Kama wewe ni smart na una akili, kwanini hujafanikiwa kuwa Tajiri? Inageukia kwamba wewe ni mjinga

Kama wewe ni smart na una akili, kwanini hujafanikiwa kuwa Tajiri? Inageukia kwamba wewe ni mjinga

Weka hapa huo utafiti wa hiyo Bahati tuone.
Huu hapa nimeweka
647741B3-6C78-4CFD-97C3-EBA4AD00EBCB.jpeg

If you’re so smart, why aren’t you rich? Turns out it’s just chance.
 
Binafsi sidhani mafanikio ni kuwa tajiri, bali mafanikio ni kutimiza matamanio au matakwa yako binafsi. Wenda nisiwe mjinga kwa maana utajiri haupo kwenye matamanio yangu.
 
kweli kabisa, kuna vigezo vingi kwahiyo unaweza ukawa na akili na usitajirike

na bahati ina mchango mkubwa sana, huwa naandika humu

sema sasa watu wengi hawaelewi maana ya bahati

bahati ni zile nafasi unazopata bila juhudi/ujuzi wako binafsi
Mfano umezaliwa ukakuta tayari baba yako ni raisi wa nchi😅
 
Yaani mimi nipambane kuforce connection za michongo ya shamba.

Nipate japo kibishi, Nifanye kazi kwa taabu mvua yangu, jua langu 24/7.

Nikusanye kakiasi nianzishe biashara Inakufa, Narudi tena shamba naanzisha tena biashara inaenda vizuri, mara naanguka tena.

Sikati tamaa narudi tena farm round hii ka-bussiness kanajipa, Kanakua, nidhamu ya kutosha, ubahili wa kuzidi mpaka inakua kitu cha kueleweka.

Lei hii aje mtu kirahisii rahisi tu anasema Mafanikio ni bahati, Sijui mpango wa Mungu, Are you serious..?


Haijalishi una akili au Huna, kama Huna hamu ya mafanikio na kama Hauendi speed kutafuta fursa, yaani unaamini bado una muda utafanya kesho, Endelea kusubiria bahati....😆😆


NB: Mjinga aliye focus hufanikiwa zaidi kuliko Mwenye akili aliyeridhika tu na kupoa akiamini "one day Yes".
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
"Better to be born lucky than gifted"
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
MAFANIKIO = Akili X Busara X Nguvu za kiroho X nafasi (fursa).
Kimojawapo kikikosa Mafanikio ni 0 (sifuli). Kwahiyo ni wastani wa hivyo nilivyovitaja. Ukiwa na akili sana na busara na pia ukawa mwombaji au unatumia mashetani lakini ukakosa fursa (nafasi) ya kutumia hivyo vipawa utaishia umasikini
 
Hii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.

Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.

Kama unajiuliza kwa nini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.

Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
"Better to be born lucky than gifted"
 
Tazama Kiswahili kinavyopea:

1. Wealthiness = Utajiri
2. Richness = Utajiri

Hao watu smart na wenye akili , wengi wapo katika kundi la pili, na bila shaka wana mchango mkubwa katika kuwafanikisha watu wa kundi la kwanza.
Asili (nature) ndiyo inatutaka binadamu tuwe hivyo na kamwe hatuwezi wote kuwa matajiri wa mali au wote tukawa smart na wenye akili. Muhimu katika maisha ni kuwa na kuimarisha furaha zetu..!
 
Back
Top Bottom