Ndugu yangu
jmushi1, humu unawapigia mbuzi gitaa! JF ya leo si JF ya zamani. Hata
pasco wa zamani sasa kawa
Pascal Mayalla wa leo. Wapenzi wa Putin lazima wawe wapenzi wa Trump.
Orodha ya viongozi wetu wa leo wala isikushangaze. Ukipanda mchicha ni uendawazimu kujiaminisha utavuna nyanya! Hivyo hivyo usishangae kukuta Trump anaabudiwa TZ!
Kiumri Trump na Biden wanapishana kidogo sana. Trump hana cha kupoteza kwani asiposhinda, milango ya jela inamsubiri na ikitokea muujiza akashinda atatamani ardhi ipasuke imzike.
Known and proven convict cannot be the leader of the United R
States of America and you can take that to the bank! if the USA was the JMT, just maybe! Here anything goes!