Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

2316672_uvccm.jpg

Utasema anayewindwa auwawe ni Dakta, ulinzi bwelelee
 
Sisi kama Chadema tumpe ulinzi Kamanda wetu Tundu Mughwai Lissu
24/7 7days

Hadi atakapoingia Ikulu sisi Wananchi tunaweza
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa HIP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi ndipo vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata mlio wa risasi uliosikika.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo ili kumpa nafasi shahidi kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi wako. Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni ulinzi mzuri kuliko Vijana wa Siro.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako hayakutimia, lakini sasa hata ukirejea, wasiojulikana wale, hawawezi tena kuikamilisha tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.
Hitimisho

Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP kuhusu kumhakikishia usalama wake, kwasababu kwanza just his survival is beyond human beings ability and capabilities, its Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai Yupo, Aliyesimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Aweza, na Ataendelea kumlinda, Usikute yote hayo Lissu anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake, hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Mkuu una mshauri Lissu kucheza Russian Roulette!
 
Ishu ya lisu itamuandama rais wangu mpaka mwisho wa maisha yake. Pamoja na yote anayosifiwa kuyafanya doa la lisu linafuta mazuri yote hata Karne tatu zijazo vizazi vya wakati huo vitasoma historia yake kwamba taifa letu lilishawahi kuwa na kiongozi mbaya Sana wa Aina yake wakati huo bombadia na haya yote ayafanyayo yatakuwa yamechakaa na pengine kubomolewa kupisha miradi mingine mikubwa ya wakati huo. Ila legacy aliyoiacha haitafutika milele daima dumu.Adolf Hitler mazuri yote aliyoyafanya bado yanatiwa ukungu mzito na legacy aliyoiacha .

Kuacha alama mbaya Ni Jambo baya Sana duniani. Vizazi vyako vitapata tab Sana na jina lako litatemewa mate vizazi na vizazi.
 
Yupo mtu mmoja anaweza kutoa kauli ya kumlinda Lissu na akalindwa na vyombo vyote. Lakini kwa nini hataki kutamka na mamlaka yote anayo?
Watu wakifikiri kuwa tukio lile LA kupona halikumfurahisha watakuwa wanakosea? Litakuwa jambo la aibu kuona eti baada ya kuachia ofisi Lissu ndio anarudi kwani itaondoa heshima yake ya ustaafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa HIP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi ndipo vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata mlio wa risasi uliosikika.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo ili kumpa nafasi shahidi kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi wako. Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni ulinzi mzuri kuliko Vijana wa Siro.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako hayakutimia, lakini sasa hata ukirejea, wasiojulikana wale, hawawezi tena kuikamilisha tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.
Hitimisho

Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP kuhusu kumhakikishia usalama wake, kwasababu kwanza just his survival is beyond human beings ability and capabilities, its Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai Yupo, Aliyesimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Aweza, na Ataendelea kumlinda, Usikute yote hayo Lissu anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake, hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Mr. Mayalla kumbe ile kauli ya kustaafu, ilikuwa ni maadhimisho ya sherehe yetu pendwa ya kujifariji makupuku ya April mosi!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
There will be no ubungo interchange 500 yrs to come.

There will be no bombadia 50 yrs to come.

Stiglaz gorge might have been deserted bcoz of technological advancement of that time.

Standard gauge railway might have been uprooted and replaced by hyperloop technology.

Only your legacy will remain to define who you were and how you lived with your generation.
 
Sasa hivi kuna COVID.19.
Tusubiri iishe ndipo tuanze kujadili jambo hili.
Pengine kwa mkuu wa Inchi kutoa tamko kuhusu shambulio la Lissu na kumsamehe kwa yote aliyokuwa anayasema juu yake, Mungu ataendelea kutunusuru na Corona.
 
Polisi Tanzania kuwasaka waliotaka kumuua Tundu Lissu
  • 08 Septemba 2017
Sambaza habari hii Email Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Whatsapp
Mkuu wa Jeshi la Tanzania

Image captionMkuu wa Jeshi la Tanzania
Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro amesema kuwa wametuma kikosi cha ziada polisi wa upelelezi mjini Dodoma kuchunguza na kuwatafuta wahalifu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro amesema kuwa wametuma kikosi cha ziada polisi wa upelelezi mjini Dodoma kuchunguza na kuwatafuta wahalifu waliotekeleza shambulio la mwanasheria wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu siku ya Alhamisi.
Kamanda Sirro amekanusha tetesi ya kuwa waliomshambulia mbunge huyo walikuwa wanahusika na polisi.
"Suala la sare za washukiwa kufanana na za jeshi la polisi" Kamanda Sirro amenukuliwa akisema "kinachofanya uhalifu sio sare, Kinachofanya uhalifu ni mtu anayetekeleza tukio. Nguo za jeshi la polisi Tanzania zinafanana na nguo nyingi za makampuni binafsi lakini siyo hoja kwamba polisi wetu wanahusika. Kwa hiyo jambo la msingi tunawatafuta waliotekeleza tukio hilo."
Hivi karibuni, mbunge Tundu Lissu kutoka chama cha upinzani cha CHADEMA, amekuwa akikamatwa mara kwa mara na jeshi la polisi akishutumiwa kufanya uchochezi.
Kamanda Sirro amelizungumzia suala hilo "Tunamkamata kamata Tundu Lissu kutokana na matendo yake na kutokana na sheria yenyewe."
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu alipigwa risasi na watu wasiojulikana Mjini Dodoma, katikati mwa Tanzania siku ya Alhamisi, na baadaye kupatiwa matibabu katika hospitali kuu ya Mkoa wa Dodoma na kisha kusafirishwa hadi mjini Nairobi, katika hospitali ya Nairobi kwa matibabu zaidi.
SIRRO KABLA YA KUPIGWA STOP!
 
Pascoo huyu ni mbunge wangu aisee usitake mje mmalize
Chamsingi siro ampe ulinzi waa askari wa 2 kwa siku

Hivi kwani kujibu barua ni vigumu au kuhakisha ulinzi ni vigumu?
Jukumu la polisi wakiongozwa na IGP ni kulinda RAIA na Mali zao
Je siro ameshindwa kazi yake?
Au pale hamna anaejua kuandika barua?
Au hawana hela ya kutuma barua kwenda Belgium?
dah! wewe jamaa bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa usalama wake, Lissu ni bora arudi baada ya Bwana yule kuondoka ofisini.

Lissu tafuta kazi huko Ulaya uwezi kuishi huko kwa muda mrefu ila usifikirie kurudi home kwa sasa.

Afrika tuna miungu watu wanaoweza kufanya maamuzi ya hovyo na bado wakabaki salama na sana sana watekelezaji wa maamuzi hayo ndio wanaoweza kuja kuingia matatani ila sio wato maamuzi unless vyama vyao vinatoka madarakani ndio na wao wanaweza kushughulikiwa.
Sidhani kama una nia nzuri na Lissu, wewe ni wale mnaotumiwa na wale wasiomtaka Lissu Lissu ndani ya Chadema. Inajulikana akirudi wengi kwejye safu za juu za chadema, watakosa sifa na platform, habari itakuwa Lissu tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa HIP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi ndipo vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata mlio wa risasi uliosikika.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo ili kumpa nafasi shahidi kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi wako. Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni ulinzi mzuri kuliko Vijana wa Siro.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako hayakutimia, lakini sasa hata ukirejea, wasiojulikana wale, hawawezi tena kuikamilisha tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.
Hitimisho

Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP kuhusu kumhakikishia usalama wake, kwasababu kwanza just his survival is beyond human beings ability and capabilities, its Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai Yupo, Aliyesimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Aweza, na Ataendelea kumlinda, Usikute yote hayo Lissu anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake, hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Imeandikwa,"Usimjaribu Bwana Mungu wako".Yeye Huyo aliyemwokoa kutoka mikononi mwa hao mashetani,Ndiye Yeye anaemwongoza katika kila hatuwa ya kurudi Tanzania.Wakati na saa uliopangwa na Yeye Yule utakapowadia,atarejea,tena mchana kweupe,ili SHETANI AIBIKE na Mungu azidi kuinuliwa.
 
Brilliant and well balanced whilst backed up with facts. Yet ethically provocative!

Just to add, "disengagement will get us nowhere"

Well done and thanks anko P.
 
Back
Top Bottom