mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Msiambukizane Covid-19, muwe mnaelewa
Jamani ni kweli na wanapita kwenye makazi ya watu wanaimba matusi ya nguoni wengine, acha wazuiwe tupumzike maana wanakwaza sana na kelele zaoSafi sana, wanakera sana hawa. Wengine wanatoka Yombo Buza Kwa Mpalange wanaenda kukimbia Masaki, wanaleta usumbufu barabarani
Sasa huko migombani mtaishije bwashee?!Kinachofuata ni kukataza watu kufuga nguruwe.
Sokoni na ibada wapi na wapi bwashee?Kwa hyo na kule sokoni vipi.maana Kama mikusanyiko Tanzania ipo mingi Sana sio jogging tu.
Usafi mnafanya kama kundi?NA VIPI KUFANYA USAFI JMOSI ASUBUHI SUBUHI HATUWASUMBUI WANAOENDA KWENYE IBADA..?
PANAPOBIDI! KAMA UTOAJI TAKA KANDO KANDO YA MITARO..Usafi mnafanya kama kundi?
Waislam tunafanya ibada Kila siku mara tano hivyo hatuna siku maalum ya ibadah. Hivyo hapo hakuna kuandamana kwa aina yoyote wala jogging za aina yoyote kwa siku saba za wiki.Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam mh Mambosasa amesema kuanzia sasa ni marufuku watu kufanya maandamano na mbio za polepole ( jogging) siku za ibada yaani Jumapili, Jumamosi na Ijumaa na kwamba jeshi la polisi halitatoa vibali katika siku hizo....
Sokoni na ibada wapi na wapi bwashee?
Uwe unaelewa!
Kachemka saaana basi watengeneze viwanja vya mazoezi# Mitano tenaaaMmmmh naona kama Mambosasa kateleza kwenye hili! Michezo ni Afya na juzi Waziri wa Afya amesisitiza kufanya mazoezi maranyingi kadri tuwezavyo ili mapafu yaweze kutanuka na kuhimili kuwa na hewa ya kuyosha mwilini.
Huyu Kamanda anajitokeza anasiliba anyway naaamin labda habari siyo za kweli hizi
Swala tano mnaenda na magari?Waislam tunafanya ibada Kila siku mara tano hivyo hatuna siku maalum ya ibadah. Hivyo hapo hakuna kuandamana kwa aina yoyote wala jogging za aina yoyote kwa siku saba za wiki. Hatutaki kusikia hata chama twawala wanapewa kibali cha kuandamana kumpongeza fulani sababu wataleta usumbufu kwenye ibadah zetu.