Acha utani bas mkuuππππ.Mwezi wa 12 haooooo tunaenda zetu kufanya matambiko tukirudi daslam tunawakimbiza kama kawa ππππ
Hadi weweππ!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani bas mkuuππππ.Mwezi wa 12 haooooo tunaenda zetu kufanya matambiko tukirudi daslam tunawakimbiza kama kawa ππππ
Sijawahi kuacha mila mkuuπππAcha utani bas mkuuππππ.
Hadi weweππ!?
Sio one ni "ole "One wake anaekumbatia Biblia na kuacha jadi yake, huyo ni mtumwa. Aheri yule anaemini katika hirizi yake ya jadi.
Hatutofautianiπππππ to me same as yours.Sijawahi kuacha mila mkuuπππ
Mungu wetu alikua na nguvu sana ndio maana hawa kuku wakuitwa wakoloni wakatupotosha... mvua zilivyokua hazinyeshi mzee wa mila akipanda mlimani akishuka anashuka nayo ila siku hizi sasa. Kwa hapa walituweza aisee.Hatutofautianiπππππ to me same as yours.
Hujadanganya mkuu.Mungu wetu alikua na nguvu sana ndio maana hawa kuku wakuitwa wakoloni wakatupotosha... mvua zilivyokua hazinyeshi mzee wa mila akipanda mlimani akishuka anashuka nayo ila siku hizi sasa. Kwa hapa walituweza aisee.
Ila wanaishi kwa hofu Sana mkuu
Kanda ya ziwa unaweza kukutana na bikra ila huwezi kukutana na binti asiye na chale mwiliniNarudi hii:
1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga
2. Kama hujachanjwa Chale
3. Kama Sio mchawi
4. Kama huendekezi imani za giza
5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi.
6. Kama kwenu hajaletwa mganga kuagua
KAMA ULIEPUKANA NA MAISHA HAYA.BASI JIPONGEZE SANA. Kwasababu wengi waliopitia kwenye huo ujinga hakika WAMEMKUMBATIA SHETANA . Huwezi kuwa na Chale mwilini halafu ukawa na Roho ya Imani njema.
Pia vijana ambao hamjaoa ninawashauri ukikutana na binti mwenye Chale mwilini MKIMBIE
Madame huui mtu mkuu wala haumdhuru mtu tabu iko wapi!??Siwezi kuacha Imani ya mababu zangu kamwe kama naenda Kwa mababu na huko nakutana na viongozi wa dini kuanzia masheh mapadri nk Mimi ni Nani biashala zangu zote kuna nimeweka kitu kinaitwa mgogo wasukuma wangi wanaijua hii hivyo hata uniambie nini siwezi Acha Amini mababu
Khaaaa!! Kivp?Ila wanaishi kwa hofu Sana mkuu
Mtu anaenda kwa waganga sikuzote Hana amani cute,anawaza kurogwa na kukosea masharti dailyKhaaaa!! Kivp?
Ni kweli kabisa mkuuUkiamini sana dini tu. Ukristo na uislamu lazima utaamini na uchawi pia.
Hizo dini ndio zimeleta hizi imani za kijinga
Ahaa, basi nilifaham asoenda kwa mganga ndio anakuwaga hana amaniMtu anaenda kwa waganga sikuzote Hana amani cute,anawaza kurogwa na kukosea masharti daily
Kuna kitu huwa nakiwaza sana unakuta viongozi wanaapa kwa biblia na vitabu vya dini , ila wanaiba na kukiuka kiapo, ebu fikiria wangekua wanaapa viapo vya asili kama kulambishwa asili , au kiapo cha damu ingekuajeπ€Mungu wetu alikua na nguvu sana ndio maana hawa kuku wakuitwa wakoloni wakatupotosha... mvua zilivyokua hazinyeshi mzee wa mila akipanda mlimani akishuka anashuka nayo ila siku hizi sasa. Kwa hapa walituweza aisee.
Basi mi huenda ndo nilijibu tofauti na commentAhaa, basi nilifaham asoenda kwa mganga ndio anakuwaga hana amani
Basi mi huenda ndo nilijibu tofauti na commentAhaa, basi nilifaham asoenda kwa mganga ndio anakuwaga hana amani