Kamanda Mambosasa: Ni marufuku kufanya maandamano au Jogging siku za Ibada Jumapili, Jumamosi na Ijumaa!

Elimu bure siku hizi, jikomboe japo na MEMKWA we jimama.
kwanini? kisa swahili unataka uandikie ya kabila wako? sihitaji elimu bure.. nilifauru ngazi hizwo vizuri sana.. wewe kauze kitambulisho ya 20K vipo
 
Japo Mambosasa huwa na mambo yake ya ajabu ajabu, ila hii itakuwa Corona tu.

Halafu kuna kichaa mmoja nimemsoma somewhere anasema Tanzania hakuna Corona.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya anaiita homa kali ya mapafu, uzuri wa hii unaweza ukawa unatembea huku ukiwa umereudisha namba, siyo ile yakurudishia kitandani.
 
Alitaja mipaka, au ni mpaka Mzee au Mboga kule Msoga?
 
Ngoja boss wake aje ampinge naona ameshakula kushiba
 
So in short no mazoezi

nani unakimbia jumatatu😅
 
Basi corona itatushinda kama ndo hivyo mtu na akili zake anazuia mazoez kitu ambacho angeweza kuweka utaratibu kwa namna gani zifanyike bila kuathir ibada

Very simple

Anyway tumeipenda wenyewe


Mitano tena na nyongeza
 
Kwa sasa naogopa kukoment issue inayohusu corona maana nitakula burn 😁😷!!
 
Uku visiwani hatuna tabu..
Kamanda safi Sana nyosha hawo wanyaturu wanava vinguo vya kubana nakukimbia kutarisha ndoa na kuchochea zinaa siku za ibada
 
Nasikia hapa kutoka kwenye radio wasaf fm kuhusu hili suala IGP amesema jogging Kama kawa mpaka jumapili
 
Mm walikuwa wananiudhi kwel kwel kufanya mazoezi barabaran mara magari yatembee mwendo mdogo mdogo kisa jogging hv viwanja vya michezo hawavion au ??safi sana wakafanyie viwanjan mazoez yao au gym au beach
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…