Kama wewe ni smart na una akili, kwanini hujafanikiwa kuwa Tajiri? Inageukia kwamba wewe ni mjinga

Kama wewe ni smart na una akili, kwanini hujafanikiwa kuwa Tajiri? Inageukia kwamba wewe ni mjinga

Bahati haina nafasi, kila kitu hutokea kwa sababu maalum, mfano ukiokota hela sio bahati ila unastahili kwasababu ulipita njiani na ukaangaza macho ukaiona

hao wakina BIll gate ndyo usiwatolee mifano kabisa, utajiri au pesa zao hazijaja kwa bahati mbaya bali juhudi na mipango yao binafsi.
Mtoto wa Bakhressa aliweka juhudi gani mpaka azaliwe na billionaire?

Bakhressa anaweza zaa kilaza/mbumbumbu ambaye hata jina lake kusoma na kuandika atashindwa wala kuhesabu atashindwa kujua lakini straight on ni billionaire, bila juhudi.

Kwa upande mwingine. Mtoto wa muuza viazi anayekosa dawa ya kutibu ugonjwa wa macho yaka-develop upofu taratibu huku yeye na familia wakiona baadae akawa kipofu anakuwa hajaweka juhudi gani huyo mtoto?
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwanini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Utajiri ni siri na kudhamiria unawezakuwa unaakili ila huna siri,ninaposema siri ni wenye siri ndo watanielewa
 
Mtoto wa Bakhressa aliweka juhudi gani mpaka azaliwe na billionaire?

Bakhressa anaweza zaa kilaza/mbumbumbu ambaye hata jina lake kusoma na kuandika atashindwa wala kuhesabu atashindwa kujua lakini straight on ni billionaire, bila juhudi.

Kwa upande mwingine. Mtoto wa muuza viazi anayekosa dawa ya kutibu ugonjwa wa macho yaka-develop upofu taratibu huku yeye na familia wakiona baadae akawa kipofu anakuwa hajaweka juhudi gani huyo mtoto?
Hapo mtoto wa Bakhressa sio kwamba anba bahati, ni juhudu za baba yake ndizo zimefanya azaliwe na akute tayari mambo ni mazuri.

kwa upande wa mtoto wa muuza viazi, hayo ni majanga ambayo yanaweza kumkuta mtu yoyote, hata mtoto wa tajiri anaweza kupata matatizo na pesa zao zikashindwa kutatua tatizo.
 
Mazingira yanaweza kumzuia mwenye Akili hasifanikiwe achilia mbali kuwa tajiri.

Mfano ukikaa katika mazingira ambayo akili yako haiwezi kuwa supportive lazima utakwama pia.

Kikawaida hata hao waliofanikiwa ambao wapo well of kuna namna walikutana na mazingira wezeshi.

Mipango sahihi huwa inamfata MTU sahihi Ila pesa inaweza isimfate MTU sahihi ikamfata yeyote.

Ukifatilia Sana utangundua AKILI peke yake haimfanyi MTU kufanikiwa au kuwa tajiri pasipo kupata back up .

Mfano mdogo upo hivi.

Kuna wakati nilimkuta mtoto wa waziri fulani anahangaika kutafuta Kazi ya kuwaendesha viongozi wa serikali anapambania Ajira .

Ila huyu mtoto alikuwa well of anapata kila kitu na angeweza hata kuanzisha Biashara ya mil 100 angepewa hiyo hela bila shida.

Ila yeye mpaka baba yake anatoka madarakani hakufanya lolote kupitia pesa za baba yake ambacho ni chanya.

Maana yake alikuwa hana mipango sahihi Ila alikuwa na pesa hivyo mipango sahihi haiwezi kwenda Kwa MTU am aye sio sahihi Ila pesa inaweza kwenda Kwa MTU ambaye sio sahihi.

unaweza Kuwa na akili nyingi Ila ukajikuta umezaliwa na kukulia katika mazingira magumu hivyo kutoboa ukashindwa.

Na mwingine akawa ni average Ila akazaliwa na kukuta mazingira mazuri akatoboa

Mipango sahihi
Bahati
Efforts and hard working

Haya mambo yana role kubwa katika mafanikio ya MTU .
 
Utajiri ni siri na kudhamiria unawezakuwa unaakili ila huna siri,ninaposema siri ni wenye siri ndo watanielewa
Siri km unavyoficha Uchi wako ila kuna wakubwa wanakwambia 'mficha Uchi hazai' hii maana yake nini? Maana yake ni kwamba hao wenye Siri hawana Siri ila wana watu wao wanaowafichia Siri na kuwavumilia madhaifu yao kuna matajiri wana wasiri wao ambao wakivujisha Siri zao tu hawavushi Mwezi wanaangukia pua, yule wa kujiita Manguruwe ni mmoja wapo alianzisha Ponzi Scheme ya Vanilla akiwa na Siri zake nyuma ya Pazia kumbe ni mwizi wa viwanja ila unapofanya kinyume na wasiri wako na wakaziweka Siri zako hadharani umekwisha, wale walioshikwa kwa kesi za uuzaji wa dawa za kulevya walifanya kwa Siri wakiwa na wasiri wao na baadhi yao wamekua wakishikwa kwa sababu wasiri wamekua wakitoa hizo siri, sasa unaelewa kwamba utajiri ni siri za wasiri sio siri za tajiri, tajiri hana siri.

Wasiri ni wakina nani? Wasiri ni wale wanaokufichia mbinu zako ovu za kuusaka utajiri wako, matajiri wote unaowajua wana wasiri wao ambao wanayajua madudu yao yote kuanzia ngazi za kiutawala yaan Serikali mpaka ngazi za kisheria wote wanayafahamu mambo hayo ya sirini ila kwa sababu wanapokea kitu kidogo ku-dilute hio Siri waliyonayo hao matajiri basi wanawaacha waendelee na usiri wao. Mifano ni mingi sana ila haina haja ya kuiweka hapa
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwanini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Unaweza kua na akili sana lakini sio mbunifu,huna mtaji,huna bahati,or watu wanaokuzunguka kila unachoanzisha wanakuharibia
 
Siri km unavyoficha Uchi wako ila kuna wakubwa wanakwambia 'mficha Uchi hazai' hii maana yake nini? Maana yake ni kwamba hao wenye Siri hawana Siri ila wana watu wao wanaowafichia Siri na kuwavumilia madhaifu yao kuna matajiri wana wasiri wao ambao wakivujisha Siri zao tu hawavushi Mwezi wanaangukia pua, yule wa kujiita Manguruwe ni mmoja wapo alianzisha Ponzi Scheme ya Vanilla akiwa na Siri zake nyuma ya Pazia kumbe ni mwizi wa viwanja ila unapofanya kinyume na wasiri wako na wakaziweka Siri zako hadharani umekwisha, wale walioshikwa kwa kesi za uuzaji wa dawa za kulevya walifanya kwa Siri wakiwa na wasiri wao na baadhi yao wamekua wakishikwa kwa sababu wasiri wamekua wakitoa hizo siri, sasa unaelewa kwamba utajiri ni siri za wasiri sio siri za tajiri, tajiri hana siri.

Wasiri ni wakina nani? Wasiri ni wale wanaokufichia mbinu zako ovu za kuusaka utajiri wako, matajiri wote unaowajua wana wasiri wao ambao wanayajua madudu yao yote kuanzia ngazi za kiutawala yaan Serikali mpaka ngazi za kisheria wote wanayafahamu mambo hayo ya sirini ila kwa sababu wanapokea kitu kidogo ku-dilute hio Siri waliyonayo hao matajiri basi wanawaacha waendelee na usiri wao. Mifano ni mingi sana ila haina haja ya kuiweka hapa
hakuna siri ya watu wawili
 
Unamaanisha matajiri wote Wana akili?

Rudi darasani.
 
Hapo mtoto wa Bakhressa sio kwamba anba bahati, ni juhudu za baba yake ndizo zimefanya azaliwe na akute tayari mambo ni mazuri.

kwa upande wa mtoto wa muuza viazi, hayo ni majanga ambayo yanaweza kumkuta mtu yoyote, hata mtoto wa tajiri anaweza kupata matatizo na pesa zao zikashindwa kutatua tatizo.
Good. Kwahiyo mtoto wa Bakhressa yeye kama yeye hajaweka effort ya aina yeyote kuzaliwa pale si ndio?

Ukisema Bakhressa alifanya juhudi, basi mtoto wake alibahatika kuzaliwa penye matunda ya juhudi.

Kuna majanga yanayotatuliwa na pesa kama hiyo scenario nilokupa. Nenda vijijini kuna watoto kibao familia zao hawana hela ya upasuaji mdogo wa mdomo sungura, serikali na NGOs wanatibu bure ila mpaka mgonjwa asafirishwe hadi labda CCBRT, bado wazazi hawana nauli na gharama za ziada. Napo useme watoto wale hawana juhudi.
 
Unamaanisha matajiri wote Wana akili?

Rudi darasani.
 
Hata mimi naungana na wewe. Kama umesoma, unasema una akili ila umeshindwa kutatua changamoto zinazokukabili hata kula ni tabu, halafu unamchukulia poa kijana ambaye hakusoma lakini ameweza kutatua changamoto zake za kifedha na anaishi vizuri, basi hiyo akili mimi siiioni hapo.
Vicente van ghog alikufa hata hela ya kula hana ila picha zake ni moja ya picha za gharama duniani kuwahi kuuzwa
Maisha hayana formula
 
Kuwa na akili ni kipimo cha utajiri?

Kuwa na akili pekee si kipimo cha utajiri.
Mafanikio na utajiri ni matokeo ya mambo mengi, ikiwa ni pamoja na juhudi binafsi, uwezo wa kutatua changamoto, fursa zilizopo, na mazingira ya kijamii.

Akili ni muhimu, lakini si kila mwenye akili anapata mafanikio ya kifedha.
Watu wengi waliofanikiwa wameweza kutumia vipaji vyao vizuri katika mazingira ambayo yalitoa fursa ya mafanikio.
Kwa hiyo, akili ni kipengele kimoja tu cha mafanikio.
 
mkuu mtoa mada kwani ww mpaka sasa unamiliki mali zipi na pia akaunti yako ya benki ina billion ngapi .?
 
kweli kabisa, kuna vigezo vingi kwahiyo unaweza ukawa na akili na usitajirike

na bahati ina mchango mkubwa sana, huwa naandika humu

sema sasa watu wengi hawaelewi maana ya bahati

bahati ni zile nafasi unazopata bila juhudi/ujuzi wako binafsi

Ni kweli kabisa, mafanikio hayategemei tu juhudi au maarifa, bali pia ni matokeo ya mazingira na fursa ambazo zinaweza kutokea bila wewe kuzipanga.
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwanini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Isack newton alikuwa na utajiri Gani?, Tesla etc
 
Binafsi sidhani mafanikio ni kuwa tajiri, bali mafanikio ni kutimiza matamanio au matakwa yako binafsi. Wenda nisiwe mjinga kwa maana utajiri haupo kwenye matamanio yangu.

Nashukuru kwa maoni yako. Mafanikio ni dhana pana na inaweza kuwa na maana tofauti kwa kila mtu.
Kama unavyosema, mafanikio yanaweza kutimiza malengo na matakwa yako binafsi, hata kama hayo hayahusiani na utajiri wa kifedha.

mafanikio ni kile kinachokuleta furaha na kuridhika, iwe ni kwa kuwa na afya nzuri, kujenga familia, au kufikia ndoto zako binafsi, bila kujali utajiri wa kifedha.
 
Back
Top Bottom