Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

Huenda itakuwa anawajengea hoja ya kesi nyingine, kwanza ilitoka taarifa huko Dodoma, pili ilitoka taarifa Dar na hii sasa ni ya tatu! Wanausongo na Chadema.

Wafungwa wako nchini ya magereza siyo polisi ambao jukumu lao liliisha siku ya hukumu.
Chadema ni sikio la kufa Mdee kusema kweli simpendi, kwanza tabia yake ya kutotafuta mwanaume akaolewa alafu atake tumchukulie kama kingozi shupavu inanikera.

Mdee si mfano bora kwa watoto wetu hasa wa kike na wamama wote kwa nchii.

Mwisho narudia Mbowe hatoshi kuongoza chadema anafanya siasa za kipuuzi sana muda wa kutumia akili yeye ni nguvu bila maarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza atuambie alifikaje fikaje nyumbani kwa kina MO asubuhi asubuhi kufakamia chai.
 
Wakati mwingine ni ngumu sana kuuaminisha umma mtu aliyeenda kumpokea mtu kufanya fujo na kumchania polisi shati wakati siku chache zilizopita polepole aliyeenda magereza hiyohiyo tena na kuwaalika hadi na waandishi wa habari yeye hakuchana mashati ya polisi hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana hata mataifa makubwa yanatuambia sisi tupo vizuri mno kubumba maneno kuliko matendo....urongo urongo mwingii

Mzee kaamua kudanganya umma mchana kweupee
 
CCM asilia amkeni, mtoseni Magufuli anazidi kuiharibu nchi ya mwemyeheri Nyerere
 
Mahakamani kuna taratibu zake, na magereza kuna taratibu zake. Eneo la Magereza siyo public toilet kwamba unaingia tu unavyojisikia wewe.
Jamani tuwe siriasi na kile tunachojaribu kukitetea walioumizwa nao ni binadamu siyo wanyama, kwa akili za kawaida tu,watu washindwe kwenda kumtoa Mbowe kabla faini haijalipwa mpaka waende kumtoa kwa nguvu baada ya faini kutolewa na hati ya kumtoa gerezani imeshatolewa wakati wanajua kuwa hiyo ndiyo hatima ya mwisho kwa Mbowe kuwepo gerezani, pasipo kukata rufaa wala kutumia nguvu ya kumtoa gerezani.
 
Huyu mambo sasa alivyo mjinga anadhani watanzania ni wajinga kiasi cha kuwaongopea hivyo???

Mtu kalipa faini, hati ya kumtoa gerezani anayo, anawezaje kwenda kutumia nguvu ili kumtoa Mbowe gerezani??

Basi mambosasa umefika wakati wa kutumia nguvu alizo nazo kwenda kwao kulima kuliko kutumia nguvu hizo kuunda hoja za kijinga hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo waa kujenga hoja watoe wapi? Hawana na hawatakuwa nao!
 
Hapa Tanzania hakuna kikosi cha polisi kinachopiga watu vibaya kama KMGM wamekosea sana kuwa provoke hao jamaa walitakiwa wajipange kidogo
 
Ukishaona ndani ya inchi uongo unatumika kwa watu waliopewa dhamana ya kutuongoza na imegeuka kuwa kitu cha kawaida basi jua kwamba kupambazuka kuko kalibu, sababu haiwezekani kwa mtu Mwenye akili timamu akubaliane na hayo yanayoongelewa na polisi
 
Jamaa wanawapa kiki wapinzani enzi za Lyatonga Mrema mwalimu Nyerere alisema mwacheni asukumwe kwenye gari wakichoka wataacha leo mzee wa kilalacha yupo wapi? Mpaka serikali za mitaa kapigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…