Kama yote

Kama yote

Hahaaaa. Mie sijuagi hata mana ila sijawahi chukia mtu akitumia hilo neno, naona sawa tu yaani linapotumika kama limeeleweka basi.

Cc. Mama Sabrina na Sesten Zakazaka .
Hahahaaaaa, nijaalie hali yako kwa muhtasar bibie

Hujambo weye? Mwasisi wa msemo huo humu jukwaani nadhani ni Mama Sabrina Hajar ingawa sina uhakika sana
 
Hahahaaaaa, nijaalie hali yako kwa muhtasar bibie

Hujambo weye? Mwasisi wa msemo huo humu jukwaani nadhani ni Mama Sabrina Hajar ingawa sina uhakika sana
Mie alhamdullilah uzima upo Sesten.

Sijambo kabisa namshukuru Allah. Usijali nilikumbuka siku moja uliniambia kuhusu hilo neno na aliyekuwa kaliandika ndio maana nikawakumbuka.
 
Mie alhamdullilah uzima upo Sesten.

Sijambo kabisa namshukuru Allah. Usijali nilikumbuka siku moja uliniambia kuhusu hilo neno na aliyekuwa kaliandika ndio maana nikawakumbuka.
Halafu Hajar hua unakumbukumbu sana hatari😀😀😀

Nilishasahau ujue. Nimefurahi kusikia u bukheri wa afya. Ila inakuja mechi ya Simba na Yanga pale lazima pressure ipande😎😎😎
 
Write your reply...majibu kama yote
 
Back
Top Bottom