Kamala Harris: “Mimi ni mwanasheria, Trump ni muhalifu aliyekutwa na hatia mahakamani”

Kamala Harris: “Mimi ni mwanasheria, Trump ni muhalifu aliyekutwa na hatia mahakamani”

Mwana mieleka yeye anashuka kwa fact,blabla kwake hapana.
Jamaa ana maono ya Kila mtu ajitambue na sio mwumini wa watu wategemezi.
Jamaa akirudi madarakani,Dunia itaanza kuwa na amani.Hapendi uonevu anapenda peace and love.
Anapenda kila Taifa liwajibike.Amini mizozo mingi itaanza kupungua Duniani.
Anapenda haki.
Ukizingua anakuchana,sio mnafiki.

Alivo waambia viongozi wa bar la Afrika kuwa Bara Zima ni 'shithol"

Ukweli ndo ule,hadi mivutano kati ya USA NA RUSIA.
Ulipungua.
 
Mwana mieleka yeye anashuka kwa fact,blabla kwake hapana.
Jamaa ana maono ya Kila mtu ajitambue na sio mwumini wa watu wategemezi.
Jamaa akirudi madarakani,Dunia itaanza kuwa na amani.Hapendi uonevu anapenda peace and love.
Anapenda kila Taifa liwajibike.Amini mizozo mingi itaanza kupungua Duniani.
Anapenda haki.
Ukizingua anakuchana,sio mnafiki.

Alivo waambia viongozi wa bar la Afrika kuwa Bara Zima ni 'shithol"

Ukweli ndo ule,hadi mivutano kati ya USA NA RUSIA.
Ulipungua.
Kuna ukweli unachosema. Especially kuwa Africa ni shithole!

Nafahamu watanzania wengi sana wanampenda Trump. Wengi humu wapo inafahamika hata kitaa huku ni maarufu sana. Lakini Trump yeye hataki habari yao. Who wants to deal with shitholes in their right mind?

Lakini pia kwa mujibu wa “council of foreign relationship” taasisi mojawapo muhimu kabisa marekani, Trump hataki marekani iwe kiongozi wa dunia. Ndo maana ni maarufu sana kule Urusi na Uchina. Nitaweka ushahidi hapa. Maana wengi nikiwaambia “isolationism” hata hawaelewi maana ya neno hilo maana hawajui historia ya marekani.

Hapa chini ni taarifa kutoka kwenye taasisi hiyo.

Ikiwa "kujitenga" kunamaanisha tu kuwa na mashaka juu ya jinsi sera ya kigeni ya Amerika imekuwa ikitekelezwa kwa miongo minane iliyopita na kutilia shaka faida kwa Merika ya kutumia uongozi wa kimataifa, basi Trump anahitimu kama mtu wa kujitenga.

Kwenye kujitenga kwa marekani, kuna faida na hasara zake. Hilo nakuachia mwenyewe ulitafakari consequences zake. Maana kwa kiasi kikubwa, ana qualify kama isolationist.

 
Kuna ukweli unachosema. Especially kuwa Africa ni shithole!

Nafahamu watanzania wengi sana wanampenda Trump. Wengi humu wapo inafahamika hata kitaa huku ni maarufu sana. Lakini Trump yeye hataki habari yao. Who wants to deal with shitholes in their right mind?

Lakini pia kwa mujibu wa “council of foreign relationship” taasisi mojawapo muhimu kabisa marekani, Trump hataki marekani iwe kiongozi wa dunia. Ndo maana ni maarufu sana kule Urusi na Uchina. Nitaweka ushahidi hapa. Maana wengi nikiwaambia “isolationism” hata hawaelewi maana ya neno hilo maana hawajui historia ya marekani.

Hapa chini ni taarifa kutoka kwenye taasisi hiyo.

Ikiwa "kujitenga" kunamaanisha tu kuwa na mashaka juu ya jinsi sera ya kigeni ya Amerika imekuwa ikitekelezwa kwa miongo minane iliyopita na kutilia shaka faida kwa Merika ya kutumia uongozi wa kimataifa, basi Trump anahitimu kama mtu wa kujitenga.

Kwenye kujitenga kwa marekani, kuna faida na hasara zake. Hilo nakuachia mwenyewe ulitafakari consequences zake. Maana kwa kiasi kikubwa, ana qualify kama isolationist.

Okey,
 
Kamala is more Indian than black.
Zikija kampeni za siasa za uchaguzi ndiyo hugeuka na kuwa black ila in the office, economy policy making etc she is Indian and South Asian.
Mkimtaka the black Kamala msubirini mtaani wakati wa Kampeni.
Go check this out. Things are unfolding really quick…watakaoamuwa itakuwa gen z

 
Kamala kuwa Rais Marekani ni Vigumu sana kwanza Ni Black President contestant Pili Ni mwanamke..

Marekani ukishakuwa Mwanamke Kupata Urais Ni Vigumu sana 😅😅..

Sasa jiulize Imposible alizonanzo zote mbili Kwanza ni Black pili Ni mwanamke..

Hapo ni Ngamia Kupenya kwenye Tundu la sindano 😅😅😅...

Anaweza akamshinda Trump.kwenye Kura Ila kwenye Wadau Akagaragazwa..

Marekani hawana Imani tena Na weusi kwa Kile Obama alichofanya 😅😅🤣🤣..

Sisi weusi tuko Very selfish Japo tunacheka Usoni..

So hii Ni Kura ya Turufu ya Kushinda Kwa Trump...

Obama angechagua Contestant mwingine chama chake kingeshinda
Obama alifanya kitu gani kibaya kuliko marais wa US wote waliotangulia kabla yake?
 
Na sasa badala ya kueleza mipango yake,yeye Kamala bila kujua akifanyacho amejisalimisha kwenye miguu ya Don Trump kwa kujivika nafsi ya muhanga wa matendo ya wanaume.Ambayo yeye anayaita ni uhalifu.
NB;Waache wamasai na wakurya waibe ng'ombe ni jadi yao.Ukiwaiga inakula kwako mahakamani.
Trump ameshawawashia taa gizani, na wameshaanza kuja kwa style zao zilezile, anasubiri wawe wengi awakusanye na kuwaokota kama senene
 
Ndugu yangu jmushi1, humu unawapigia mbuzi gitaa! JF ya leo si JF ya zamani. Hata pasco wa zamani sasa kawa Pascal Mayalla wa leo. Wapenzi wa Putin lazima wawe wapenzi wa Trump.

Orodha ya viongozi wetu wa leo wala isikushangaze. Ukipanda mchicha ni uendawazimu kujiaminisha utavuna nyanya! Hivyo hivyo usishangae kukuta Trump anaabudiwa TZ!

Kiumri Trump na Biden wanapishana kidogo sana. Trump hana cha kupoteza kwani asiposhinda, milango ya jela inamsubiri na ikitokea muujiza akashinda atatamani ardhi ipasuke imzike.

Known and proven convict cannot be the leader of the United States of America and you can take that to the bank! if the USA was the JMT, just maybe! Here anything goes!
 
Kamala kuwa Rais Marekani ni Vigumu sana kwanza Ni Black President contestant Pili Ni mwanamke..

Marekani ukishakuwa Mwanamke Kupata Urais Ni Vigumu sana 😅😅..

Sasa jiulize Imposible alizonanzo zote mbili Kwanza ni Black pili Ni mwanamke..

Hapo ni Ngamia Kupenya kwenye Tundu la sindano 😅😅😅...

Anaweza akamshinda Trump.kwenye Kura Ila kwenye Wadau Akagaragazwa..

Marekani hawana Imani tena Na weusi kwa Kile Obama alichofanya 😅😅🤣🤣..

Sisi weusi tuko Very selfish Japo tunacheka Usoni..

So hii Ni Kura ya Turufu ya Kushinda Kwa Trump...

Obama angechagua Contestant mwingine chama chake kingeshinda
Huyu obama alimuua Gadafi na Sadam bila kosa lolote
 
Mambo yameshaanza kupamba moto kwenye mpambano mpya wa Trump vs Harris. Ambaye ameanza kuongelea utofauti mkubwa kati yao…amesema maneno hayo hapo chini…

Kama wengi wenu mnajua, kabla sijachaguliwa kama makamu wa rais, kabla sijachaguliwa kama seneta wa Marekani, nilikuwa mwanasheria mkuu aliyechaguliwa wa California, nilitaja kwamba kabla ya hapo nilikuwa mwendesha mashtaka wa mahakama," Harris alisema. "Katika majukumu hayo nilichukua wahalifu wa kila aina. Wanyanyasaji ambao waliwanyanyasa wanawake. Walaghai waliorarua walaji.

Walaghai waliovunja sheria ili kujinufaisha. Kwa hivyo nisikie ninaposema najua watu aina ya Donald Trump."

Harris kisha akalinganisha na kulinganisha uzoefu wake wa awali na matatizo ya hivi majuzi ya kisheria ya Trump na uhusiano wake.

"Kama mwendesha mashtaka mchanga, nilipokuwa katika ofisi ya wakili wa Wilaya ya Alameda huko California, nilijishughulisha na kesi zinazohusu unyanyasaji wa kingono," Harris aliendelea. "Donald Trump alikutwa na hatia na mahakama kwa kufanya unyanyasaji wa kijinsia.

Nikiwa mwanasheria mkuu wa California, nilichukua chuo kikuu cha faida nchini kwetu na kukiondoa kibiashara. Donald Trump aliendesha chuo cha faida, Chuo Kikuu cha Trump. , ambacho kililazimishwa kulipa dola milioni 25 kwa wanafunzi ilichowalaghai angetoa zabuni zao kwa mchango wa kampeni ya $ 1000000000, nilipambana na benki kubwa za Wall Street na kushinda $ 20 bilioni kwa familia za California, nikiwa na benki hizo kuwajibika kwa ulaghai ulaghai."

Maneno ya Harris, na hata kujifungua kwake, yalikuwa muziki kwenye masikio ya baadhi ya Wanademokrasia.

"Hotuba nzuri na iliyowasilishwa vizuri kutoka kwa @VP katika kile ambacho sasa ni Makao Makuu ya kampeni YAKE, ikitofautisha sana na Trump, maono yao na maadili," David Axelrod, mwanamkakati mkuu wa zamani wa Rais Barack Obama, aliandika katika chapisho kwenye X. . "Mchezo umeendelea!"

In remarks delivered Monday to the staff at what is now her campaign headquarters in Wilmington, Del., Harris offered a preview of how she will go after former President Donald Trump should she secure the Democratic presidential nomination.

"As many of you know, before I was elected as vice president, before I was elected as United States senator, I was the elected attorney general of California, I mentioned that before that I was a courtroom prosecutor," Harris said. "In those roles I took on perpetrators of all kinds. Predators who abused women. Fraudsters who ripped off consumers. Cheaters who broke the rules for their own gain. So hear me when I say I know Donald Trump's type."

Harris then compared and contrasted her prior experience with Trump's recent legal woes and affiliations.

"As a young prosecutor, when I was in the Alameda County district attorney's office in California, I specialized in cases involving sexual abuse," Harris continued. "Donald Trump was found liable by a jury for committing sexual abuse. As attorney general of California, I took on one of our country's largest for-profit colleges and put it out of business. Donald Trump ran a for-profit college, Trump University, that was forced to pay $25 million to the students it scammed. As district attorney, to go after polluters, I created one of the first environmental justice units in our nation. Donald Trump stood in Mar-a-Lago and told Big Oil lobbyists he would do their bidding for a $1 billion campaign contribution. During the foreclosure crisis, I took on the big Wall Street banks and won $20 billion for California families, holding those banks accountable for fraud. Donald Trump was just found guilty of 34 counts of fraud."

Harris's words, and her even delivery, were music to some Democrats' ears.

"Great, well-delivered kickoff speech from the @VP at what is now HER campaign HQ, drawing a sharp contrast with Trump, their visions and values," David Axelrod, former chief strategist for President Barack Obama, wrote in a post on X. "Game on!"

Nasubiri mdahalo kati yao (Mwanasheria Vs Mhalifu).
 
Back
Top Bottom