bottom