Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣DuhKamala ni Chura kiziwi mwingine.
Bora tuwe wengiMarekani wamepata chura kiziwi wao
Mkuu Obama alifanya nini cha kukosesha imani?Kamala kuwa Rais Marekani ni Vigumu sana kwanza Ni Black President contestant Pili Ni mwanamke..
Marekani ukishakuwa Mwanamke Kupata Urais Ni Vigumu sana 😅😅..
Sasa jiulize Imposible alizonanzo zote mbili Kwanza ni Black pili Ni mwanamke..
Hapo ni Ngamia Kupenya kwenye Tundu la sindano 😅😅😅...
Anaweza akamshinda Trump.kwenye Kura Ila kwenye Wadau Akagaragazwa..
Marekani hawana Imani tena Na weusi kwa Kile Obama alichofanya 😅😅🤣🤣..
Sisi weusi tuko Very selfish Japo tunacheka Usoni..
So hii Ni Kura ya Turufu ya Kushinda Kwa Trump...
Obama angechagua Contestant mwingine chama chake kingeshinda
Bado unaendeleza kasumba ya kudharau jinsia ya kike, siamini kama Hillary alikuwa akimtegemea mumewe kushinda Urais U.S, hata yeye kwenye kampeni zake alisisitiza anasimama kama yeye.Unaweza ukawa una jambo kwenye fikra zako.Lakini,ukiingia uwanjani ni tofauti na uhalisia.Ulitarajia bibi.Hilary Clinton ashindwe kwa Trump?Kwa nini?Kamala ana infuence zaidi ya Obama?
Hayo ya kasumba umeyawaza wewe.Yote kwa yote,tusubiri wino utakavyofanya yake kuliko mate.Bado unaendeleza kasumba ya kudharau jinsia ya kike, siamini kama Hillary alikuwa akimtegemea mumewe kushinda Urais U.S, hata yeye kwenye kampeni zake alisisitiza anasimama kama yeye.
Leo Kamala anaingia kwenye kampeni akiwa na sifa na vigezo vingi zaidi ya Hillary, hii peke yake inaonesha Trump ana wakati mgumu zaidi kwa Kamala.
Ndio maana kwa kuanzia nimeona mahala Trump anaogopa mdahalo wa September dhidi ya Kamala, amesema hatashiriki, anajua u prosecutor wa Kamala hautamuacha salama.
So, kumlinganisha Kamala nay Hillary dhidi ya Trump, ni vitu viwili tofauti.
Trump ndio anakuja kuwachinja vizuri.Hichi kimama hakitoboi sababu kimeshiriki kumwaga damu za watoto wa Palestine na wanawake wa Palestine na wazee wa Palestine.
Nani atakwepa?...Nina wasiwasi atakwepa.
We Unahisi Aliyemuambia Biden asigombee ni nani?, Obama na Spika wa Bunge ndo walimshahauri Biden asigombee na wakampendekeza kamala agombee na ikawa hivyo..Obama ndio achague tena
Kama nani wakati amebaki na kofia ya ushauri tu
Waziri wa Kaskazini, tatizo la watu kama wewe ni kwamba mnapenda kudandia mada zinazowazidi kimo. Je unajua kwa nini hukumu ya kesi ya Trump haikutolewa? Nina wasi wasi kama unajua kwa nini hadi sasa ni mtu huru. Pona yake ni kushinda, full stop!Putin hapo alipo anapiga konyagi tu akisubiria kwenda whitehouse kushuhudia Trunp akila kiapo
Mkuu Hilary clinton amegombea Mara Ngapi??Umeshamsahau Obama tayari, why mna memory fupi sana?
Unaonekana kuidharau rangi yako ya ngozi kwasababu hujiamini, kama ungekuwa unajiamini usingezungumzia kigezo cha rqngi kama sababu ya kushindwa kwake.
Hata hoja yako ya pili ya mwanamke, sijui nani alikwambia Marekani ni marufuku kuongozwa na Rais mwanamke, au ulisoma wapi kwenye sheria zao? hata wakati wa Obama mlisema Marekani haiwezi kuongozwa na mweusi ikaja kuwa, na huyu nae atakuja kuku prove wrong, if not yeye basi its a matter of time.
Mstafu wa JWTZ hivi we unadhani America yule wazamani akwadanganya watu anaona mpaa sisimizi nani anamuam8ni tena 😄Trump ndio anakuja kuwachinja vizuri.
Sawa Mkuu lakini Unasahau kuwa Urais Marekani uchaguzi haufanyiki kama Tanzania Kuna level Mbili za Uchaguzi Kuna Federal Level na kuna Local level..Kweli unaongea mambo jambo kama jina lako! Unaposema anaweza kushinda kura Ila kwenye wadau akashindwa unamaanisha delegates?
Kwa taarifa yako, generation Z ndo watakaoamuwa mshindi wa urais marekani.
Fuatilia misimamo yao kisha urudi hapa kuongea.
Kuna Baadhi ya Vita Alizichochea Kufanyika..Bila hata sababu..Mkuu Obama alifanya nini cha kukosesha imani?
Sidhani.....kama hakumkimbia Hillary hata huyu hatamkimbia.Trump.