Maana yake nini? Kutafuta nguvu ambazo wala huna kwa njia za mkato. Mfano yule mganga aliyekuwa anaua na kuzika watu ili awe na nguvu mtaani kwao.Kwanza unajua maana ya uchawi
βοΈ Dr am 4 real PhD UCHAWI UPO NA KUSEMA HAUPO NI KUJIDANGANYA NI SAWA SAWA NA KUJITEKENYA MWENYEWE NA KUCHEKA MWENYEWE.Narudi hii:
1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga
2. Kama hujachanjwa Chale
3. Kama Sio mchawi
4. Kama huendekezi imani za giza
5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi.
6. Kama kwenu hajaletwa mganga kuagua
KAMA ULIEPUKANA NA MAISHA HAYA.BASI JIPONGEZE SANA. Kwa sababu wengi waliopitia kwenye huo ujinga hakika WAMEMKUMBATIA SHETANA. Huwezi kuwa na Chale mwilini halafu ukawa na Roho ya Imani njema.
Pia vijana ambao hamjaoa ninawashauri ukikutana na binti mwenye chale mwilini MKIMBIE.
Lete hoja zako hapa mkuu, beliefs zipi?Hamna mwenye kufuata Dini ya RC asie mshirikina kimawazo na kivitendo, beliefs zao nyingi ni Dogma hazina logic/mantiki au reasoning.
Wasabato ni nani aliyewaroga?Hamna mwenye kufuata Dini ya RC asie mshirikina kimawazo na kivitendo, beliefs zao nyingi ni Dogma hazina logic/mantiki au reasoning.
Kazana kufanya uchawi na mitambokoMwezi wa 12 haooooo tunaenda zetu kufanya matambiko tukirudi daslam tunawakimbiza kama kawa ππππ
.....malizia kwa kusema ,HUTOBOI MAISHA!Narudia hii:
1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga
2. Kama hujachanjwa Chale
3. Kama Sio mchawi
4. Kama huendekezi imani za giza
5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi.
6. Kama kwenu hajaletwa mganga kuagua
KAMA ULIEPUKANA NA MAISHA HAYA.BASI JIPONGEZE SANA. Kwa sababu wengi waliopitia kwenye huo ujinga hakika WAMEMKUMBATIA SHETANI. Huwezi kuwa na Chale mwilini halafu ukawa na Roho ya Imani njema.
Pia vijana ambao hamjaoa ninawashauri ukikutana na binti mwenye chale mwilini MKIMBIE.
Chale ni Haramu eee?!!Kwanini mtu mwenye chale akimbiwe na sio kuombewa akatoka kwenye hilo giza?
Naona umemalizia vibaya
πMwezi wa 12 haooooo tunaenda zetu kufanya matambiko tukirudi daslam tunawakimbiza kama kawa ππππ