dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
[emoji13] [emoji13]kama yote naona unadamshi damshi nayo tu😛😛😛😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji13] [emoji13]kama yote naona unadamshi damshi nayo tu😛😛😛😛
Kipindi kile ulikuwa una chunusi kama zote mpaka ukajisahau ukaweka picha yako jf yaani chunusi kama zoteComments km zotee
Nawe una kibamia kama choteNimekutana na demu ana shimo kama lote[emoji2][emoji2]
Limsemo kama lote[emoji23] [emoji23]Limsemo halina hata maana linanikera tena likitamkwa na dume naliona kama toto la mama yani mchelemchele tu
Kweli kabisa mkuu yaani ni upumbavu kama wote[emoji23] [emoji23]Ni upumbavu unaoanzishwa na kile kituo pendwa cha vijana,kiukweli hua napatwa na ukakasi juu ya usalama wa marinda ya baadhi yai watangazaji wao...
Tena ukimbie mbio kama zoteUkisikia mtu anasema kama zote mkuuu kimbia ni sumu mbaya sana
Pole sana mkuu ila endelea kupata tabu kama zoteMimi bado nahangaika kujua maana ya "Kudamshi"
Mkuu,naona unatafuta ugomvi kama wote kwa Gentamycine maana jamaa atakutambalizia mkuyenge kama wote[emoji23] [emoji23]kama akina gentamycin
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] bado zipo km zoteee!!!Kipindi kile ulikuwa una chunusi kama zote mpaka ukajisahau ukaweka picha yako jf yaani chunusi kama zote
Kudamshi kama koteeeeMimi bado nahangaika kujua maana ya "Kudamshi"
Si afadhali ya maneno hayo kuna neno eti "naniliu" silipendi kabisa hasa linapoyamka na jitu kubwa zima ... NANILIU...Asee mambo vipi wadau.
Kuna haka kamsemo kitu fulani kama yote.....au kama zote........kama lote. Wanamaanisha nini hawa watoto wa Dar es Salaam?
NtakuchapaaaaaWe dada mzuri kama wote [emoji23] [emoji23] [emoji3]
Hiyo write your reply siipendi mkuuWrite your reply...majibu kama yote
Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Si afadhali ya maneno hayo kuna neno eti "naniliu" silipendi kabisa hasa linapoyamka na jitu kubwa zima ... NANILIU...
Na wewe umetumia,je nawe ni mmoja wao?Hii misemo au, misimu mingine tuwaachie dada zetu,
Yaani msela ukitumia misemo kama hii inaonekana una mambo ya kingese , kama yote hivi.