Elections 2015 Kamanda Mawazo: Tumepigwa tena, mwenzetu anaweza kufa wakati wowote!

Elections 2015 Kamanda Mawazo: Tumepigwa tena, mwenzetu anaweza kufa wakati wowote!

ImageUploadedByJamiiForums1391193047.453849.jpg
Huyu jamaa hajaonekana huko?
 
ccm inanuka damu za Watanzania wasio na hatia. Ipo siku mtalipwa. Poleni makamanda wa Arusha.
 
Mbona kila jambo litakaa Mahala pake ,wakati huo wengine watatamani kurudi matumboni mwa mama zao ,mabadiliko ni lazima waliobaki niwakuelekezwa tu.
 
Chadema Fujo haiwafikishi ikulu..
bado sana mkiongozwa na vichwa vya bange za kaskazini mtaambulia aibu tu.

Hata kwenye msiba leo wamefanya hayohayo. mnajizika wenyewe.
 
Arusha sombetini chadema wakatana mapanga tena wakifikiria wanamkatakata mwanaccm

Hii ni baada ya maandamano ya ccm wakitokea kwenye mkutano wao ngusero kupita maeneo ya kibo ulipokuwa unaendelea mkutano wa chadema poleni peoples

Sheria inasemaje? Kwa nini walipita jirani na mkutano wa chama kingine?

Nikisema ni uchochezi wa dhahiri, nitakuwa nimekosea?
 
hizo vurugu ni kamanda mawazo na wahuni wenzake wameziandaa makusudi kujipigia promo....! polisi mkamateni mawazo mara moja hizo vurugu ni yeye mwenyewe amezipanga...

Maneno yako yananuka damu. Huna hata utu kwa Watanzania wenzako?
 
Hizo ni dalili ya Dola kuelekea kuanguka,Maccm siasa zinawashinda.Makamanda hakuna kurudi nyuma bado dk 5 tushangilie ushindi.
 
siamini chochote mpaka nione picha, siku hizi ushabiki wangu kwa CDM wa machale.
 
Arusha sombetini chadema wakatana mapanga tena wakifikiria wanamkatakata mwanaccm

Hii ni baada ya maandamano ya ccm wakitokea kwenye mkutano wao ngusero kupita maeneo ya kibo ulipokuwa unaendelea mkutano wa chadema poleni peoples

Mods huu uzi ni wa kizushi na hauna ushahidi wowote ufuteni na aliye uweka aligwe life ban kwa uzushi na uchochezi.kuna uzi wa maguzu masese umeelezea ki uhalisia jinsi tukio lilivyokua.
 
Last edited by a moderator:
"Tukiwa kwenye mkutano wa hadhara maeneo ya kibo Sombetini mwenzetu mmoja amepigwa na kukatwa katwa mapanga,tumejitahidi kumwokoa lakini wenzetu walijiandaa vilivyo kwa silaha za jadi.Niko na makamanda central na tayari kapewa pf3 .Mi nimebaki ili kufungua jarada lakini ocd anakataa kwa kusema mi siyo eye witness.Kinacho niuma no ukweli kwamba majeruhi tukiwa ndani ya gari la police alimwona mshambuliaji wake na kuwataka police wamkamate lakini walikataa na kututaka tufungu jarada kwanza,kingine ni gari la police kutishiwa kugongwa na gari la ccm huku wakiimba TUNAMTAKA MAWAZO name wao kukaa kimya.Tumekabidhi mapanga,nyundo,nondo name silaha zingine tulizoshambuliwa nazo

We mkorofi sana wewe! Hivi unadhani unaweza kuishi kwa ubabe tu we k.........ma we!
 
Mods huu uzi ni wa kizushi na hauna ushahidi wowote ufuteni na aliye uweka aligwe life ban kwa uzushi na uchochezi.

uzushi uko wapi? huo ndio ukweli wenyewe...! wewe ndio unatakiwa ule ban kwa uzushi wako huku
 
Back
Top Bottom