Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria inasemaje? Kwa nini walipita jirani na mkutano wa chama kingine?
Nikisema ni uchochezi wa dhahiri, nitakuwa nimekosea?
Nawalilia wana arusha kwa machozi ya damu!
"chadema ni mpango wa mungu"
Mods huu uzi ni wa kizushi na hauna ushahidi wowote ufuteni na aliye uweka aligwe life ban kwa uzushi na uchochezi.kuna uzi wa maguzu masese umeelezea ki uhalisia jinsi tukio lilivyokua.
Who is MAWAZO???
Wewe ---- yako kubwa! Ccm mtupige useme tumejipiga! Nenda katombwe na uogeArusha sombetini chadema wakatana mapanga tena wakifikiria wanamkatakata mwanaccm
Hii ni baada ya maandamano ya ccm wakitokea kwenye mkutano wao ngusero kupita maeneo ya kibo ulipokuwa unaendelea mkutano wa chadema poleni peoples
Muulize Mawazo na lema maana wamejuta sana kumkatakata kamanda wao mpaka sasa wapo hospital
Wewe ---- yako kubwa! Ccm mtupige useme tumejipiga! Nenda katombwe na uoge
Chadema tuoneeni huruma wananchi mtatumaliza.
Chadema tuoneeni huruma wananchi mtatumaliza.
Mlirusha bomu mkasema CHADEMA wamejilipua wenyewe,hizi ni propaganda za kipumbavu sana,Kamanda Mawazo kasharipoti na huu upuuzi wa CCM kumwaga damu na kuja na propaganda za kipuuzi haujaanza leo,mnaanza kuzoea sasa na kuona watu wote ni wajinga wenu na nyie ndio werevu!!!
Chadema tuoneeni huruma wananchi mtatumaliza.
Kamanda JF siyo mali ya Chadema kuwa mvumilivu ndiyo siasa wewe unataka JF wakufurahishe wewe hili ni jukwaa huru.JF ya siku hizi hovyo kabisa..