Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanganyika tunalia kwa jinsia hii, nitaishangaa USA kumchagua.
Bora kichaa kuliko jinsi...hii.
Trump tofauti yake na lissu ni nchi lakini maswahibu wanafanana yaliyomengi
Ashukuru Sheria zao za uchaguzi katika nchi ya LISu ni hovyo kwenye uchaguzi na Sheria zake
Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.
Rais ni trump moja kwa mojaTanganyika tunalia kwa jinsia hii, nitaishangaa USA kumchagua.
Bora kichaa kuliko jinsi...hii.
Rais ni Kamala, fullstop.Rais ni trump moja kwa moja
Jinsia ile hapa mkuu.Rais ni Kamala, fullstop.
Wakimnyima kura Kamala, wanampa Trump. Hasira za mkizi, sio?Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.
Wapi hao wajitokeze.
Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.
Mnapenda kudanganywa sana ninyi. Vita ya Israeli na Wapalestina haiishi leo wala kesho. Mchinganishi ni.....Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.
Wakimnyima kura Kamala, wanampa Trump. Hasira za mkizi, sio?
Mnapenda kudanganywa sana ninyi. Vita ya Israeli na Wapalestina haiishi leo wala kesho. Mchinganishi ni.....
Tanganyika tunalia kwa jinsia hii, nitaishangaa USA kumchagua.
Bora kichaa kuliko jinsi...hii.
Siyo bando mkuu. Tunaangalia chanzo cha mgogoro. Haki ya kuwepo kwa Israeli na Wapalestina kuamini kuwa Israel haupaswi kuwepo wakiamini ardhi ni yao.Unaelewa uchaguzi huu waweza amriwa kwa kura 50,000? Au kukurupuka tu kwa kuwa uko na bando?
😀😀😀 ni kweli.
Sidhani kama tatizo ni jinsia, tatizo ni mtu na uwezo wake. Ukisema issue ni jinsia unakosea sana.Tanganyika tunalia kwa jinsia hii, nitaishangaa USA kumchagua.
Bora kichaa kuliko jinsi...hii.