Ndiko Mbowe anakwenda, kwani mbowe kasahau kuwa hakuna kisicho na mwisho kila jambo huwa na mwisho na yeye anaelekea mwishoeAkijichanganya tu atabaki na SACCOS yake kama Lipumba
View attachment 3188244
Mbowe hatashinda kwa kura bali uchakachuaji pekee ndiyo utamfanya kuwa mwenyekiti haramu aliyepora ushindi lisu kwa gharama kubwa ambayo atataka kuirejesha ndipo atafuja pesa za chama bila hurumaSasa hivi Mbowe anatumia mbinu za CCM...lazima ashinde uchaguzi hata asipofanya mdahalo🐼
Hahaha sasa Lisu anataka kujenga chama gani? Chama chenye uwazi siyo chadema, tayari mmesha sema Mbowe ndiye muhasibu, na ndiye kila kitu.Mbowe anatumia mabilioni kuununua uenyekiti wakati Lisu hatumii pesa yeyote yeye kaamua aje kujenga chama chenye uwazi siyo kama mbowe kujipa mamlaka yote ya pesa mpaka kumdhalilisha katibu mkuu wake hajui bank kuna Akiba kiasi gani, idara ya pesa ni mbowe mwenyewe yeye ndiyo mhasibu hataki kusikia yeyote anahoji pesa za chama
Ulichokiona hukuona kuwa hiki ni kipindi cha uchaguzi na ndicho kipindi kizuri cha kuanika madhaifu ya mbowe ikiwemo kufuja pesa za chama na mengineyo mengi ya ajabuNafikiri Kuna watu' wanakuza hii kitu...... Nauona mwisho mbaya wa hiki chama
Nakiona kikiibuka chama kingine either ndani yao au chama kingine Cha siasa kupata nguvu zaidi
Pia nakiona chama kilichopo madarakani kutumia udhaifu wao mdogo na migogoro iliyopo kuendeleza harakati zao...
Ni mtazamo wangu kwa ninachokiona...
Usiku mwema wadau
Acheni kumsumbua Mbowe kwani lazima apokee simu? Simu ni.mali binagsi ya mtumsio.lazima apokeeYasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Idara ya pesa hakuna mtu anagusa ni mbowe mwenyewe hata wakaguzi ni binadamu anajua huenda nao vipi zipo njia nyingi ikiwemo kuwapoza, unapaswa ushuru lisu kugombea kwani miaka yote mliamini mbowe ni malaika ni mungu hana madudu hana mapungufu wala madhaifu, Mbowe huwaburuza mabaraza yote ni vigumu kamati za chadema kumdhibiti, kila jambo lina mwisho wake Mbowe hakuwa kazoea kampeni hizi alizoea kuwahujumu wangwe zito na juzi Heche mapema inakuwa rahisi kugombea uenyekiti bila pressure, Safari hii Lisu kamweza katangaza kuwania uenyekiti ghafra kwa kumshitukiza ndiyo maana Mbowe kapagawa maana kakosa mda wa kumdhoofisha Lisu kabla kama ilivyo kawaida yake , Mbowe anatumia mapesa mengi sana kuhakikisha anarejea tena na hata akifanikiwa kuiba kura akawa mwenyekiti haramu analo la kujifunza sasaHahaha sasa Lisu anataka kujenga chama gani? Chama chenye uwazi siyo chadema, tayarai mmesha sema Mbowe ndiye muhasibu, na ndiye kila kitu.
Chadema ina baraza la wazee, ina kamati kuu na ngazi nyingi tu ambazo hayo yanaweza kuulizwa.
Chadema inakaguliwa kila mwaka na CAG, msajiri anapewa copy. Chadema inapokea Ruzuku hivyo msajiri anaifahamu account ya chama.
Wewe na Lisu mnaifahamu account ya chama, lakini manataka siasa za kuchafuana. Mnaweza kujenga hoja kujitoa chadema, maana imeshaacha misingi yake, Mnasubiri nini Mkono wa kwaheri?
Ile ni taasis, inahitaji siri na hekima , wewe na Lisu mnataka kuanika account hadharani ili kukidharirisha chama kwa faida yenu. Yeye anataka kupayuka kila kitu hadharani, kujipa ujuaji wa kila kitu.
Account za chadema zipo na zinajulikana, na hzina shida hizo mnazotaka ziwe nazo.
Lisu ni mwanasheria na wakili msomi, chadema siyo baba wala mama yake, chadema imeshaacha misingi iliyokuwa ikiisimamia, Lisu anasubiri nini kuondoka?
Mbowe yy mbona anawasumbua Wajumbe wampigie kura sasa kwa nini asipokee simu wakati simu imenunuliwa kwa pesa za chamaAcheni kumsumbua Mbowe kwani lszima apokee simu? Simu ni.mali binagsi ya mtumsio.lazima apokee
Mtu mkubwa ndie anatakiwa kukupigia.mara kwa mara sio.mdogo kumpigia pigia na kumsumbua na simu Ukimpigia ukiona inaita ataona missed call.yako akiwa na nafasi atakupigiaMbowe yy mbona anawasumbua Wajumbe wampigie kura sasa kwa nini asipokee simu wakati simu imenunuliwa kwa pesa za chama
Kwa hali inavyokuwa katika chaguzi, hadi sasa tayari kila mjumbe ameshapanga atampigia nani kura. Huwezi kupatia wapiga kura wapya kupitia mdahalo. Kama ni kwa ajili ya watu wengine wasio wapiga kura kupata uelewa sawa, lakini kama ni kwa ajili ya kubadili mawazo ya mjumbe wa mkutano, hilo sahau.Sasa hivi Mbowe anatumia mbinu za CCM...lazima ashinde uchaguzi hata asipofanya mdahalo🐼
Na huyo mdahalo hazimoKwa hali inavyokuwa katika chaguzi, hadi sasa tayari kila mjumbe ameshapanga atampigia nani kura. Huwezi kupatia wapiga kura wapya kupitia mdahalo. Kama ni kwa ajili ya watu wengine wasio wapiga kura kupata uelewa sawa, lakini kama ni kwa ajili ya kubadili mawazo ya mjumbe wa mkutano, hilo sahau.
Sawa subiri ashinde tunamsubiri huku mtaani tuone atamuongoza nani. Mbowe anaweza kushinda wajumbe 1000 ila hakubaliki kwa wanachama mamilion wa chadema. So wajumbe waamue wasikilize wanachama au wamsikilize huyo fisadi.Yupo bizz kupanga mikakati ya kumfundisha siasa Lissu . Lissu atajua Maria space sio sehemu ya kufanyia siasa
Aah sawa hiyo join the chain si wajichangie wenyewe? Tunawasubiri oktoba 2025 sio mbaliCHADEMA haijawahi kuwa listed kule DSE, mkitaka vyama vya wanachama nendeni mkasajiri vyakwenu.
Acha uongo wewe hao wanachama mamilioni hawapo Chadema ina wanachama laki nne hao mamilioji umewatoa wapi?Sawa subiri ashinde tunamsubiri huku mtaani tuone atamuongoza nani. Mbowe anaweza kushinda wajumbe 1000 ila hakubaliki kwa wanachama mamilion wa chadema. So wajumbe waamue wasikilize wanachama au wamsikilize huyo fisadi.
Utoto! Mbona tunakosa nidhamu kiasi hiki?Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Hao laki 4 ni chadema digital pekee, tena Dar tu. Hata yanga ina washabiki mamilioni ila usishangae wenye kadi ni laki 5 tu.Acha uongo wewe hao wanachama mamilioni hawapo Chadema ina wanachama laki nne hao mamilioji umewatoa wapi?
Mbowe kakosa nidhamu sana na utoto anao mboweUtoto! Mbona tunakosa nidhamu kiasi hiki?
Mbowe anaenda kuwa kama Lipumba mbatia na CheyoSawa subiri ashinde tunamsubiri huku mtaani tuone atamuongoza nani. Mbowe anaweza kushinda wajumbe 1000 ila hakubaliki kwa wanachama mamilion wa chadema. So wajumbe waamue wasikilize wanachama au wamsikilize huyo fisadi.
Na Lisu je baada ya kushindwa uchaguzi atakuwaje?Mbowe anaenda kuwa kama Lipumba mbatia na Cheyo