Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha sombetini chadema wakatana mapanga tena wakifikiria wanamkatakata mwanaccm
Hii ni baada ya maandamano ya ccm wakitokea kwenye mkutano wao ngusero kupita maeneo ya kibo ulipokuwa unaendelea mkutano wa chadema poleni peoples
hizo vurugu ni kamanda mawazo na wahuni wenzake wameziandaa makusudi kujipigia promo....! polisi mkamateni mawazo mara moja hizo vurugu ni yeye mwenyewe amezipanga...
hivi chadema.lini mtaacha utoto? yani vurugu mmeandaa wenyewe ili muonekane mnaonewa...? acheni.ujinga wenu
Arusha sombetini chadema wakatana mapanga tena wakifikiria wanamkatakata mwanaccm
Hii ni baada ya maandamano ya ccm wakitokea kwenye mkutano wao ngusero kupita maeneo ya kibo ulipokuwa unaendelea mkutano wa chadema poleni peoples
"Tukiwa kwenye mkutano wa hadhara maeneo ya kibo Sombetini mwenzetu mmoja amepigwa na kukatwa katwa mapanga,tumejitahidi kumwokoa lakini wenzetu walijiandaa vilivyo kwa silaha za jadi.Niko na makamanda central na tayari kapewa pf3 .Mi nimebaki ili kufungua jarada lakini ocd anakataa kwa kusema mi siyo eye witness.Kinacho niuma no ukweli kwamba majeruhi tukiwa ndani ya gari la police alimwona mshambuliaji wake na kuwataka police wamkamate lakini walikataa na kututaka tufungu jarada kwanza,kingine ni gari la police kutishiwa kugongwa na gari la ccm huku wakiimba TUNAMTAKA MAWAZO name wao kukaa kimya.Tumekabidhi mapanga,nyundo,nondo name silaha zingine tulizoshambuliwa nazo
Mods huu uzi ni wa kizushi na hauna ushahidi wowote ufuteni na aliye uweka aligwe life ban kwa uzushi na uchochezi.
Who is MAWAZO???