Elections 2015 Kamanda Mawazo: Tumepigwa tena, mwenzetu anaweza kufa wakati wowote!

Elections 2015 Kamanda Mawazo: Tumepigwa tena, mwenzetu anaweza kufa wakati wowote!

Kuna kila dalili za wazi kuwa CCM nchi inawashinda, watz tuwe makini sana wasijeshindwa uchaguzi mkuu 2015 wakatuletea upuuzi wa Kibaki na Odinga. Uhai wa mtu ni wa muhimu kuliko chochote unachoweza kulinganisha nacho

Poleni sana makamanda, MUNGU awape uponyaji wa haraka
 
Hizo ni story za kutafuta umaarufu Huyo mawazo wamtake wanini? wekeni picha vinginevyo ni ulaghai tu


I see, hivi kuna picha za nyimbo au maneno siku hizi? Maana watuhumiwa walikuwa wanaimba kwa mujibu wa mleta uzi. Au?
 
ni mvuta bange maarufu wa arusha...alikuwa ni msaidiz wa lema kwenye ile biashara yake ya wizi wa magari...

Nilihisi hivyo muda mreefu sikuwa na taarifa kamili, Kumbe Mawazo naye ni Jambazi kama Lema! Loh, tumekwisha
 
sred ya kipumbafu kabisa kuwahi kutokea!!! siku zenu magamba zinahesabika na Mungu mkubwa!!!! hakika atawaumbua tu!
 
nafikiri kunahitajika secret society (itakayo kuwa na wanachama wa vyama vya siasa) inayojali maslahi ya Taifa kuliko ya chama kujadili na kupanga matukio kama haya yasitokee....ni upuuzi damu kumwagika sababu ya siasa
 
Acha uongo wewe. Yaani mapabdikizi yenu mnayavalisha sare za cdm mnalianzisha halafu mbasingizua cdm? Kama wale mliopandikiza nahakama kuu kunsupport saliti ZZK baada ya kuzonewa siku ya kwanza mahakamani.
 
Kamanda JF siyo mali ya Chadema kuwa mvumilivu ndiyo siasa wewe unataka JF wakufurahishe wewe hili ni jukwaa huru.

kwa hiyo magamba mnafurahishana kwa huu upumbafu!!!!!! mna laana inawatafuna!
 
sio kweli mie nilikuwepo kweli ugonvi umetokea watu kurushiana mawe lakini mda si mrefu polisi kutokea field force maeneo ya kwa MOROMBOndo walikuja kutuliza ghasia hizo ila hakuna aliyeumia.
 
Ni nani amefanya hilo jambo baya sana?? Poleni sana wakuu. Tupo nanyi.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
sio kweli mie nilikuwepo kweli ugonvi umetokea watu kurushiana mawe lakini mda si mrefu polisi kutokea field force maeneo ya kwa MOROMBOndo walikuja kutuliza ghasia hizo ila hakuna aliyeumia.

Wakati wafujo chadema walimkata mwenzao kama uliona kwasasa yupo hospital na akina Mawazo
 
Chadema Fujo haiwafikishi ikulu..
bado sana mkiongozwa na vichwa vya bange za kaskazini mtaambulia aibu tu.

Hata kwenye msiba leo wamefanya hayohayo. mnajizika wenyewe.
akili ya magamba ni ya ajabu sana,yani mchinje watu mseme ikulu,subirini mtavyo nyolewa 2015,akili za makalio
 
ccm na polisi hamuwezi kushusha spirit ya watanzania kwa kutumia mapanga na hila zote hizo, ndiyo mnazidi kuwachukiza raia
 
Nimeamini ukweli unauma chadema mkuguswa mnatukana hivyo mods huu uzi ni wa ukweli ndiyo sababu chadema wanatukana ili ufutwe naomba msiufute ngoja madudu ya chadema yaonekane
 
Aksante mdada wa ccm kwa kutuhabarisha. Ila nikuulize kaswali kadogo tu; Una damu ya kike ndani yako kweli?? Unaripoti kwa furaha kabisa habari za mtu aliyeumizwa kana kwamba ameenda haja ndogo tu??
Ama kweli, roho yu mauti ikikuvaa hata mwanao uliyemzaa huoni shida kumwua. CCM ni janga, ushindi hata kwa uhai wa mtu!!
 
Arusha sombetini chadema wakatana mapanga tena wakifikiria wanamkatakata mwanaccm

Hii ni baada ya maandamano ya ccm wakitokea kwenye mkutano wao ngusero kupita maeneo ya kibo ulipokuwa unaendelea mkutano wa chadema poleni peoples

Mnafki mkubwa ww tena mbeya mkuwa ila tutavumilia tu naapa cku tukiamua wanaarusha mtaona cha mtema kuni nataman hata nikutukane ila wataniblock, nakuacha kiporo kwanza!! Ila cku tukiamua kujibu mapigo hakiyamungu jesh la wananch litaingilia kati!! Hatuogop police sisi ila tunaheshia sheria!!
 
hakuna alie umia wakati kamanda kapigwa panga kichwani na kukatwa kidole!wauaji hawa maganba.
 
Arusha sombetini chadema wakatana mapanga tena wakifikiria wanamkatakata mwanaccm

Hii ni baada ya maandamano ya ccm wakitokea kwenye mkutano wao ngusero kupita maeneo ya kibo ulipokuwa unaendelea mkutano wa chadema poleni peoples

acha uongo wako mi mwenyewe nlikuwepo eneo la tukio tena nyie ndo mlioanzisha ugomvi na sio leo 2 hata jana maeneo ya stendi ya mirongo mlijaribu kumshambulia mwanachama mmoja wa cdm tena mkamkimbiza mpaka chuo cha ufundi abc. haya sema kama nimeongea uongo
 
Back
Top Bottom